milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Sahihi kabisaa,tena wakubwa wao wanajua barabara zipi zina Hela nyingi. Tena hao traffic wanapoenda sehemu wanapewa na target kabisa.Wakubwa zao ndiyo wanawatuma
Na wao wana mgawo wao hapo
Difenda zenyewe za polisi zikirudi
Wanaambiwa wawe na hesabu
Ova
Hakuna kesi hapo watahamishwa vituo/mkoaNmejiuliza pia kwanini majina yamefichwa?
Unapelekaje kesi mahakamani wakati huna ushahidi unaojitosheleza mkuu?Kupoteza muda tena, ukipelekwa mahakamani sio lazima ufungwe. Ni utaratibu tu wa kisheria
Hawa ndio michezo yao ya kila siku na wamekuwa wakifanya hivyo kwa muda mrefu sana. Hawakutarajia hiki kilichowatokea. Ukute labda ni askari mwenzao amewatumia raia kuwachoma.Hakuna kesi hapo watahamishwa vituo/mkoa
Hao matrafic wanatumwaga tu,sema hao nao walikuwa wanachkua hela kinomanoma kila mtu anaona
Ova
Isitoshe, matrafiki nao wanasomesha watoto wao shule za English medium. Bila rushwa watoto hawatapanda mabasi ya njano🤣🤣🤣🤣Aliyerecord na kusambaza hajafanya poa, hao jamaa wanapiga sana kazi tena kwenye mazingira magumu sana, jua,mvua zao hao..mpaka unawaonea huruma.
Na hawana sehemu ya nyongeza zaidi ya humo barabarani...watu wanapiga mabilioni kila siku na allowances za kutosha...
Wawaache bana..
ENhe😃😃,.Kila daladala inaacha buku 2 tu🤣
...Zote hizo ? Ni Buku Tatu TU !...Hapo utakuta hela yenyewe haifiki hata 50k Dah[emoji26]
WanalindanaPolisi waoga kutajana majina!
Wanalindana
Kuna nyingine tena ya mitaa ya Kariakoo Ina trend.Daah Kimenuka huyo mchukua video nyoko sana....
Hao wote wanatumwa na wakubwa zao huo mtandao ni mrefu sanaHawa ndio michezo yao ya kila siku na wamekuwa wakifanya hivyo kwa muda mrefu sana. Hawakutarajia hiki kilichowatokea. Ukute labda ni askari mwenzao amewatumia raia kuwachoma.
Hawapotezi wanahamishwa tuENhe😃😃,.
Ila nyie rushwa mbaya sana mtu anapoteza kibarua chake kizembe mno
Kama hivyo sawaHawapotezi wanahamishwa tu
Ah wapi huko hutawasikia kamwe huku kwenye vijihela vya mboga ndio wanajifanya kuonyesha umahiriKama kweli wanazuia na kupambana na rushwa wakawakamate na wanaokula mabilioni kwenye ripoti ya CAG