TRA yadaiwa kuvamia Waturuki na kufunga Ofisi jioni ya Leo (Desemba 14, 2020)

Hawa wasio kuwa na mtaji wanini sasa? Afu unakuta wana dharau kama mbwa aliyeshiba panyabuku walio-oza!
 
Walipe nini? Wamefanya biashara ipi? Acheni kuichafua CCM kwa kulazimisha wizi wa kudai kodi hewa
Hahaha ccm ichafuliwe?! Yani kweli nchi hii inavituko, ccm ichafuliwe na nani tena?!
 
Na hilo ndio swali...kwanini ulipe kodi wakati hujaanza kufanya biashara?

Hapana sheria inakutaka uanze kulipa kodi pindi tu biashara itakapokuwa nzuri ndomana unapewa miezi6 ya kuangalia before kuanza kulipa, ikitokea biashara imekuw nzuri na mauzo yako juu unatakiwa urud tra uongezewe kodi na kama biashara haielewek inatakiwa urud ili upunguziwe kodi.
 
Inawezekana kabisa kuwa wewe huelewi global business operations and financing. Biashara ya bank ni credit creation (kutoa mikopo) no matter kwa mwenyeji au mgeni. Sasa iwapo wenyeji hawakopi kwa ajili ya ku-reifnorce banks' credit creation mabenki yakubali kufa kibiashara badala ya kufanya biashara na wageni wanaochangia kukua kwa biashara za kibenki!?

Aidha, hoja yako inabainisha kutokujua kabisa sayansi ya uchumi. Unadhani mikopo ya kibiashara inahusisha a limited cash available in the bank deposits. Kwamba akikopa fulani (wageni kutoka Uturuki) ataimaliza hivyo wenyeji wasipate mkopo. Pole. Dhana ya biashara ya kibenki haiko hivyo. Actually the positive relationship is true. Mikopo mingi inapotolewa na benki, if well managed, ndio huzaa pesa nyingi Kwa ajili ya wafanya biashara wengine kukopa.

Kwa hiyo hakuna sababu ya kuhesabu failures zako za kukosa/kutochukua mkopo kutoka Benki kuwa kumesababishwa na wageni waliokuja na bankable business plan. Be competitive, andaa a bankable business plan yako na kuiuza Benki pia.

Ni hayo tu
 
Kwa kubariki vitendo vya TRA kusumbua wafanyabiashara kuchukua Hongo
Hahaha ccm ni rushwa na rushwa ni ccm, hii ni serikali ya ccm. Taasisi zote za serikali ni mali za ccm, na yote wafanyayo ni ya ki ccm, sasa nani anaweza kuichafua ccm tena?!
 
Hahaha ccm ni rushwa na rushwa ni ccm, hii ni serikali ya ccm. Taasisi zote za serikali ni mali za ccm, na yote wafanyayo ni ya ki ccm, sasa nani anaweza kuichafua ccm tena?!
Kubariki TRA ifanye dhuluma na wafanyakazi wake kudai Hongo kwa wafanyabiashara ni ccm inachafuka hapo
 
Kubariki TRA ifanye dhuluma na wafanyakazi wake kudai Hongo kwa wafanyabiashara ni ccm inachafuka hapo
Hahaha ccm ni rushwa na rushwa ni ccm , na hii ni serikali ya ccm, TRA ni mali ya ccm wanatekeleza ya ccm, hapo hakuna wa kuichafua ccm.
 
Shida ya Bank kutotoa Mkopo au mkopo kuchelewa inakuwa issue ya TIC ??
Au issue ya TRA kudai chao imekuwa issue ya TIC?
Unazo facts za TRA kufanya hivyo au ndio sera za ufipa za kuota mchana
 
Sasa kama hawa jakizi vigezo tuwape tu.
 
Hii ni kutoka officer mmoja ya Tra nilimuhoji na akanieleza kuwa tatizo watu hawajui sheria za kodi. TRA hawawezi kuotta kuwa biashara fllani imefungwa au inapata hasara. Unachotakiwa kufanya ni kufile notice au maelezo juu ya mwenendo wa biashara yako. Sasa mtu anaanza biashara leo anapata misuko suko anafunga hata kwa miaka kadhaa ili ajipange na anakaa kimya. Siku anapata nguvu anafungua tena anaenda tra anakutana na deni kubwa.
 
Unajua maana ya Local Bank? Yaani unsye muita muwekezaji aje mikono mitupu ategemee mkopo toka Local Bank? Hakuna haja ya kuwa na Kituo cha Uwekezaji.
Kwa iyo kuwa local bank ndo inamaanisha kuwa hafanyi biashara na wawekezaji?? Una elimu gani we mtu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…