TRA Wamepandisha kodi kwa magari yanayoingizwa nchini

TRA Wamepandisha kodi kwa magari yanayoingizwa nchini

Juxi kati, niliangalia V8 ya mwaka 2011 hivi ya bei nafuu, CIF ni kama 55m bali kodi na registration ni kama 88m 🙁 Custom value ni kubwa mno kulinganisha na CIF value.
Kaka usitumie Tena xxx huku jf hata Kama una hoja nzuri kiaje utapata ukozoaji mkubwa mno .epuka neno xx huku Ni jf siyo fb

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mzee hawajapandisha, sema mfumo unareact wenyewe kutokana na umri wa Gari. Mwaka unapoongezeka na uchakavu huongezeka, na sio kwamba Wanapandisha bei mkuu. Wewe fanya hivi kama ulitaka kuagiza gari ya mwaka 2015 basi sasa agiza la mwaka 2016 utaona bei ni ileile.
Aisee shukrani Sana mkuu, hapo nimekusoma.
 
Ttzo mnaagiza magari mazee na sasa iv mpango wa serikal ni kupunguza gari nzee
Ebu ingia ktk kikokotoo cha TRA angalia gari za mwaka 2017 na kuendelea utaona km izo galama yake imeongezeka

Galama imepanda kwa gari nzee ambazo ndo wabongo weng hununua gar za 2000’s to2012
Tuwekee hapa na CIF za hayo magari ya 2017,ndipo utajua hujui.
 
Ttzo mnaagiza magari mazee na sasa iv mpango wa serikal ni kupunguza gari nzee
Ebu ingia ktk kikokotoo cha TRA angalia gari za mwaka 2017 na kuendelea utaona km izo galama yake imeongezeka

Galama imepanda kwa gari nzee ambazo ndo wabongo weng hununua gar za 2000’s to2012
Hizo gari vijana dola zake imechangamka huko,ndiyo maana watu tunaaford gari nzee
 
January hii Huku kwenye kikotoo cha TRA Kodi za magari zimepanda maradufu, kabla ya kuagiza jiridhishe na Kodi usije ukatembea unaongea mwenyewe barabarani.

Ila ngoja niulize swali , hivi kwa uchumi wetu wa sasa kuna haja kweli ya kupandisha Kodi za kuingiza magari nchini?

Kusafirisha gari majini bei zipo juu sana almost USD 2000-2500 kwa gari la kawaida?

Kwa ninachokiona TRA watakosa hata hyo kodi waliyokuwa wanaikusanya kwa ajili ya Tamaa, maana kuagiza gari ni gharama sana Watanzania wengi hawataweza kuafford kuagiza magari kutoka japan au kwingineko, na mnyororo wa uchumi utatikisika, mawakala watakosa kazi , spea zitadoda mafuta yenyewe yatauzika kidogo sana , makampuni ya Bima yatafilisika kwani mara nyingi mtu anapoagiza gari ndo anakata Bima kubwa.

Serikali iangalie hili swala la kupandisha kodi hasa kwenye vifaa vya moto bila kuwashirikisha wadau sio vizuri.

Serikali yetu ina watu zero brain haya yote ulosema hata hawakufikiria hawaangalii mbele itakuaje wanachoangalia kodi tu.
 
Hapa ndo mnapokosea. Hawapandishi bei. Ila kila new year inapanda automatically kutokana na age kuongezeka kwenye excise duty due to age. Kama ulichungulia december 2022 gari ya 2010 ilikuwa na miaka 12, ikifika jan 2023 itakuwa na 13 years so excise duty to age itapanda pia and that means cif yote inapanda. Ila ni automatic process sio kuwa wanapandisha makusudi
Na ww ndipo ulipokosea. Hivyo unavosema sawasawa na mm nafahamu hivyo. Lakini kuna gari za mwaka 1999, 2000 , 2004 nazo zimepandishwa wakati hizi zilitakiwa bei zishuke
 
Mzee hawajapandisha, sema mfumo unareact wenyewe kutokana na umri wa Gari. Mwaka unapoongezeka na uchakavu huongezeka, na sio kwamba Wanapandisha bei mkuu. Wewe fanya hivi kama ulitaka kuagiza gari ya mwaka 2015 basi sasa agiza la mwaka 2016 utaona bei ni ileile.
kwa ninavyoelewa hata mimi mwaka ukibadilika maana yake kama gari ilibakiza mwaka mmoja iwe kwenye kutozwa uchakavu ikifika januari itaanza tozwa sababu tayari mwaka utakuwa umebadilika.

Kupandisha kodi ni Bunge ndilo linalopitisha na hupandishwa au shusha kila Julai 1.

Sasa TRA kwanza hawana mamlaka ya kupandisha au shusha kodi.wao ni wasimamizi wa kodi.

Wanaweza samehe kpdi kama sheria itakavyoelekeza tu.

Viwango vya kodi vipo pale pale kisheria Afrika ya Mashariki yote ni viwango sawa isipokuwa wenzetu Kenya gari chakavu zaidi ya miaka 5 toka kutengenezwa kwake haliruhusiwi kabisa kuingia nchini sisi sharti hilo naona serikali imelegeza kwa kuweka uchakavu.

Yote ni kuepuka kuwa dumping place
 
Hapa ndo mnapokosea. Hawapandishi bei. Ila kila new year inapanda automatically kutokana na age kuongezeka kwenye excise duty due to age...
ni kweli Planet Subaru bei zinabadilika za uchakavu kwa kuwa mwaka unabadilika.

Wengi hatuelewi hili. January kweli utaona mabadiliko sababu ya miaka kubadilika.
 
Back
Top Bottom