Trapped to a married man

Trapped to a married man

Kila binadamu hutamani vitu tofauti tofauti na binadamu haridhiki na kitu kimoja hata wewe mkeo humridhishi Ila kspiga kimya tu, kutulia huwa Ni matter ya maamuzi na self control hyo ya kusema hamuridhiki Ni Mila potofu tu za zamani za wanaume kujipendelea, hata nyie wanaume huwa hamturidhishi Ila tunaacha kuhangaika. So inshort hata wanawake tunapenda vitu tofauti, pia binadamu kuridhika ngumu

Ahahaaa....mila za zamani? Hapna,na wala sio kujipendelea...ni ndvyo tulivyoumbwa wanaume tunapenda sana kufanya mapenzi tofauti na wanawake...

Kuna wanawake wakisha zaa hupoteza hamu ya kufanya sex na hatimae huteza ata mvuto kwa mumewe...na apo ndo inaibuka ile law ya polygamy au michepuko.
Pia wanawake mnapitia mabadiliko mengi sana kitu ambacho kinawapelekea mjizuie kufanya mapenz tofauti na sisi wanaume ambao muda wowote tupo tayari.

Mwanaume kutomridhisha mkewe inategemea,huenda ikawa nisababu mojawapo ya kumchoka au afya ya mwanaume haipo vzur.

Si shauri mwanaume kuongeza mke kama mkewe hamridhishi na hampi haki zake stahiki.

Ila Mimi bado sijaoa.
 
Hakuna kupenda watu wawili kwa wakati mmoja hicho kiyu hakipo....

Ni kwamba umempenda mzee sababu ya pesa yake ila unaogopa ni mume wa mtu,huyu mchumba hujampenda upo nae tu sababu unataka mume tu nawe uonekane umeolewa.

Hata ukiolewa na mchumba wako bado utachepuka na mzee tu. Sasa jiulize unampenda nani100%,yupi unapenda kuwa nae karibu? Jibu unalo nadhani....so kupenda watu wawili kwa wakati mmoja hakupo.
Anampenda huyo mume wa mtu huyo kaka wa pili hapendwi na kibaya zaidi hana mawe ya kutosha ya kufanya apendwe.
 
Anampenda huyo mume wa mtu huyo kaka wa pili hapendwi na kibaya zaidi hana mawe ya kutosha ya kufanya apendwe.
Ni kweli ila ajue tu laana zote za mke wa jamaa zitakuja kumuangukia yeye siku moja.
 
Hakuna kupenda watu wawili kwa wakati mmoja hicho kitu hakipo....

Ni kwamba umempenda mzee sababu ya pesa yake ila unaogopa ni mume wa mtu,huyu mchumba hujampenda upo nae tu sababu unataka mume tu nawe uonekane umeolewa.

Hata ukiolewa na mchumba wako bado utachepuka na mzee tu. Sasa jiulize unampenda nani100%,yupi unapenda kuwa nae karibu? Jibu unalo nadhani....so kupenda watu wawili kwa wakati mmoja hakupo.

Kupenda watu wawili hata zaidi kupo sana tuu mkuu usikariri. Hii idea ya kwamba mtu unapenda mara moja tu imeletwa juzi na wakristo, kabla ya hapo au katika jamii zisizoingiliana na ukristo mambo ni tofauti kabisa. Ndio maana kuna watu wanaoa wake hadi wanne na wote wanawapenda so sioni cha ajabu hapo.

Swala la amewapendea nini hilo ni jingine maana hakuna mtu anaependa bila sababu. Hata mama yako anakupenda kwasababu wewe ni mtoto wake. Usingekua mtoto wake asingekupenda!
 
Naomba tu niseme kuna wakati kwenye maisha huwa hatutegemei baadhi ya mambo yatutokee ila inabidi tukubaliane na hali halisi
Najua humu kuna watu tunajuana nao personally kiundani sana and am sorry if my confession will dissapoint you in anyway.

Back to my story 2015 nilikutana na huyu kaka tukawa marafiki na baadae tukawa wapenzi lakini aliniambia ameoa,kipindi hicho I was so young and naive nilikuwa chuo kwakweli nakubali nilikuwa sijielewi,mahusiano yetu tuliendelea kwa miaka miwili mpaka baadae tulipoachana kwa sababu fulani.

Kipindi tulipo achana hakuacha kunitafuta meseji za hapa na pale hapo hatukuwa tukionana.Kwakweli sijawahi kutoka na mume wa mtu zaidi ya huyu na nilijisemea sitorudia tena kwaio nilisimama kwenye huo msimamo.

