Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani yaishe, nimekosa sana... msinipopoe mawe.
Mkuu wakale wapi?Salamu wakuu:
Hili nimekutana nalo jana, japo imekuwa sio ngeni ila hii niliipokea kwa uchungu mkubwa sana (sijui kwa vile ni Wachina).... kama mzalendo ikabidi ‘nipachimbe’ sana.
Wanauza bidhaa kwa kile wanachoita ‘bei ya kiwandani’ hivyo mteja unategemea unafuu wa bei, na kwa kuzingatia hilo nilifika hadi kiwandani kupata ofa hii (godoro).... ila masharti niliyopewa ni kwamba stakabadhi (risiti) itaandikwa NUSU ya kiasi ninayolipia mzigo.
Nilipoonesha kutoafiki kwanza ‘wahudumu’ wakanishangaa kwamba mi wa wapi sijui utaratibu huo ni wa siku zote, na kauli za vitisho kuwa wataacha kuuzia ‘watumiaji’ ili kuepusha usumbufu na ujuaji badala yake wauzie wafanyabiashara tu ambao wao wanaelewa.... nami kwa vile sikutaka kukosa kilichonipeleka ikabidi kukubaliana na masharti nishiriki kwenye hujuma.
Mamlaka zina mkono mrefu, mnajua yanayoendelea kukwepa VAT za EFD.... huu ni mfano tu ila picha ni kubwa sana TRA kuweni macho.
Ulipaswa uikatae na uripoti kwenye mamlaka, kisha ukanunue dukaniKunipunguzia bei haihalalishi kukwepa kodi.
Nimefanya kuhifadhi kwanza, hili likiwafikia wahusika nitatoa ushahidi.... ila nilivyoshambuliwa najiona nipo hatiani.
Iweke hiyo EFD receipt hewani mamlaka husika ilifanyie kazi naamini wapo humuSoma vizuri mkuu wangu, nilitishiwa kuwa nikileta ujuaji bora niache kununua nikanunue dukani.... nikawaza kuhusu punguzo na nimechapa mwendo hadi kiwandani nikaamua kuihujumu serikali.
umetaka bei ya kiwandani ila unataka kununua godoro 1 kweli..?
Wabongo tunaongoza kwa roho mbaya,na tumeshatambuana so Taaarifa bila ushahidi
Ni sawa na story kijiweni
mwenyewePUMBAVU
Mkuu pellangyo.! Hili suala humu mimi binafsi nililipigia kelele Tangu mwaka Jana au Juzi lakini TRA wamefunga masikio na macho hawaoni.!Salamu wakuu:
Hili nimekutana nalo jana, japo imekuwa sio ngeni ila hii niliipokea kwa uchungu mkubwa sana (sijui kwa vile ni Wachina).... kama mzalendo ikabidi ‘nipachimbe’ sana.
Wanauza bidhaa kwa kile wanachoita ‘bei ya kiwandani’ hivyo mteja unategemea unafuu wa bei, na kwa kuzingatia hilo nilifika hadi kiwandani kupata ofa hii (godoro).... ila masharti niliyopewa ni kwamba stakabadhi (risiti) itaandikwa NUSU ya kiasi ninayolipia mzigo.
Nilipoonesha kutoafiki kwanza ‘wahudumu’ wakanishangaa kwamba mi wa wapi sijui utaratibu huo ni wa siku zote, na kauli za vitisho kuwa wataacha kuuzia ‘watumiaji’ ili kuepusha usumbufu na ujuaji badala yake wauzie wafanyabiashara tu ambao wao wanaelewa.... nami kwa vile sikutaka kukosa kilichonipeleka ikabidi kukubaliana na masharti nishiriki kwenye hujuma.
Mamlaka zina mkono mrefu, mnajua yanayoendelea kukwepa VAT za EFD.... huu ni mfano tu ila picha ni kubwa sana TRA kuweni macho.
Naomba jina la kiwanda na sehemu kilipo PM plsSalamu wakuu:
Hili nimekutana nalo jana, japo imekuwa sio ngeni ila hii niliipokea kwa uchungu mkubwa sana (sijui kwa vile ni Wachina).... kama mzalendo ikabidi ‘nipachimbe’ sana.
Wanauza bidhaa kwa kile wanachoita ‘bei ya kiwandani’ hivyo mteja unategemea unafuu wa bei, na kwa kuzingatia hilo nilifika hadi kiwandani kupata ofa hii (godoro).... ila masharti niliyopewa ni kwamba stakabadhi (risiti) itaandikwa NUSU ya kiasi ninayolipia mzigo.
Nilipoonesha kutoafiki kwanza ‘wahudumu’ wakanishangaa kwamba mi wa wapi sijui utaratibu huo ni wa siku zote, na kauli za vitisho kuwa wataacha kuuzia ‘watumiaji’ ili kuepusha usumbufu na ujuaji badala yake wauzie wafanyabiashara tu ambao wao wanaelewa.... nami kwa vile sikutaka kukosa kilichonipeleka ikabidi kukubaliana na masharti nishiriki kwenye hujuma.
Mamlaka zina mkono mrefu, mnajua yanayoendelea kukwepa VAT za EFD.... huu ni mfano tu ila picha ni kubwa sana TRA kuweni macho.
Mkuu pellangyo.! Hili suala humu mimi binafsi nililipigia kelele Tangu mwaka Jana au Juzi lakini TRA wamefunga masikio na macho hawaoni.!
Kariakoo nzima huu ndio mchezo wao hasa kwenye maduka ya jumla ambayo wateja wake wanajulikana na mbaya zaidi watu hawa wanakuwa na risiti feki za EFD yaani ama zimetumika na duka jingine au alikata jana yake kisha zikarudishwa na wanunuzi ukisha nunua bidhaa anakupa hiyo risiti au wanatoa nyingine lakini kwa bei ya Chini isiyoendana na thamani ya Mzigo ulio nunua.!
Sbbu ni Mchezo unaochezwa na maduka mengi ukikataa kuchukua hiyo risiti unaweza usiuziwe mzigo unao utaka na ukienda duka jingine pia utakutana na mchezo huo huo.! Ajabu ni kuwa wahindi hawafanyi huu mchezo tatizo ni kwa waswahili wazawa na hao wachina sasa hivi
Kuna kamchezo kameingia, risiti zinazotoka sheli baada ya kununua mafuta kuna baadhi ya watu huwa wanaziacha.... Juzi kati Kuna boda boda nilipanda akaniambia hizo huwa watu wa sheli wanaziuza kwa wafanyabiashara.....
Sijajua kama kuna ukweli katika hilo.