TRA yadaiwa kuvamia Waturuki na kufunga Ofisi jioni ya Leo (Desemba 14, 2020)

TRA yadaiwa kuvamia Waturuki na kufunga Ofisi jioni ya Leo (Desemba 14, 2020)

Tatizo la jf wachangiaji wengi nawanaopewa kipaumbele ni wachadema.

Hawawezi kuchangia bila kuinguza siasa zao za kisariti.

Hawa waturuki kama hujui walipoanzisha kile kiwanda walienda moja ya bank (sitaitaja) wakakopeshana kwa njia isiyo halali, kwa maana ya viongozi wa bank hyo nao walikula kupitia mgongo huo.

Nadhamana kubwa ilikuwa ni aridhi kwa maana ya kiwanja na mitambo, lakini mitambo wakathaminisha zaidi ya thamani husika.
Wakapiga pesa, bank nayo ikajifia, ndo moja ya bank zilizofutwa.
Kumbuka pesa niza wanahisa naniza seeikali, waturuki wakasepa, ndo serikali inaendelea kung'ata mmoja mmoja.

TRA wako nao wanadai kodi zao. Kosa liko wapi???
Kwani wa CCM wanakatazwa kuchangia?
 
Twende taratibu, yaani Waturuki wanakuja kuwekeza nchini mwetu kwa kutegemea kukopa kwenye benki za ndani?
Are we serious??
Kabla hatujamlaumu TRA au mtu yeyote, tujiulize hao ni wawekezaji au wanatupotezea muda?
 
Me bado nawalalamikia TRA kuongeza kodi ya leseni ya udereva toka 40,000 hadi 70,000 (75%). Mtu mzima nimetoka home na elfu 50, nikijua nalipa elfu 40 nabakiwa na hela ya kula, nakutana na bili ya elfu 70. Hivi TRA wanaona kila dereva ni tajiri eenh? Hawajui wengine tunategemea hizo leseni tupate mkate wa siku?

Mnatukamua kila sehemu hadi tutatoka damu badala ya maziwa
Miaka imeongezeka hadi mitano toka mitatu
 
Biashara kwanza ni kichwa, Mtaji na eneo labishara, sasa hapa kwetu swala la mtaji ni ngumu kwani pesa ni ghali, na kwao inawezekana kupata mtaji na kuleta hapa ni shida, ndio maana wakaeleta mitambo, ili wapate pesa za uendeshaji huku. kila kitu kina hatari yake na ili kufikia mafanikio lazima uende kwenye risks ambazo wengi wanaziogopa. ili nchi iendele inahitahi wafanyabiashara, na lazima ibadilishe sheria, na Hisia za namna ya kufanya kazi pamoja na wafanya biashara.
 
Na wasiporudi hao Waturuki itakuwaje?

READ! Taarifa inasema Waturuki wamekosa mkopo wa benki za ndani

Maana yake hawakuja na mtaji!

Ndio haya Marehemu Mengi alikuwa anayasema wakati ana bifu na Wahindi, walikuwa wanamwambia tumekuja na briefcase la makaratasi ya business plan za kutajirikia hapa hapa kwenu! Yani sisi ni vichwa panzi.

Magufuli fukuza hao Waturuki!

Thank God Almighty tumepata kichaa mzalendo Ikulu hapapatikii wazungu, hafagilii wageni!

ALHAMDULLILAH ALA KULLI HAAAL HADHA MIN FADLI RABBI
Daah mkuu hii una maanisha au jokes. Kwani kuchukua mkopo kutoka mabenki ya ndani ni kosa? Vipi ,kuna mtanzania amefanya hivyo ?
 
Unaweza au tuseme inawezekana ukalipa kodi kabla ya kufanya biashara kwa kukadiria/ kukisia kuwa faida itafikia kiasi gani mwisho wa mwaka, halafu mwisho wa mwaka mkishafanya mahesabu, ama unalipa palipopungua au wao wanarudisha zilizozidi.
Kwanini wasisubiri mpaka ufanye biashara.

Huoni ukilipa kodi kabla ya biashara hujafanya unapunguza mtaji?
 
Hahaha walipe tu, kama hawana cha kulipa waondoke, serikali ya ccm hii.
 
Kwanini wasisubiri mpaka ufanye biashara.

Huoni ukilipa kodi kabla ya biashara hujafanya unapunguza mtaji?
Swali la kwa nini linaashiria shari. Ila ni utaratibu unatumika sana nchi zilizoendelea pia. Binafsi siuchukii, kwa kuwa mara nyingi hurudishiwa kodi niliyolipa ziada.
 
Tatizo la jf wachangiaji wengi nawanaopewa kipaumbele ni wachadema.

Hawawezi kuchangia bila kuinguza siasa zao za kisariti.

