TRA yotoa ufafanuzi wa madai ya kutengeneza mfumo wa kuingiza mizigo nchini usio halali

Kama siyo wewe vile 😄😄😄
 
Jambazi anakubali kiurahisi?wewe unadhani kule Polisi kwanini kuna vyumba vya kubananishia Majambazi ikiwemo kubanwa korodani!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Sasa badala ya kwenda kulalamikia kwenye sehemu husika, yeye ameenda kulalamikia kwa hao hao tra?
Yaani jambazi ajichunguze mwenyewe?
Ilitakiwa aende takukuru au polisi kushatakia sio tra
Nadhani umeelewa
 
Tatizo lipo kwa mfanyabiashra (kutaka mtereremko kwenye kodi) na hiyo logistic company pamoja na ignorance.
 

Mizigo ya loose cargo nikuwa mizigo ya watu tofauti inakusanywa kwenye kontena moja na kampuni ya usafirishaji inasafirisha kama mali yao.Ndiyo maana unachajiwa kwa CBM na unalipa kwenye kampuni ya usafirishaji bila kwenda mwenyewe forodha.

I think baada ya TRA kupata hili zengwe la huyu jamaa wakaja na mfumo wa kila mtu alipie forodha,ambapo kwenye mgomo wa Kkoo kipindi kile watu waliupinga huu utaratibu.Maana ilikuwa let’s say kontena ina mizigo ya watu 100,kila mmoja inatakiwa akalipie ushuru forodha.

Kitu ambacho hawakujua ndio kama sasa hivi inakuwa ngumu bima kulipa bila nyaraka za uingizaji mzigo.TRA walilijua hili ila kwa kuwa walikuwa wananeemeka bila kesi wakapuuzia.
Kuna mtu atatolewa mbuzi wa kafara kwenye hili.
 
Naimani pasi na shaka kuwa hilo genge la wezi linaongozwa na huyo kamishna. Je, anaweza kujichunguza? Je mtu wa chini yake anaweza kumchunguza? Jibu ni hapana. Ndio maana katoa hiyo barua ya vitisho vya wazi kwa muhanga.
 
1. Barua ya TRA inapingana na kutofautiana kabisa na maelezo ya huyu bwana. Huyu anaeleza hiki, TRA wanafafanua kitu kingine. Nafikiri ni ktk kutaka kupotezea tu.

2. Syndicate ya ufisadi serikalini na kwenye taasisi zake ni wa kimfumo unaohusisha watumishi wadogo kabisa huku chini hadi wale wakubwa juu wakiwemo mawaziri, Makatibu wakuu, wakuu wa taasisi na mashirika ya umma.

Katika mazingira haya, nani atamfunga mwenzake?

3. Nchi ikifikia hatua hii ya uovu kiasi cha wenye dhamana ya uongozi na utawala wa kufanya maamuzi kuwa corrupted kiasi hiki, basi wa kubadilisha hali hii hawawezi kuwa hawahawa walio ktk mfuno huu. Ni lazima force nyingine itoke nje ya wao na kusukuma uchafu wote nje
 
Natamani huyo mama Samia angekuwa nao huo uwezo wa kulishughulikia.
 
Waziri wa uchukuzi ni Mzanzibar, KM wa uchukuzi ni Mzanzibar, CEO wa bandari ni mzanzibar(wote dini moja), Mwigulu anahusikaje kwenye bandari? upigaji ni mfumo ovu wa serikali nzima, kuna kuwaje na wizi na wakati hapo bandarini kuna polisi na TISS?

Kwani mzigo haujafika?
 
Nashawishika kumuamini 100% ndg Emanuel na sio TRA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…