Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Tano tenaKamishna Mkuu wa TRA Dkt. Edwin Mhede amepokea orodha ya huduma za malazi iliyoboreshwa 2020 kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce Nzuki ili kuiwezesha TRA kukusanya tozo ya Kitanda Siku kutoka kwa Watalii wanaotumia huduma za malazi.
View attachment 1641829
Hii ni katika harakati za kuongeza mapato
Kamishna Mkuu wa TRA Dkt. Edwin Mhede amepokea orodha ya huduma za malazi iliyoboreshwa 2020 kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce Nzuki ili kuiwezesha TRA kukusanya tozo ya Kitanda Siku kutoka kwa Watalii wanaotumia huduma za malazi.
View attachment 1641829
Hii ni katika harakati za kuongeza mapato
Sasa si angekuja PM tu nimpe kazi ! asante kwa kumfichua , sasa mwambie kiwandani kwetu kuna nafasi 5 aje nimpe ukalaniMzee baba endelea kusifu na kuabudu,wenye mamlaka watakuona aisee.View attachment 1641887
2013 hali ilikuwa tete sasa unataka JPM asitekeleze kisa wewe ni masikini wa kutupwa.Hali tete sasa watabuni kodi za kila aina.
Kodi ya jeneza kwa marehemu itaanza rasmi lini?Kamishna Mkuu wa TRA Dkt. Edwin Mhede amepokea orodha ya huduma za malazi iliyoboreshwa 2020 kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce Nzuki ili kuiwezesha TRA kukusanya tozo ya Kitanda Siku kutoka kwa Watalii wanaotumia huduma za malazi.
View attachment 1641829
Hii ni katika harakati za kuongeza mapato
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ohooooo! Akija na mkeka wake hapo vipi? Kodi ya kiti, kodi ya meza, kodi ya kutumia maji, kodi ya kutumia choo, kodi ya kula chakula cha kibongo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maninaaaa chezeya uchumi wa kati wa Tanzania ya VIWONDER!!!
πππKodi ya jeneza kwa marehemu itaanza rasmi lini?
Wewe leta za taswira nzuri, zote ni habariMkuu erthrocyte yani unaongoza kwa kutafta habari zenye mlengo hasa wa kuonyesha taswira mbaya kwa serikali kuwa eti " hali ni mbaya"
Hongera kwa hiloπππ
Slogan ni mitano tena bila kufahamishwa kufanya nini.Hizi kodi bado kidogo tu tutalipia Oxygen&Carbon dioxide tunayopumua.Shule ya St. JUDE wameifungia account zao kisa hawakupeleka watoto wao kwenye kampeni za CCM, kuimba mapambio kama shule nyingine.
Hii nchi kumpa huyu dereva lesseni ya kutuendesha, tumeingia chaka.
1) Mwenye kampuni ya kutembeza watalii, alipie kampuni yake kodi.
2) Na hayo magari yake ya kampuni ya watalii, alipie kodi.
3) Gari likiwekewa mafuta, unakutana na kodi.
4) Dereva nae, alipe kodi lesseni yake na ajira yake sambamba na kodi ya Trafic Police (Vijana wa kukusanya mapato TRA).
5) Mwenye hoteli wanaofikia watalii hao (Pengine mwenye kampuni ya utalii ndio hoteli yake pia), alipe kodi. Ndani ya hio hoteli yake anayoilipia kodi, chumbani kitanda nacho kikilaliwa, kilipiwe kodi.
Halafu serikali tunaambiwa haina hela. Shabaashi.
Wasisahau na KODI YA KUTUMIA VYOO KWA WATALII (Kama Vyoo Vya Kulipia Standi Za Bus).
Anawanyooshea wapi?yani huyu dada hajawahi post eti "magufuli awanyoosha mabeberu...." mwikoooo yeye yale mabaya tu ,daah kuna watu wanaroho ngumu aisee πππππ
Yeye kama Nani mpaka alifafanue?Nadhani Dr Kigwangalla atalifafanua hili!
Msijisahaulishe nini maana ya upinzani. Unategemea chama kikuu cha upinzani kiisifu serikali inayoundwa na chama pinzani kwake?!yani huyu dada hajawahi post eti "magufuli awanyoosha mabeberu...." mwikoooo yeye yale mabaya tu ,daah kuna watu wanaroho ngumu aisee πππππ
Kamishna Mkuu wa TRA Dkt. Edwin Mhede amepokea orodha ya huduma za malazi iliyoboreshwa 2020 kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce Nzuki ili kuiwezesha TRA kukusanya tozo ya Kitanda Siku kutoka kwa Watalii wanaotumia huduma za malazi.
View attachment 1641829
Hii ni katika harakati za kuongeza mapato
Hahahaha, itafika hata short time ,unalipa kodi ya kile kitanda cha guest
Unatenganisha
Kodi ya jengo
Kodi ya kiwanja
Kodi ya biashara
Kodi ya kitanda
Gangsters republic, halafu wanaofanya huo ushenzi eti wana Phd.Kamishna Mkuu wa TRA Dkt. Edwin Mhede amepokea orodha ya huduma za malazi iliyoboreshwa 2020 kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce Nzuki ili kuiwezesha TRA kukusanya tozo ya Kitanda Siku kutoka kwa Watalii wanaotumia huduma za malazi.
View attachment 1641829
Hii ni katika harakati za kuongeza mapato
Bora Mugalifu wao hana hayo mambo.Shule ya St. JUDE wameifungia account zao kisa hawakupeleka watoto wao kwenye kampeni za CCM, kuimba mapambio kama shule nyingine.
Hii nchi kumpa huyu dereva lesseni ya kutuendesha, tumeingia chaka.
1) Mwenye kampuni ya kutembeza watalii, alipie kampuni yake kodi.
2) Na hayo magari yake ya kampuni ya watalii, alipie kodi.
3) Gari likiwekewa mafuta, unakutana na kodi.
4) Dereva nae, alipe kodi lesseni yake na ajira yake sambamba na kodi ya Trafic Police (Vijana wa kukusanya mapato TRA).
5) Mwenye hoteli wanaofikia watalii hao (Pengine mwenye kampuni ya utalii ndio hoteli yake pia), alipe kodi. Ndani ya hio hoteli yake anayoilipia kodi, chumbani kitanda nacho kikilaliwa, kilipiwe kodi.
Halafu serikali tunaambiwa haina hela. Shabaashi.
Wasisahau na KODI YA KUTUMIA VYOO KWA WATALII (Kama Vyoo Vya Kulipia Standi Za Bus).
Mwenzako Magema Jr kaongea kama kashfa na wewe umejaa umemjIbu!Usishangae sana mkuu. Watu wana chuki, tena wana chuki hadi kwa wanaowapa ulinzi wanapokua wamelala.
Kuna dada wa bongomovie aliwahi sema kwenye media hana mama, akadadavua mamake alishakufa ilihali mamake mzazi yuko hai na anamsikiliza sembuse huyu
Dunia inaenda kasi sana hii
Tuwakumbushe watawala wa Afrika kuwa kushika hatamu haukufanyi ugeuke kuwa injinia, daktari, mhasibu, mwanasayansi au mtaalam zaidi! Power doesnβt suddenly increase your knowledge or qualify you to be anything more than you were! Waache u-much-know wawe humble!Mwenzako kaongea kama kashfa na wewe umejaa umemjIbu!