Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetazama kodi ya hayo magari mapya?!Ttzo mnaagiza magari mazee na sasa iv mpango wa serikal ni kupunguza gari nzee
Ebu ingia ktk kikokotoo cha TRA angalia gari za mwaka 2017 na kuendelea utaona km izo galama yake imeongezeka
Galama imepanda kwa gari nzee ambazo ndo wabongo weng hununua gar za 2000’s to2012
Amesoma notes za commerce topic ya international Trade ndio maana anatuletea shida hapa. Ila hana idea ya uhalisia wa mambo.Ungekuwa umewahi kuagiza gari usingeandika huu ujinga
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Wewe ule mkeka wa TRA huwa unaukagua vizuri ndugu au ndio unabahatisha taarifa hapa?!Hapa ndo mnapokosea. Hawapandishi bei. Ila kila new year inapanda automatically kutokana na age kuongezeka kwenye excise duty due to age. Kama ulichungulia december 2022 gari ya 2010 ilikuwa na miaka 12, ikifika jan 2023 itakuwa na 13 years so excise duty to age itapanda pia and that means cif yote inapanda. Ila ni automatic process sio kuwa wanapandisha makusudi
nimejaribu angalia hii sijaelewa moja inaonyesha x3 ingine haisemi ni model ipi na moja inaonyesha mwaka wa calculator ni 2023 ingine hainonyeshi.Ongezeko x3 2012View attachment 2470199View attachment 2470200
hahahaaaa Bond aliniwahi na kale kamtu kangu kafupi alikafungia kwenye begiKabisa monsieur scaramanga. Vipi golden gun bado unayo?
Ungekuwa umewahi kuagiza gari usingeandika huu ujinga
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Iyo ya milioni 16.2 ni ya mwaka 2022 na iyo milioni 20 ni ya mwaka 2023nimejaribu angalia hii sijaelewa moja inaonyesha x3 ingine haisemi ni model ipi na moja inaonyesha mwaka wa calculator ni 2023 ingine hainonyeshi.
Urahisi wa miaka uko wapi app Kuna 22,19,17Hivi gari ya 2022 inaweza ikawa cheap kiasi
Hahahahahaaaa Bond aliniwahi na kale kamtu kangu kafupi alikafungia kwenye begi
Ohoo! Nikadhani wamepandisha haya magari madogo tu ya kifamilia ili tusinunue magari, kumbe wamepandisha hadi mabasi, maana yake wasafiri waendelee kuhangaika na mabasi yaliyopo!kodi imepanda kweli bus saivi linatolewa kwa mil 150 na wakati ilikuwa mil 90 hadi 110
Wanawake hampendaninimeishia hapa, joined 2006 ila unaandika kidada
kiongozi nimeulizia kwa wadau wanasema hii bei hii umeweka ya ununuzi na usafirishaji bila kuweka bima maana wanakokotoa kwenye bei ya ununuzi ,usafirishaji na bima yaani sijui CIF. pia wanasema hili gari ni zaidi ya miaka nane toka kutengenezwa kwake hapo ukiagalia kuna kodi kutokana na uchakavu.Moja kwa moja kutoka mjini twita, nimechukua kama ilivyo
View attachment 2470553
Cif
View attachment 2470554
BAndari kama bandari
View attachment 2470556
Mzigo upo sawa sawia huo mzee waambie wacheki vizurikiongozi nimeulizia kwa wadau wanasema hii bei hii umeweka ya ununuzi na usafirishaji bila kuweka bima maana wanakokotoa kwenye bei ya ununuzi ,usafirishaji na bima yaani sijui CIF. pia wanasema hili gari ni zaidi ya miaka nane toka kutengenezwa kwake hapo ukiagalia kuna kodi kutokana na uchakavu.
Do you think is fair while you are working out taxes for Range Rover SUV 2015 others are working out as to walk or to spend his 500 shillings on dala dala?Range Rover SUV Autobiography ya 2015
CIF dar es salaam milion 60
Ushuru + registration milion 120 do you think is fair ..??
Duuh aisee gari kodi 120m tena suv sio kiwanda kwamba inazalisha hiyo gari yenyewe ya muda mrefu 2015 daah Nchi ngumu sana hii..Range Rover SUV Autobiography ya 2015
CIF dar es salaam milion 60
Ushuru + registration milion 120 do you think is fair ..??
Kwa Toyota IST ya mwaka 2005 yenye CIF value 3,867$ (USD)Kwa hiyo kodi inaenda kuizidi CIF?
Hivi hizi nchi zinazotuzunguka kodi ya gari ipoje?
ITs za Rwanda zinakuwaga misumari kwelikweli.