Hawa waturuki kama hujui walipoanzisha kile kiwanda walienda moja ya bank (sitaitaja) wakakopeshana kwa njia isiyo halali, kwa maana ya viongozi wa bank hyo nao walikula kupitia mgongo huo.

Nadhamana kubwa ilikuwa ni aridhi kwa maana ya kiwanja na mitambo, lakini mitambo wakathaminisha zaidi ya thamani husika.
Wakapiga pesa, bank nayo ikajifia, ndo moja ya bank zilizofutwa.
Kumbuka pesa niza wanahisa naniza seeikali, waturuki wakasepa, ndo serikali inaendelea kung'ata mmoja mmoja.

TRA wako nao wanadai kodi zao. Kosa liko wapi???
Siyo kweli kwenye kero za TRA hakuna chadema wala CCM wote wanataabika na kero za TRA usiwasingizie uongo waturuki kuharalisha utetezi wako dhidi ya kasoro za watumishi wa TRA
 
Unaweza au tuseme inawezekana ukalipa kodi kabla ya kufanya biashara kwa kukadiria/ kukisia kuwa faida itafikia kiasi gani mwisho wa mwaka, halafu mwisho wa mwaka mkishafanya mahesabu, ama unalipa palipopungua au wao wanarudisha zilizozidi.
Tangu lini TRA wakarudisha fedha iliyozidi.
 
Wewe hujui wakikopa kwenye Bank zetu, bank zinafanya biashara kubwa na kuingiza faida kubwa???

Hivi CCM kuwa kilaza na sifa ya kujiunga na CCM??
Hiyo faida kubwa inakusaidia nini wewe mnyonge unayewekewa riba kubwa, akili ndogo ni shida..
 
Kwa akili yako unadhani wawekezaji wanawekeza na hela zao za mfukoni????

Enyi watanzania ni nani aliyewaroga??? Hivi ujamaa ndo umewafanya muwe na akili za kipumbavu namna hii????

Kwa taarifa yako, duniani, hakuna kuwekeza ni genuine anayetoa hela yake mfukoni na anawekeza. Kwa practice ya Duniani almost kila mfanyabiashara anakopa Bank na kuwekeza. Kwa duniani Bank ni sehemu ya kufanya biashara ya hela, kukopesha na sio sehemu ya kuweka fedha. Amka kilaza wewe
Unajua maana ya Local Bank? Yaani unsye muita muwekezaji aje mikono mitupu ategemee mkopo toka Local Bank? Hakuna haja ya kuwa na Kituo cha Uwekezaji.
 
Kitila Mkumbo, Waziri wa Uwekezaji, kasema TRA isinyanyase wawekezaji na kuwafanya kama ATM, bali iwape incentives za ku invest.

Kinachosemwa na kinachofanywa ni vitu viwili tofauti.


"We need to change our mindset. Officials working with investment facilitation institutions should not see themselves as bosses to investors, we should look at them as partners and your duty is to facilitate," he said.

He directed the TIC to strengthen coordination and relationship with other institutions working for facilitating investments, including regulatory bodies, such as the Tanzania Revenue Authority (TRA), to ensure there is a good business environment.
 
Na wasiporudi hao Waturuki itakuwaje?

READ! Taarifa inasema Waturuki wamekosa mkopo wa benki za ndani

Maana yake hawakuja na mtaji!

Ndio haya Marehemu Mengi alikuwa anayasema wakati ana bifu na Wahindi, walikuwa wanamwambia tumekuja na briefcase la makaratasi ya business plan za kutajirikia hapa hapa kwenu! Yani sisi ni vichwa panzi.

Magufuli fukuza hao Waturuki!

Thank God Almighty tumepata kichaa mzalendo Ikulu hapapatikii wazungu, hafagilii wageni!

ALHAMDULLILAH ALA KULLI HAAAL HADHA MIN FADLI RABBI
Asiye jua plan za biashara mataga kama wewe unafurahia hujaona magorofa yanaandikwa TO LET na hasara yake unajua nini mtu analipia kodi jengo yeye halipangishi
 
Nilikuja juwa hilo baadae nimechelewa mkuu acha tu, wananidai milion1.
Yaani wwe umenifurahisha sana,ulipofungua biashara yako ulienda TRA wwe mwenyewe,na ulipofunga biashara yako ukafurahi kua Sasa nimesha wakomoa TRA ukapiga kimya bila kuwataarifu TRA,na TRA wao wakaendelea kukupiga charge zao Kama kawa! Mkuu hata Mke au Mume ukimuacha toa taarifa ili Watu tujuwe, maana anaweza hata kuchukua Mkopo kwa jina lako kumbe ulishampiga chini kitambo tu!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom