TRA Wamepandisha kodi kwa magari yanayoingizwa nchini

TRA Wamepandisha kodi kwa magari yanayoingizwa nchini

Epuka matapeli, kodi zote za TRA hupitishwa na BUNGE LA BAJETI na huanza kutumika tar 1/7 ya kila mwaka.
Kabla ya kupost vitu tumieni akili na kichwa kufikiri, sio mnatumia matako yenu kuanzishia mada.
 
Epuka matapeli, kodi zote za TRA hupitishwa na BUNGE LA BAJETI na huanza kutumika tar 1/7 ya kila mwaka.
Kabla ya kupost vitu tumieni akili na kichwa kufikiri, sio mnatumia matako yenu kuanzishia mada.
Awamu ya jiwe Kodi za kuagiza magar ziliongezwa kimya kimya Mara kibao bila idhini ya bunge na bunge letu liliuftata mkia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ttzo mnaagiza magari mazee na sasa iv mpango wa serikal ni kupunguza gari nzee
Ebu ingia ktk kikokotoo cha TRA angalia gari za mwaka 2017 na kuendelea utaona km izo galama yake imeongezeka

Galama imepanda kwa gari nzee ambazo ndo wabongo weng hununua gar za 2000’s to2012
Galama, nzee ni vitu gani mkuu. Umekua msemaji wa TRA sasa au sio
 
Hapa ndo mnapokosea. Hawapandishi bei. Ila kila new year inapanda automatically kutokana na age kuongezeka kwenye excise duty due to age. Kama ulichungulia december 2022 gari ya 2010 ilikuwa na miaka 12, ikifika jan 2023 itakuwa na 13 years so excise duty to age itapanda pia and that means cif yote inapanda. Ila ni automatic process sio kuwa wanapandisha makusudi
Watu wanalalamikia unreasonable taxes. Miaka kupanda sio shida. Sasa ili kila mtu aagize gari ya 2021/22 tupeane shift za uwaziri. Angalau kila mwananchi aonje miezi mitatu ya marupurupu ya vyeo na sisi tuweze ku mudu hizo kodi bila kuja kulalama jf.
 
Epuka matapeli, kodi zote za TRA hupitishwa na BUNGE LA BAJETI na huanza kutumika tar 1/7 ya kila mwaka.
Kabla ya kupost vitu tumieni akili na kichwa kufikiri, sio mnatumia matako yenu kuanzishia mada.
kodi imepanda kweli bus saivi linatolewa kwa mil 150 na wakati ilikuwa mil 90 hadi 110
 
Epuka matapeli, kodi zote za TRA hupitishwa na BUNGE LA BAJETI na huanza kutumika tar 1/7 ya kila mwaka.
Kabla ya kupost vitu tumieni akili na kichwa kufikiri, sio mnatumia matako yenu kuanzishia mada.
Unamtukana Msela bure, Mara kibao tu ilikua ikifika mwezi wa Feb Kodi za magari kwny kikokoto Cha magari Cha TRA kinapanda.
 
Epuka matapeli, kodi zote za TRA hupitishwa na BUNGE LA BAJETI na huanza kutumika tar 1/7 ya kila mwaka.
Kabla ya kupost vitu tumieni akili na kichwa kufikiri, sio mnatumia matako yenu kuanzishia mada.
Ulipata muda lakini wa kulichunguza hili kabla ya kumtukana?
 
Hapa ndo mnapokosea. Hawapandishi bei. Ila kila new year inapanda automatically kutokana na age kuongezeka kwenye excise duty due to age. Kama ulichungulia december 2022 gari ya 2010 ilikuwa na miaka 12, ikifika jan 2023 itakuwa na 13 years so excise duty to age itapanda pia and that means cif yote inapanda. Ila ni automatic process sio kuwa wanapandisha makusudi

Automatic kutoka Mungu?
 
January hii Huku kwenye kikotoo cha TRA Kodi za magari zimepanda maradufu, kabla ya kuagiza jiridhishe na Kodi usije ukatembea unaongea mwenyewe barabarani.

Ila ngoja niulize swali , hivi kwa uchumi wetu wa sasa kuna haja kweli ya kupandisha Kodi za kuingiza magari nchini?

Kusafirisha gari majini bei zipo juu sana almost USD 2000-2500 kwa gari la kawaida?

Kwa ninachokiona TRA watakosa hata hyo kodi waliyokuwa wanaikusanya kwa ajili ya Tamaa, maana kuagiza gari ni gharama sana Watanzania wengi hawataweza kuafford kuagiza magari kutoka japan au kwingineko, na mnyororo wa uchumi utatikisika, mawakala watakosa kazi , spea zitadoda mafuta yenyewe yatauzika kidogo sana , makampuni ya Bima yatafilisika kwani mara nyingi mtu anapoagiza gari ndo anakata Bima kubwa.

Serikali iangalie hili swala la kupandisha kodi hasa kwenye vifaa vya moto bila kuwashirikisha wadau sio vizuri.
Nimeona pia kuna ongezeko kubwa sana la watu kununua magari ya mikononi kuliko kuagizia nje ya nchi,kodi sio rafiki kabisa......
 
Ttzo mnaagiza magari mazee na sasa iv mpango wa serikal ni kupunguza gari nzee
Ebu ingia ktk kikokotoo cha TRA angalia gari za mwaka 2017 na kuendelea utaona km izo galama yake imeongezeka

Galama imepanda kwa gari nzee ambazo ndo wabongo weng hununua gar za 2000’s to2012
Range Rover SUV Autobiography ya 2015
CIF dar es salaam milion 60
Ushuru + registration milion 120 do you think is fair ..??
 
Hapa ndo mnapokosea. Hawapandishi bei. Ila kila new year inapanda automatically kutokana na age kuongezeka kwenye excise duty due to age. Kama ulichungulia december 2022 gari ya 2010 ilikuwa na miaka 12, ikifika jan 2023 itakuwa na 13 years so excise duty to age itapanda pia and that means cif yote inapanda. Ila ni automatic process sio kuwa wanapandisha makusudi
SAsa kwann watoze kodi kubwa gari nzee
 
Unamtukana Msela bure, Mara kibao tu ilikua ikifika mwezi wa Feb Kodi za magari kwny kikokoto Cha magari Cha TRA kinapanda.
Mzee hawajapandisha, sema mfumo unareact wenyewe kutokana na umri wa Gari. Mwaka unapoongezeka na uchakavu huongezeka, na sio kwamba Wanapandisha bei mkuu. Wewe fanya hivi kama ulitaka kuagiza gari ya mwaka 2015 basi sasa agiza la mwaka 2016 utaona bei ni ileile.
 
Back
Top Bottom