TRA yafanya uonevu mkubwa, yapora milioni 700 kwenye akaunti binafsi za Diamond Platnumz

Nenda Youtube utamsikia mwemyewe Mond mpaka kuhusu makadilio ya kodi na mpaka Kampuni ya Wasafi kuidai TRA zaidi ya Million 60 na juzi TRA walivamia Wasafi Media.
CCTV camera ofisi za Wasafi hakuna au mnatuletea ushubwada hapa? Facken shit
 
CCTV camera ofisi za Wasafi hakuna au mnatuletea ushubwada hapa? Facken shit
Sasa makasiliko yann kama umesingiziwa ww? Mond anawezaje kuisingizia TRA? mwenwe mpka anasema TRA wanamfanyia kama mkimbizi! Mpaka anajiuliza kwani wanania gani na kampuni zake!
 
Sasa makasiliko yann kama umesingiziwa ww? Mond anawezaje kuisingizia TRA? mwenwe mpka anasema TRA wanamfanyia kama mkimbizi! Mpaka anajiuliza kwani wanania gani na kampuni zake!
Mkuu leta hapa ushahidi wa CCTV camera km huna kaa kimya
 
Wanalazimisha watu kuficha fedha zao nje ya nchi.ni rahisi sana kuweka fedha zako nje ya nchi na kuzitumia nchini.Hasa kwa sasa ambapo techonologia ya miamala imekuwa..

Ila pia ukwepaji kodi ni uhujumu uchumi.Kama kuna kodi imekwepwa na ndugu Diamond basi Walichofanya TRA kwake ni kwa maslahi mapana ya nchi
 
Muombe mkapige show ya chama itawalipa.Ngedere ninyi!😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…