Kusaka hongo ni uvamiziKwanini umetumia neno kuvamia? Unajua maana ya kuvamia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kusaka hongo ni uvamiziKwanini umetumia neno kuvamia? Unajua maana ya kuvamia?
Huhitaji akili za mturuki kuendesha biashara pia na yeye hahitaji wizi wako wa kwenda kumsingizia kodi hewaMUONGO MKUBWA!
You have corn flakes for brains.
TIC na Serikali hawawezi kuahidi incentive ya kukopesha mjuba yeyote duniani kwa sababu Tanzania Investment Center SIO BENKI
TIC haiwezi kuiambia benki ya Exim, wee benki mkopeshe huyo Mchina!
Eti hawakujua kama watanyimwa mkopo. Wangetuma maombi ya mkopo kabla hawajaja.
Unatokaje Ulaya kuja kuomba mkopo Benki ya Maendeleo Vijijini, Madale kwa Mfuga Mbwa?
Revoke their Visas, ship them back. Instabul must refund us for the deportation tickets.
Hatuhitaji akili ya Mturuki kuendesha biashara ya vigae.
Hapa sasa kosa lako.Nilikuja juwa hilo baadae nimechelewa mkuu acha tu, wananidai milion1.
Halaf utasikia lafa jamo anakenyua meno eti "nataka netengeneze mabiorenea"Jioni ya leo, TRA imevamia na kufunga ofisi moja ambayo ilikuwa bado haijaanza kufanya kazi wakidai kodi. Hii ni kampuni ya Waturuki inayohusika na kutengeneza tiles za majengo. Mashine zililetwa lakini kwa bahati mbaya jamaa walishindwa kuanza kufanya kazi kutokana na mtaji kutokutosha.
Waturuki walitegemea kupata mkopo kwenye moja ya mabenki ya ndani, kitu ambacho kimechelewa. Mategemeo yao ilikuwa ni kupata mkopo mwezi wa 4 lakini hadi Desemba mkopo ulikuwa bado haujapitishwa. Kwa maana hiyo hawakuwa na jinsi ya kuanza operations zao.
Hii kampuni ipo maeneo ya Mbezi Afrikana, na kwa bahati mbaya, magari ya TRA wamevamia jioni hii na kufunga ile ofisi na kumchukua mtu anayesimamia ile mali maana wengine inaonekana wako nje ya nchi. Na kwa sababu hakuna kazi, ni mmoja wao amebakia pale kulinda mali.
Ni uchumi wa dole la kati.Uchumi wa kati wazidi KUPAA.
Tatizo lao ni rushwa siyo low IQ.Huelewi chochote wewe. Tumewekeza nchi nyingine, tunajua. Kwanza nchi nyingine wanahamasisha ukope kwenye mabank yao kwa sababu unawaongezea biashara.
Unawekeza mpaka kiasi fulani cha kutosheleza kutoa dhamana kwa bank, kisha unachukua mkopo.
TRA ni genge la wahuni. Na wengi wao ni low IQ. Fuatilia hata vyuo walivyosoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa enzi hizi bado unauliza swali hili?Pamoja na mapungufu ya TRA Ila wachangiaji wengi hapa wanakimbilia kuleta Siasa. Wewe kama mtanzania unaweza kwenda uturuki au nchi yoyote hata Kenya bila mtaji wa kutosha ukitegemea benki zao zikukopeshe na ukaachwa tu!?
Wewe umefunua ukurasa mpya, pamoja na kwamba hukueleza kinagaubaga hali halisi ilikuwaje.Tatizo la jf wachangiaji wengi nawanaopewa kipaumbele ni wachadema.
Hawawezi kuchangia bila kuinguza siasa zao za kisariti.
Hawa waturuki kama hujui walipoanzisha kile kiwanda walienda moja ya bank (sitaitaja) wakakopeshana kwa njia isiyo halali, kwa maana ya viongozi wa bank hyo nao walikula kupitia mgongo huo.
Nadhamana kubwa ilikuwa ni aridhi kwa maana ya kiwanja na mitambo, lakini mitambo wakathaminisha zaidi ya thamani husika.
Wakapiga pesa, bank nayo ikajifia, ndo moja ya bank zilizofutwa.
Kumbuka pesa niza wanahisa naniza seeikali, waturuki wakasepa, ndo serikali inaendelea kung'ata mmoja mmoja.
TRA wako nao wanadai kodi zao. Kosa liko wapi???
Huo ni unyinyaji. Ndiyo maana watu wengi wanakwepa kodi.Lazima ulipe makadirio ndo upewe Tax Clearance
Ni uchumi wa dole la kati.
Hata ukiwaandikia barua, wataendelea kukutumia msg tu ya kukumbusha ukalipe kodi.Kiongozi ukifungua biashara alafu ikafa unaandika barua kuwajulisha kuwa biashara yako umeifunga hivyo wasiendelee kukudai tena kodi, lakini biashara ikifa alafu ukakaa kimya wao wanaendela kuhesabu tu kodi yao.
Ndo ujinga wenyewe... EFD za nini sasa? Kuna vitu vipo AUTOMATIC... if you dont see transactions then, mtu hauzi...!! Kwa nini benki wao wakiona hujagusa account kwa miezi kadhaa, inakuwa DOMANT..!!???Kiongozi ukifungua biashara alafu ikafa unaandika barua kuwajulisha kuwa biashara yako umeifunga hivyo wasiendelee kukudai tena kodi, lakini biashara ikifa alafu ukakaa kimya wao wanaendela kuhesabu tu kodi yao.
Boss ila ukiwa na barua ni rahisi kuwarukaHata ukiwaandikia barua, wataendelea kukutumia msg tu ya kukumbusha ukalipe kodi.
Mkuu, nadhani pasiwepo ubishi kwa sababu ya kutaka pawepo ubishi tu.Hiki kitu nakifahamu lakini ni unyanyasaji tunafanyiwa wewe haujaanza biashara ukajua faida yake halafu ukadiriwe kodi means wanakadiria kodi kwenye mtaji wakati uhalisia wanatakiwa kukadiria kodi kwenye Faida, unapokadiria kodi kwenye mtaji unaandaa mazingira ya kuua mtaji.
Alaf hizo msg wanatuma hata 4 kwa siku. Barua ninayo, siku wakizingua nitaruka nao.Boss ila ukiwa na barua ni rahisi kuwaruka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alaf hizo msg wanatuma hata 4 kwa siku. Barua ninayo, siku wakizingua nitaruka nao.
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Hawa TRA kuna siku walinitumia msg 4 mfululizo, kisimu changu kidogo kilivibrate hadi kikaanguka. Ila biashara yenyewe nilishafunga kitaambo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]