Tatizo la jf wachangiaji wengi nawanaopewa kipaumbele ni wachadema.
Hawawezi kuchangia bila kuinguza siasa zao za kisariti.
Hawa waturuki kama hujui walipoanzisha kile kiwanda walienda moja ya bank (sitaitaja) wakakopeshana kwa njia isiyo halali, kwa maana ya viongozi wa bank hyo nao walikula kupitia mgongo huo.
Nadhamana kubwa ilikuwa ni aridhi kwa maana ya kiwanja na mitambo, lakini mitambo wakathaminisha zaidi ya thamani husika.
Wakapiga pesa, bank nayo ikajifia, ndo moja ya bank zilizofutwa.
Kumbuka pesa niza wanahisa naniza seeikali, waturuki wakasepa, ndo serikali inaendelea kung'ata mmoja mmoja.
TRA wako nao wanadai kodi zao. Kosa liko wapi???