Tape measure
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,981
- 3,604
umasikini ndio unakusumbua hakunaCome to your senses, uzalendo kwanza.
tajiri mwenye akili kama yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umasikini ndio unakusumbua hakunaCome to your senses, uzalendo kwanza.
Binafsi sizipendi hizi mashine kabisa,Nashauri hali ya ukadiriaji irudishwe kama awali,
Duka lipo kariakoo kwa mwaka milioni 10,utalipa kwa awamu 4,full stop,daka lako linapewa namba maalumu,pamoja a/c ya kulipia.then Tra wanakuwa wanamonitor tu kwa Gps.,hili liambatane na adhabu kali kupitiliza ikiwa ni pamoja na kufilisi.
Sasa wewe ulietaka bei pungufu ndio umefanya hujuma, kwanini utake bei pubgufu?Salamu wakuu:
Hili nimekutana nalo jana, japo imekuwa sio ngeni ila hii niliipokea kwa uchungu mkubwa sana (sijui kwa vile ni Wachina).... kama mzalendo ikabidi ‘nipachimbe’ sana.
Wanauza bidhaa kwa kile wanachoita ‘bei ya kiwandani’ hivyo mteja unategemea unafuu wa bei, na kwa kuzingatia hilo nilifika hadi kiwandani kupata ofa hii (godoro).... ila masharti niliyopewa ni kwamba stakabadhi (risiti) itaandikwa NUSU ya kiasi ninayolipia mzigo.
Nilipoonesha kutoafiki kwanza ‘wahudumu’ wakanishangaa kwamba mi wa wapi sijui utaratibu huo ni wa siku zote, na kauli za vitisho kuwa wataacha kuuzia ‘watumiaji’ ili kuepusha usumbufu na ujuaji badala yake wauzie wafanyabiashara tu ambao wao wanaelewa.... nami kwa vile sikutaka kukosa kilichonipeleka ikabidi kukubaliana na masharti nishiriki kwenye hujuma.
Mamlaka zina mkono mrefu, mnajua yanayoendelea kukwepa VAT za EFD.... huu ni mfano tu ila picha ni kubwa sana TRA kuweni macho.
1.5 trillion to be specificNonsense , nchi hii hamna faida ya kulipa kodi , it doesn't make any difference . Mijitu inakwapua trillions haiwajibishwi halafu inapambana kupata Mia mbili Mia mbili za wachina . ****
Kama hiyo bei haina unafuu, basi kanunue dukani.Sijapunguziwa bei, ni ‘bei ya kiwandani’ tena ni fixed.... wenyewe wanaita ‘wholesale price’.
Hongera kwa kutoa taarifa ya hujuma,ila kama ni jehanamu unakwenda kwani dhambi umeifanya huku ukinung'unika...Soma vizuri mkuu wangu, nilitishiwa kuwa nikileta ujuaji bora niache kununua nikanunue dukani.... nikawaza kuhusu punguzo na nimechapa mwendo hadi kiwandani nikaamua kuihujumu serikali.
Ndege tumenunua tasilimu
Allaf ni mwaka 2017Mkuu mbona risiti tarehe inaonyesha ni 28/07 au tukio lako ni tofauti na hilo
Salamu wakuu:
Hili nimekutana nalo jana, japo imekuwa sio ngeni ila hii niliipokea kwa uchungu mkubwa sana (sijui kwa vile ni Wachina).... kama mzalendo ikabidi ‘nipachimbe’ sana.
Wanauza bidhaa kwa kile wanachoita ‘bei ya kiwandani’ hivyo mteja unategemea unafuu wa bei, na kwa kuzingatia hilo nilifika hadi kiwandani kupata ofa hii (godoro).... ila masharti niliyopewa ni kwamba stakabadhi (risiti) itaandikwa NUSU ya kiasi ninayolipia mzigo.
Nilipoonesha kutoafiki kwanza ‘wahudumu’ wakanishangaa kwamba mi wa wapi sijui utaratibu huo ni wa siku zote, na kauli za vitisho kuwa wataacha kuuzia ‘watumiaji’ ili kuepusha usumbufu na ujuaji badala yake wauzie wafanyabiashara tu ambao wao wanaelewa.... nami kwa vile sikutaka kukosa kilichonipeleka ikabidi kukubaliana na masharti nishiriki kwenye hujuma.
Mamlaka zina mkono mrefu, mnajua yanayoendelea kukwepa VAT za EFD.... huu ni mfano tu ila picha ni kubwa sana TRA kuweni macho.