TRA waunde kitengo cha upangishaji wa nyumba, kila mwenye nyumba aripoti TRA anapotaka kupangisha na iwe kwa mujibu wa sheria

TRA waunde kitengo cha upangishaji wa nyumba, kila mwenye nyumba aripoti TRA anapotaka kupangisha na iwe kwa mujibu wa sheria

Udalali uko kila mahali
Udalali haukwepi

Ova
 
Mimi ni miongoni mwa watu naopinga sana madalali kutaka kulipwa kodi ya mwezi mmoja kwani ni kuumiza wapangaji kwa kuwaongezea gharama za maisha. Kibaya zaidi, wako wenye nyumba hawapangishi mtu bila kupitia madalali wao hata kama inawezekana kupanga bila kupitia hao madalali.

Hivyo, nakubaliana na Lukuvi wenye nyumba wawalipe madalali na jambo hili litungiwe sheria na sheria itoe adhabu ya kifungo au faini au vyote kwa pamoja kwa atakaekaidi.

Sambamba na hilo, TRA waanzishe kitengo cha upangishaji nyumba ambapo wenye nyumba watatakiwa kutoa taarifa TRA wanapotaka kupangisha, kisha jukumu la kutafuta wapangaji liwe la TRA, ila mwenye nyumba aruhusiwe kuweka mpangaji bila kupitia TRA mradi tu alipe kodi.

Utaratibu huu ukiwekwa kisheria, sio tu utaondoa unyonyaji wa madalali, bali uta-facilitate ukusanyaji wa kodi kupitia nyumba za kupangisha na ambao teyari upo kwa mujibu sheria.

Mwanachi yoyote anaetaka nyumba ya kupangisha, atakiwe(kwa mujibu wa sheria) kufika katika ofisi za TRA, na kisha TRA kupitia kitengo husika, watakuwa na jukumu la kuwapangisha wananchi na hapo hapo kukusanya kodi ya serikali.

Tena TRA wanaweza kufanya kazi hii katika mazingira bora zaidi kwa kuwapeleka wateja kwa kutumia magari yao, pikipiki au bajaji maalumu ziitazonunuliwa kwa kutumika fedha zitazokusanywa kupitia upangishaji wa aina hii.

Hakuna kinachoshindikana kama dhamira ipo. Kama kupata baadhi ya huduma tunalazjmika kwanza kupitia TRA, kwani hili la kupangisha kupitia TRA lishindikane?

Haingiii akilini hata kidogo kwa mtumishi wa serikali mwenye mshahara wa shilingi 300,000 kwa mwezi, alipe kodi(PAYE), halafu dalali au mwenye nyumba anaeingiza malaki au mamilion kadhaa anapopangisha, asilipe kodi(huu ni uwendawazimu kabisa).
Ipo hivi Duniani kote kuna courses Mtu anaetaka kuwa Real Estate agent/broker anaenda Darasani anasoma 3-12 months baada ya hapo anakata Leseni ya kuwa Real Estate agent.Hapa pia atakata Leseni ya Biashara na TIN. wenye nyumba /vyumba vya kupangisha wanawa contact na kuwapa kazi ya kutangaza uwepo nyumba za kupanga na kiasi cha kodi kwa mwezi .Real estate agent yeye anatop up few %.mpangaji anapewa acc ya Bank analipia Bank-Mfano South Africa Real Estate Agents Account zao Mpngaji akilipa kuna settings bank wameweka zinaenda moja kwa moja kwa mwenye Nyumba na agent inabaki comission yake.So kama agent amepangisha wateja mia au zaidi anauwezo wa kupata mpaka 10M za kitanzania kwa mwezi. Hii ni nzuri kwani kila mwezi agent anapata hela kiasi na ni endelevu .Hapa Tz kodi ya mwezi ata kama dalali anafaidika lakini ni kidogo sana pia sustainability aipo na wengi wanaishi maisha ya kubahatisha bahatisha.
 