Fast foward this year tulionana alikuja kikazi mji niliopo tukaanza kuwa karibu tena na kwa sasa niseme ni wapenzi tena.

Kitu kinachofanya nije hapa kuomba ushauri ni kwamba huyu bwana anataka kunioa,we have this connection ni ngumu sana kuelezea jamani hiki kitu kimeniacha njia panda,anataka tuoane na nimzalie mtoto,anataka kuja nyumbani kujitambulisha afate process zote.Plan yake tufunge ndoa kisiri mimi yeye na watu wa karibu kama familia.

The future is promising amejicomit kuhusu mambo mengi na hili linazidi kuniogopesha.

Kitu cha ajabu nimeanza kulifikiria hili jambo in a serious way maana sikuwa na mpango nae lakini huku tunapoelekea mambo yanazidi kuwa magumu.Tumepanga apartment huku tukianza ujenzi wa nyumba,na ana plan kuhamia mji niliopo na kuiacha familia yake mji mwingine

Meanwhile upande wa pili kuna kaka ambae hajaoa anataka kuja kutoa mahali,well paying job we have a connection lakini hajafika level za yule mume wa mtu.

To be honest wote wawili nawapenda,nimeshindwa kujigawa au kufanya maamuzi.

Najiuliza hivi mume wa mtu anaweza kupenda tena nje kama hivi? Wanaume mliooa natamani nipate comment zenu pia kwa experience ya haya mambo.

Am still young in my late 20’s ambitious and the future is still so promising
Ukipata nafasi ya kunishauri ungenishauri nini?
Unaweza kuniita majina yote lakini ni maoni yako nitayapokea

PS: Huyu mume wa mtu sijatumia nguvu yoyote juu yake ni maamuzi yake ya hiari na akili zake timamu
Hapa ndio utajua kwanini hampaswi kutaka 50 50 btn You and We
Na wewe bila shaka ni Msomi tena huenda hata elimu ukamzidi jamaa
Jambo jepesi kabisa limekuzid
Pole anyway
Ushauri olewa naye lakin isiwe ya Siri kwanini iwe siri na ni ndoa halali?
Kama vipi njooni katika Uislam huku jamaa ataoa na ataoa na ataoa na ataoa. Bila kujificha
 
Kupenda watu wawili hata zaidi kupo sana tuu mkuu usikariri. Hii idea ya kwamba mtu unapenda mara moja tu imeletwa juzi na wakristo, kabla ya hapo au katika jamii zisizoingiliana na ukristo mambo ni tofauti kabisa. Ndio maana kuna watu wanaoa wake hadi wanne na wote wanawapenda so sioni cha ajabu hapo.

Swala la amewapendea nini hilo ni jingine maana hakuna mtu anaependa bila sababu. Hata mama yako anakupenda kwasababu wewe ni mtoto wake. Usingekua mtoto wake asingekupenda!
Sijasema mtu anapenda mara moja tu! Nimesema kupenda watu wawili kwawakati mmoja hicho kitu hakipo hapo lazima utampenda huyu na kumchukia yule....

Utakayempenda mfano akikutext utafurahi ila huyu mwingine utachukia hata kuona texts zake japo wote wawili unasema unawapenda.

Eti wanaoa wake wanne na wote wanawapenda,ni tamaa tu hizo usidanganyike wala kukariri pia.
 
"Karma is bitch" jiulize why kamuacha uyo mke wake akutake ww???na ww pia atakuacha akimuona mzuri zaidi yako sisi wanaume ni walafi nahatuliziki hatutosheki akikuzalisha tuu ndo kudhibeu babu jii huna jipya nimeoa nina mke na watoto 6 kwny ndoa huu mwaka wa 17 nimeoa mwaka 2003 kula ela zake cheza na akili yake ila usije uka thubutu akuoe utajutia sana badae ila kama uamini maneno yangu ngoja akuoe akikuzalisha tuu huna jipya tena...olewa na uyo mwamba ambae hajaoa ana mke ambae hana pesa acheni tamaa mabinti.
 
[SUP]Hiyo nyumba mnayo jenga kiwanja kina jina la nani??[/SUP]
 
Kuhusu ndoa ya siri asijue bi mkubwa hiyo ndoa haipo. Kama pengine unafikiri hautamuumiza ikiwa siri hili nalo halipo. Mpaka sasa atakuwa anajua uwepo wako pengine hajui tu kuwa ni wewe.

