Planet FSD
JF-Expert Member
- Oct 24, 2019
- 455
- 948
Kaandamaneni ili wabadilishe au hamieni burundiSAsa kwann watoze kodi kubwa gari nzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaandamaneni ili wabadilishe au hamieni burundiSAsa kwann watoze kodi kubwa gari nzee
Kaka usitumie Tena xxx huku jf hata Kama una hoja nzuri kiaje utapata ukozoaji mkubwa mno .epuka neno xx huku Ni jf siyo fbJuxi kati, niliangalia V8 ya mwaka 2011 hivi ya bei nafuu, CIF ni kama 55m bali kodi na registration ni kama 88m 🙁 Custom value ni kubwa mno kulinganisha na CIF value.
Maandamo ya wachache hayana effects kwa walamba asaliKaandamaneni ili wabadilishe au hamieni burundi
Basi lipeniMaandamo ya wachache hayana effects kwa walamba asali
Aisee shukrani Sana mkuu, hapo nimekusoma.Mzee hawajapandisha, sema mfumo unareact wenyewe kutokana na umri wa Gari. Mwaka unapoongezeka na uchakavu huongezeka, na sio kwamba Wanapandisha bei mkuu. Wewe fanya hivi kama ulitaka kuagiza gari ya mwaka 2015 basi sasa agiza la mwaka 2016 utaona bei ni ileile.
Tuwekee hapa na CIF za hayo magari ya 2017,ndipo utajua hujui.Ttzo mnaagiza magari mazee na sasa iv mpango wa serikal ni kupunguza gari nzee
Ebu ingia ktk kikokotoo cha TRA angalia gari za mwaka 2017 na kuendelea utaona km izo galama yake imeongezeka
Galama imepanda kwa gari nzee ambazo ndo wabongo weng hununua gar za 2000’s to2012
Hizo gari vijana dola zake imechangamka huko,ndiyo maana watu tunaaford gari nzeeTtzo mnaagiza magari mazee na sasa iv mpango wa serikal ni kupunguza gari nzee
Ebu ingia ktk kikokotoo cha TRA angalia gari za mwaka 2017 na kuendelea utaona km izo galama yake imeongezeka
Galama imepanda kwa gari nzee ambazo ndo wabongo weng hununua gar za 2000’s to2012
Kabla ya January ilikuwa kiasi Gani?Range Rover SUV Autobiography ya 2015
CIF dar es salaam milion 60
Ushuru + registration milion 120 do you think is fair ..??
Garama au sio?Cha Ajabu wengine wanalalamika garama kubwa na wengine kwa izo izo garama wanaingiza magari mtaani
Nimejiuliza kitu hicho hicho... kodi inapandishwaje na TRA tena katikati ya mwaka wa fedha?Epuka matapeli, kodi zote za TRA hupitishwa na BUNGE LA BAJETI na huanza kutumika tar 1/7 ya kila mwaka.
Kabla ya kupost vitu tumieni akili na kichwa kufikiri, sio mnatumia matako yenu kuanzishia mada.
January hii Huku kwenye kikotoo cha TRA Kodi za magari zimepanda maradufu, kabla ya kuagiza jiridhishe na Kodi usije ukatembea unaongea mwenyewe barabarani.
Ila ngoja niulize swali , hivi kwa uchumi wetu wa sasa kuna haja kweli ya kupandisha Kodi za kuingiza magari nchini?
Kusafirisha gari majini bei zipo juu sana almost USD 2000-2500 kwa gari la kawaida?
Kwa ninachokiona TRA watakosa hata hyo kodi waliyokuwa wanaikusanya kwa ajili ya Tamaa, maana kuagiza gari ni gharama sana Watanzania wengi hawataweza kuafford kuagiza magari kutoka japan au kwingineko, na mnyororo wa uchumi utatikisika, mawakala watakosa kazi , spea zitadoda mafuta yenyewe yatauzika kidogo sana , makampuni ya Bima yatafilisika kwani mara nyingi mtu anapoagiza gari ndo anakata Bima kubwa.
Serikali iangalie hili swala la kupandisha kodi hasa kwenye vifaa vya moto bila kuwashirikisha wadau sio vizuri.
Hawataki wengi wamiliki magari kwa mawazo ya kale kuamini gari ni anasa
Na ww ndipo ulipokosea. Hivyo unavosema sawasawa na mm nafahamu hivyo. Lakini kuna gari za mwaka 1999, 2000 , 2004 nazo zimepandishwa wakati hizi zilitakiwa bei zishukeHapa ndo mnapokosea. Hawapandishi bei. Ila kila new year inapanda automatically kutokana na age kuongezeka kwenye excise duty due to age. Kama ulichungulia december 2022 gari ya 2010 ilikuwa na miaka 12, ikifika jan 2023 itakuwa na 13 years so excise duty to age itapanda pia and that means cif yote inapanda. Ila ni automatic process sio kuwa wanapandisha makusudi
Yeah, Watz hatujipi muda wa kutafakari, we always watu wa kulaumu bila kujifunza. Shukrani kwa kuelewa mkuu.Aisee shukrani Sana mkuu, hapo nimekusoma.
1999, 2004, na 2004 zishuke?? Huo uchakavu wa miaka 20 uachwe nchini ufanye nini??Na ww ndipo ulipokosea. Hivyo unavosema sawasawa na mm nafahamu hivyo. Lakini kuna gari za mwaka 1999, 2000 , 2004 nazo zimepandishwa wakati hizi zilitakiwa bei zishuke
kwa ninavyoelewa hata mimi mwaka ukibadilika maana yake kama gari ilibakiza mwaka mmoja iwe kwenye kutozwa uchakavu ikifika januari itaanza tozwa sababu tayari mwaka utakuwa umebadilika.Mzee hawajapandisha, sema mfumo unareact wenyewe kutokana na umri wa Gari. Mwaka unapoongezeka na uchakavu huongezeka, na sio kwamba Wanapandisha bei mkuu. Wewe fanya hivi kama ulitaka kuagiza gari ya mwaka 2015 basi sasa agiza la mwaka 2016 utaona bei ni ileile.
ni kweli Planet Subaru bei zinabadilika za uchakavu kwa kuwa mwaka unabadilika.Hapa ndo mnapokosea. Hawapandishi bei. Ila kila new year inapanda automatically kutokana na age kuongezeka kwenye excise duty due to age...
Kabisa monsieur scaramanga. Vipi golden gun bado unayo?ni kweli Planet Subaru bei zinabadilika za uchakavu kwa kuwa mwaka unabadilika.
Wengi hatuelewi hili. January kweli utaona mabadiliko sababu ya miaka kubadilika.