Udalali uko kila mahali
Udalali haukwepi

Ova
Mleta mada hajielewi huwezi kabidhi Mali yako ya Mamilioni kwa mtu usiyemjua mfano huwezi mkabidhi bodaboda ,au bajaji,au daladala au nyumba mtu usiyemjua Akiuza au kutoroka au afanye tukio baya utampata wapi?

Ndio maana wamiliki wengi material wa properties ikiwemo nyumba za kupanga hutaka mtu apitie kwa madalali

Dalali akisema ok owner anakubali deal
Fikiria unamiliki bodaboda , bajaji au daladala au nyumba mtu anakuja humjui ohhh nipe !!!! Una akili kumpa? Kunatakiwa third party refference ambaye Ni dalali
Wanaokataa dalali asiwepo Ni majambazi

Madalali sio majambazi wao ndio majambazi
 
Ni manufaa yako mpangaji sio mwenye nyumba dalali Ni wakili wa mpangaji kumbuka hata tatizo likitokea mfano umepangisha jambazi mwenye nyumba mtu wa kwanza kudakwa Ni dalali aliyekupeleka sio mwenye nyumba

Dalali ndie hubeba Zigo la kuwa anakujua vizuri.Risk zote huangukia kwake.

Wewe ndie unayemtuma Kama wakili wako . Kumlipa kazi yake ya uwakili Ni yako
Kwani mpangaji/anayetaka nyumba si anapatikana kwa juhudi za madalali
Sasa kuwa na nyumba yako alafu uipangishe
Bila kutegemea madalali
Uone

Ova
 
Udalali uko kila mahali
Udalali haukwepi

Ova
Wenzetu wanafanya kiprofesional sio kama huku kwetu Boss Mrangi.Na pia iwapo Serikali ikairasimisha hii professional itawasaidia ata hao madalali wenyewe.So wakati umefika hii sekta kuboreshwa na kuifanya iwe fani inayotambulika
 
Mleta mada hajielewi huwezi kabidhi Mali yako ya Mamilioni kwa mtu usiyemjua mfano huwezi mkabidhi bodaboda ,au bajaji,au daladala au nyumba mtu usiyemjua Akiuza au kutoroka au afanye tukio baya utampata wapi?

Ndio maana wamiliki wengi material wa properties ikiwemo nyumba za kupanga hutaka mtu apitie kwa madalali

Dalali akisema ok owner anakubali deal
Fikiria unamiliki bodaboda , bajaji au daladala au nyumba mtu anakuja humjui ohhh nipe !!!! Una akili kumpa? Kunatakiwa third party refference ambaye Ni dalali
Wanaokataa dalali asiwepo Ni majambazi

Madalali sio majambazi wao ndio majambazi
Ndo maana Serikali inatakiwa kuja na mkakati wa kurasimisha hii kada iwe kama ya wanasheria,wahasibu etc .Ukikiuka miiko ya kazi unafungiwa
 
Mimi ni miongoni mwa watu naopinga sana madalali kutaka kulipwa kodi ya mwezi mmoja kwani ni kuumiza wapangaji kwa kuwaongezea gharama za maisha. Kibaya zaidi, wako wenye nyumba hawapangishi mtu bila kupitia madalali wao hata kama inawezekana kupanga bila kupitia hao madalali.

Hivyo, nakubaliana na Lukuvi wenye nyumba wawalipe madalali na jambo hili litungiwe sheria na sheria itoe adhabu ya kifungo au faini au vyote kwa pamoja kwa atakaekaidi.

Sambamba na hilo, TRA waanzishe kitengo cha upangishaji nyumba ambapo wenye nyumba watatakiwa kutoa taarifa TRA wanapotaka kupangisha, kisha jukumu la kutafuta wapangaji liwe la TRA, ila mwenye nyumba aruhusiwe kuweka mpangaji bila kupitia TRA mradi tu alipe kodi.

Utaratibu huu ukiwekwa kisheria, sio tu utaondoa unyonyaji wa madalali, bali uta-facilitate ukusanyaji wa kodi kupitia nyumba za kupangisha na ambao teyari upo kwa mujibu sheria.

Mwanachi yoyote anaetaka nyumba ya kupangisha, atakiwe(kwa mujibu wa sheria) kufika katika ofisi za TRA, na kisha TRA kupitia kitengo husika, watakuwa na jukumu la kuwapangisha wananchi na hapo hapo kukusanya kodi ya serikali.

