TRA: Pikipiki (Bodaboda) kuanza kulipa Kodi ya Tsh. 65,000/- kwa mwaka

Inabidi na wazururaji tulipe kodi, tumesahauliwa, na Riverside walipe kodi, wachoma mahindi na mihogo walipe kodi
 
Vyombo vyote vya moto lazima vilipe kodi, huu si uonezi. Bodaboda hukusanya pesa nyingi kwa mwaka ndiyo sababu mtu mmoja anaweza kununua bodaboda za ziada.
 
Mafundi ujenzi wanatumia barabara za kurekebishwa, umekosa hoja acha chuki kwa wajenzi wavuja jasho wanakula kwa nguvu zao.
Nani anapata hela bila kuvuja jasho? Serikali hakikisheni Kila fundi ujenzi ana leseni ,walipe Kodi na wachangie mapato
 
Rais Samia futa hili pendekezo linakuletea shida zisizo na sababu na bodaboda japo Huwa hawapigi kura.

Nawasaidia afadhari mafundi ujenzi wote wawe na leseni za ujenzi ndio walipe 100,000 Kwa mwaka.

Wacha walipe tu wewe unadhani V8 new model tutawezaje kununua? Na kwny msafara hazitakiwi kupungua 10
 
Nani anapata hela bila kuvuja jasho? Serikali hakikisheni Kila fundi ujenzi ana leseni ,walipe Kodi na wachangie mapato
Wakandarasi nao si wajenzi kwani hawalipi Kodi, washazungumzia bodaboda ya wajenzi ya kwako, barabara zinarekebishwa, walipie si chombo Cha Moto.
 
Wakandarasi nao si wajenzi kwani hawalipi Kodi, washazungumzia bodaboda ya wajenzi ya kwako, barabara zinarekebishwa, walipie si chombo Cha Moto.
Kama mkandarasi analipa,mama ntilie analipa,boda analipa Kwa nini wewe fundi usilipe?
 
Hiyo kodi ya 65000 Kwa mwaka ni sawa na shilingi 200 Kwa siku.

Ni kiwango kidogo mno lakini naamini wapotoshaji watakikuza sana na kuonesha uonevu.

Uzalendo ni kuhamasisha watu kulipa Kodi Kwa maendeleo yao.

Kulipa kodi ni jambo la muhimu LAKINI kodi inapotumika kufsnyia anasa watawala wakati walipaji wanashindwa kupata hata mahitaji ya lazima, uhalali wa kulipa kodi unapotea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…