TRA yafanya uonevu mkubwa, yapora milioni 700 kwenye akaunti binafsi za Diamond Platnumz



Alikua anapewa jeuri na Makonda , sasa hivi naona anajipenyeza kwa Mh Tulia

Diamond anapenda kujipendekeza kwa viongozi hili aweze kufanya ujinga wake akidhani watamkingia kifua kwa upepo wake mdogo wa Elimu ya darasa la saba anadhani ukiwa karibu na viongozi unapata na Hati Miliki ya Nchi
 
Toa sababu kwa nini wamepora... hawajaamka tu na kusema leo tukapore kwa fulani.. ukishindwa kutoa sababu basi ujue ni magumashi ndio maana kaporwa...
 
Kama mwenyekiti wa CHADEMA alizuiliwa akaunti zake bila kuja hapa JF, basi na nyie mtumie njia hizo hizo. Lakini kumbuka kuwa Diamond ni ccm. Sasa sijui chadema imetoka wapi hapo!?

Please tumia akili.
 
Kama mwenyekiti wa CHADEMA alizuiliwa akaunti zake bila kuja hapa JF, basi na nyie mtumie njia hizo hizo. Lakini kumbuka kuwa Diamond ni ccm. Sasa sijui chadema imetoka wapi hapo!?

Please tumia akili.
Hawa ndio walisema Wapinzani tunawachelewesha wakawa wanafurahia uonevu dhidi ya wengine.

Ngoja na sisi tukae kimya. Si na yeye aliimba song kabisa kwamba Bora akae kimya kipindi ambacho watu walikuwa wanatekwa na kupotezwa?
 
Fanyen kaz bhana simlikuwa mnaimba kwenye kampen ama
KAZI IENDELEE
 
Hawa hawa ndio wakati wa Magu walikuwa wanasema TRA wanaonea watu wanaua biashara.eo hii eti TRA haiwezi kuonea mtu!
Na wewe wakati huo ulisimama upande wa nani?

Bila kuungana watz wote tukakataa uonezi hui eti kwa sababu yamemkuta mtu fulani tu wewe hayakuhusu mwisho wa siku kuimba kupokezana.

Mambo mabaya ktk nchi tuyakemee kwa pamoja.
 
We jamaa ni mpumbavu kinoma. Kwahiyo kwa akili yako Bi Husna alienda ofisi za Wasafi kubeba milioni 700? Diamond ni mpuuzi kiasi gani akae na 700m ofisini? Saa nyingine ninyi wavuta bangi msiwe mnacomment kwenye nyuzi zinazohitaji akili.
Unajua nini mkuu nakuheshimu sababu unatembelea tu Jina la huyo Mama na sababu nawaheshimu sana mama zangu, but apart from that you're just a facking bitch who think she can get on every dick, ulishawahi niona nikiichoma hio bange? Who are you to judge me? Wasafi? Choko mzee wewe kafichwe mbele uko biytch I facked You Up so what?
 
Wao siyo wehu wachukue vijisenti vya mtetea ushoga huyu wakati wako wenye mabilioni na hayaguswi
 
Andika hivi kisha pita kushoto sio lazima uni-quote na kunipaka kinyesi au kunitoa kasoro, punguza mihemko ukinipaka kinyesi mimi nakunyea kabisa tena nakunyea haswa alafu tuone siangalii unatembelea jina la nani, nyuma ya keyboard you're just a normal person majina yasitupumbaze tukajichukulia km watu fulani kumbe nothing, I'm out see you tomorrow
 
Awe makini sana. Diamond ni maarufu tu ila sio powerful kama anavyodhani. Pia kuishi kiamerika sana kwenye nchi ya kijamaa inaweza ikam-cost. Bado ni mapema ashauriwe tu. Yule kijana ni msikivu akionywa mapema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…