Tena TRA wanaweza kufanya kazi hii katika mazingira bora zaidi kwa kuwapeleka wateja kwa kutumia magari yao, pikipiki au bajaji maalumu ziitazonunuliwa kwa kutumika fedha zitazokusanywa kupitia upangishaji wa aina hii.

Hakuna kinachoshindikana kama dhamira ipo. Kama kupata baadhi ya huduma tunalazjmika kwanza kupitia TRA, kwani hili la kupangisha kupitia TRA lishindikane?

Haingiii akilini hata kidogo kwa mtumishi wa serikali mwenye mshahara wa shilingi 300,000 kwa mwezi, alipe kodi(PAYE), halafu dalali au mwenye nyumba anaeingiza malaki au mamilion kadhaa anapopangisha, asilipe kodi(huu ni uwendawazimu kabisa).

Kwangu binafsi kuwakutanisha wenye nyumba na TRA sijaona kama imekaa sawa.

Nadhani, hii ni fursa kwa watu waliosoma IT,

FURSA KIAJE?
Dalali ni nani: Ni mtu kati, anayekutanisha wajitaji pande mbili tofauti.

Patengenezwe app maalumu, au website ambapo itawakutanisha wenye nyumba na wapangaji. Ifanyike marketing ya kutosha kutangaza hiyo app/website ambapo kila anayejisahili kutaka kupanga/kupangisha anafanya malipo (say 5000) (hii ni registration fee anayopata mwenye hiyo platform). Hii app ina maana itaweza tumika Tanzania nzima, East Africa, Africa na dunia nzima huko mbeleni

Mwenye nyumba awe na acess ya kujaza information kama sehemu nyumba ilipo, size, vyumba vingapi, nk hadi picha aweke na bei

Mpangaji anayehitaji anaingia na kujichagulia nyumba sehemu anayohitaji, anakutana na mwenye nyumba moja kwa moja


Vivyo hivyo, kwenye transportation services..hasa kwenye magari ya mizigo, ifanyike hivi hivi kati ya transporters na wanaosafirisha vitu vyao

Mnishukuru kwa idea nzuri



HATA HAPA JAMIIFORUM, [mention]Maxence Melo [/mention] anaweza tumia hii fursa pia
 
Mleta mada hajielewi huwezi kabidhi Mali yako ya Mamilioni kwa mtu usiyemjua mfano huwezi mkabidhi bodaboda ,au bajaji,au daladala au nyumba mtu usiyemjua Akiuza au kutoroka au afanye tukio baya utampata wapi?

Ndio maana wamiliki wengi material wa properties ikiwemo nyumba za kupanga hutaka mtu apitie kwa madalali

Dalali akisema ok owner anakubali deal
Fikiria unamiliki bodaboda , bajaji au daladala au nyumba mtu anakuja humjui ohhh nipe !!!! Una akili kumpa? Kunatakiwa third party refference ambaye Ni dalali
Wanaokataa dalali asiwepo Ni majambazi

Madalali sio majambazi wao ndio majambazi
Kama unamuweka dalali kulinda masilahi yako, kwaninii mizigo wa kumlipa huyo dalali abebe mpangaji? Akili ya wapi hii?!
 
Kwangu binafsi kuwakutanisha wenye nyumba na TRA sijaona kama imekaa sawa.

Nadhani, hii ni fursa kwa watu waliosoma IT,

FURSA KIAJE?
Dalali ni nani: Ni mtu kati, anayekutanisha wajitaji pande mbili tofauti.

Patengenezwe app maalumu, au website ambapo itawakutanisha wenye nyumba na wapangaji. Ifanyike marketing ya kutosha kutangaza hiyo app/website ambapo kila anayejisahili kutaka kupanga/kupangisha anafanya malipo (say 5000) (hii ni registration fee anayopata mwenye hiyo platform).

Mwenye nyumba awe na acess ya kujaza information kama sehemu nyumba ilipo, size, vyumba vingapi, nk hadi picha aweke na bei

Mpangaji anayehitaji anaingia na kujichagulia nyumba sehemu anayohitaji, anakutana na mwenye nyumba moja kwa moja


Vivyo hivyo, kwenye transportation services..hasa kwenye magari ya mizigo, ifanyike hivi hivi kati ya transporters na wanaosafirisha vitu vyao

Mnishukuru kwa idea nzuri



HATA HAPA JAMIIFORUM, [mention]Maxence Melo [/mention] anaweza tumia hii fursa pia
Sawa mradi tu na wao walipe kodi.
 
Udadali dunia nzima upo, ila kinachotakiwa ni kuutambua kisheria ili hawa jamaa walipe kodi.

Udalali ni kazi ya information flow, anayetaka nyumba hamjui mwemye nyumba kwa sababu hatuna mfumo wa kuwakutanisha hawa wawili sasa hapa ndipo Dalali anapoingia.

Udalali si kwenye nyumba tu ni katika kila secta wapo.
 
Kama unamuweka dalali kulinda masilahi yako, kwaninii mizigo wa kumlipa huyo dalali abebe mpangaji? Akili ya wapi hii?!
Sio maslahi yangu nataka third party refference .Huwezi kuja to nyumbani kwangu sikujui wewe gaidi au jambazi ohh Mimi nataka kupanga kwako pesa hii hapa.

Refference wako Nani? Third party Mimi ambaye namjua? Anayeweza take risk Kama wewe gaidi au jambazi mnayejuana naye na Mimi namjua?

Hivi kwa akili yako unadhani mtu aweza kukupangisha nyumba ya apartment mfano Ina asset za ndani za milioni Mia kwa mtu ambaye hamjui na Hana refference reliable wa kumleta kwako? Sio unayemjua mwenye nyumba tu Bali na yeye dalali anamjua

Mimi nyumba zangu sikubali kumpangisha mtu nisiyemjua hata uje na midola sikupangishi dalali ninayemjua ndio akulete malipo ya udalali mtamalizana huko huko hainihusu
 
Mleta mada hajielewi huwezi kabidhi Mali yako ya Mamilioni kwa mtu usiyemjua mfano huwezi mkabidhi bodaboda ,au bajaji,au daladala au nyumba mtu usiyemjua Akiuza au kutoroka au afanye tukio baya utampata wapi?

Ndio maana wamiliki wengi material wa properties ikiwemo nyumba za kupanga hutaka mtu apitie kwa madalali

Dalali akisema ok owner anakubali deal
Fikiria unamiliki bodaboda , bajaji au daladala au nyumba mtu anakuja humjui ohhh nipe !!!! Una akili kumpa? Kunatakiwa third party refference ambaye Ni dalali
Wanaokataa dalali asiwepo Ni majambazi

Madalali sio majambazi wao ndio majambazi
Kweli kabisa

Alafu hizi biashara zinaenda na connection

Chain

Ova
 
Udadali dunia nzima upo, ila kinachotakiwa ni kuutambua kisheria ili hawa jamaa walipe kodi.

Udalali ni kazi ya information flow, anayetaka nyumba hamjui mwemye nyumba kwa sababu hatuna mfumo wa kuwakutanisha hawa wawili sasa hapa ndipo Dalali anapoingia.

Udalali si kwenye nyumba tu ni katika kila secta wapo.
Hata kwenye madini kuna mabrokers

Kwenye hisa kuna brokers etc

Ova
 
Wenzetu wanafanya kiprofesional sio kama huku kwetu Boss Mrangi.Na pia iwapo Serikali ikairasimisha hii professional itawasaidia ata hao madalali wenyewe.So wakati umefika hii sekta kuboreshwa na kuifanya iwe fani inayotambulika
Hata dalali professional atataka hela ya mwezi mmoja mkuu
Si kampata mteja
Hapa issue ni upatikanaji wa mteja

Ova
 
Mimi ni miongoni mwa watu naopinga sana madalali kutaka kulipwa kodi ya mwezi mmoja kwani ni kuumiza wapangaji kwa kuwaongezea gharama za maisha. Kibaya zaidi, wako wenye nyumba hawapangishi mtu bila kupitia madalali wao hata kama inawezekana kupanga bila kupitia hao madalali.

Hivyo, nakubaliana na Lukuvi wenye nyumba wawalipe madalali na jambo hili litungiwe sheria na sheria itoe adhabu ya kifungo au faini au vyote kwa pamoja kwa atakaekaidi.

Sambamba na hilo, TRA waanzishe kitengo cha upangishaji nyumba ambapo wenye nyumba watatakiwa kutoa taarifa TRA wanapotaka kupangisha, kisha jukumu la kutafuta wapangaji liwe la TRA, ila mwenye nyumba aruhusiwe kuweka mpangaji bila kupitia TRA mradi tu alipe kodi.

Utaratibu huu ukiwekwa kisheria, sio tu utaondoa unyonyaji wa madalali, bali uta-facilitate ukusanyaji wa kodi kupitia nyumba za kupangisha na ambao teyari upo kwa mujibu sheria.

Mwanachi yoyote anaetaka nyumba ya kupangisha, atakiwe(kwa mujibu wa sheria) kufika katika ofisi za TRA, na kisha TRA kupitia kitengo husika, watakuwa na jukumu la kuwapangisha wananchi na hapo hapo kukusanya kodi ya serikali.

Tena TRA wanaweza kufanya kazi hii katika mazingira bora zaidi kwa kuwapeleka wateja kwa kutumia magari yao, pikipiki au bajaji maalumu ziitazonunuliwa kwa kutumika fedha zitazokusanywa kupitia upangishaji wa aina hii.

Hakuna kinachoshindikana kama dhamira ipo. Kama kupata baadhi ya huduma tunalazjmika kwanza kupitia TRA, kwani hili la kupangisha kupitia TRA lishindikane?

Haingiii akilini hata kidogo kwa mtumishi wa serikali mwenye mshahara wa shilingi 300,000 kwa mwezi, alipe kodi(PAYE), halafu dalali au mwenye nyumba anaeingiza malaki au mamilion kadhaa anapopangisha, asilipe kodi(huu ni uwendawazimu kabisa).

Kwani kodi zenyewe siyo zinaishia kwenye madege na yale mapocho pocho ya kina Jobo?
 
Sio maslahi yangu nataka third party refference .Huwezi kuja to nyumbani kwangu sikujui wewe gaidi au jambazi ohh Mimi nataka kupanga kwako pesa hii hapa.

Refference wako Nani? Third party Mimi ambaye namjua? Anayeweza take risk Kama wewe gaidi au jambazi mnayejuana naye na Mimi namjua?

Hivi kwa akili yako unadhani mtu aweza kukupangisha nyumba ya apartment mfano Ina asset za ndani za milioni Mia kwa mtu ambaye hamjui na Hana refference reliable wa kumleta kwako? Sio unayemjua mwenye nyumba tu Bali na yeye dalali anamjua

Mimi nyumba zangu sikubali kumpangisha mtu nisiyemjua hata uje na midola sikupangishi dalali ninayemjua ndio akulete malipo ya udalali mtamalizana huko huko hainihusu
Sasa si ndio umlipe wewe mwenye nyumba?
 
Kustaafu isiwe sababu ya kutolipa kodi na kutafuta huruma ili hali unaingiza kipato tena sometimes kikubwa kuliko cha wale walioko makazini.

Kumbukeni misaada mnayopewa na wazungu ni kodi za watu wakiwemo wastaafu.
Gharama za umiliki wa jengo
°Lend rent
°mantain serv
°sewerage majitaka
°Ulinzi
°Korokoro nyingine nyingi mno.
 
Hata dalali professional atataka hela ya mwezi mmoja mkuu
Si kampata mteja
Hapa issue ni upatikanaji wa mteja

Ova
hapana -Duniani kote hata Kenya hakuna kodi ya mwezi ! why kuna commission agents?? madalali wa magari wanaishije??? wanapata nn?? wakiuza gari??- ukweli tumekosea sana kwenye hili kama taifa na kweli kuna haja ya kubadilika
 
Back
Top Bottom