Hiyo familia ya huyo bwana inaonekana si wastaarabu. Kujua uwepo wako hali huna mtoto wake ni hatari kwako. Hawa ndio watamtamkia bi mkubwa na wataanzisha vurugu kwa mkewe wakijua tu sasa mko kama wanandoa. Hata bila vurugu hawa si wakuamini. Abadani, wanaume wengine hawana ujasiri wa kueleza familia zao vitu hivyo unless wako kwenye safari ya kumuacha bi mkubwa au huyo mwanaume ni kawaida yake kuonesha wanawake wote hivyo wamemzoea.

Inawezekana kweli unawapenda wote, hauko peke yako. Ndoa haiishii kwenye mapenzi. Ndoa inahusika kama familia, ukoo, biashara, uchumi, ndoto, heri na shari, furaha na karaha. Zile hisia za mahaba kuna wakati hazitumiki kabisa ila utashi na maslahi ndiyo yanazungumzika. Fikiria heri ya watoto. Fikiria urahisi na ubora wa kuhusisha ndugu zako. Kuna magonjwa unaweza ushindwe kumuuguza mpenzi wako kisa usiri. Kuna harusi za upande wa pili hutaweza kuketi na mmeo.
Kama uko tayari kupindua meza na unahisi unaweza basi olewa na huyo bwana. Kama hiyo vita huiwezi anza na anayeanza.
 
Naomba tu niseme kuna wakati kwenye maisha huwa hatutegemei baadhi ya mambo yatutokee ila inabidi tukubaliane na hali halisi
Najua humu kuna watu tunajuana nao personally kiundani sana and am sorry if my confession will dissapoint you in anyway.

Back to my story 2015 nilikutana na huyu kaka tukawa marafiki na baadae tukawa wapenzi lakini aliniambia ameoa,kipindi hicho I was so young and naive nilikuwa chuo kwakweli nakubali nilikuwa sijielewi,mahusiano yetu tuliendelea kwa miaka miwili mpaka baadae tulipoachana kwa sababu fulani.

Kipindi tulipo achana hakuacha kunitafuta meseji za hapa na pale hapo hatukuwa tukionana.Kwakweli sijawahi kutoka na mume wa mtu zaidi ya huyu na nilijisemea sitorudia tena kwaio nilisimama kwenye huo msimamo.

Fast foward this year tulionana alikuja kikazi mji niliopo tukaanza kuwa karibu tena na kwa sasa niseme ni wapenzi tena.

Kitu kinachofanya nije hapa kuomba ushauri ni kwamba huyu bwana anataka kunioa,we have this connection ni ngumu sana kuelezea jamani hiki kitu kimeniacha njia panda,anataka tuoane na nimzalie mtoto,anataka kuja nyumbani kujitambulisha afate process zote.Plan yake tufunge ndoa kisiri mimi yeye na watu wa karibu kama familia.

The future is promising amejicomit kuhusu mambo mengi na hili linazidi kuniogopesha.

Kitu cha ajabu nimeanza kulifikiria hili jambo in a serious way maana sikuwa na mpango nae lakini huku tunapoelekea mambo yanazidi kuwa magumu.Tumepanga apartment huku tukianza ujenzi wa nyumba,na ana plan kuhamia mji niliopo na kuiacha familia yake mji mwingine

Meanwhile upande wa pili kuna kaka ambae hajaoa anataka kuja kutoa mahali,well paying job we have a connection lakini hajafika level za yule mume wa mtu.

To be honest wote wawili nawapenda,nimeshindwa kujigawa au kufanya maamuzi.

Najiuliza hivi mume wa mtu anaweza kupenda tena nje kama hivi? Wanaume mliooa natamani nipate comment zenu pia kwa experience ya haya mambo.

Am still young in my late 20’s ambitious and the future is still so promising
Ukipata nafasi ya kunishauri ungenishauri nini?
Unaweza kuniita majina yote lakini ni maoni yako nitayapokea

PS: Huyu mume wa mtu sijatumia nguvu yoyote juu yake ni maamuzi yake ya hiari na akili zake timamu
MM siwezi kupenda zaidi ya mke wangu, muhimu huyo kijana anaetaka kuoa utamkumbuka
 
Kama dini yenu inaruhusu muoe otherwise mtakua mnazini tu pia usisahu machozi ya huyo mkewe hayatokuacha salama
 
Kuhusu ndoa ya siri asijue bi mkubwa hiyo ndoa haipo. Kama pengine unafikiri hautamuumiza ikiwa siri hili nalo halipo. Mpaka sasa atakuwa anajua uwepo wako pengine hajui tu kuwa ni wewe.

Hiyo familia ya huyo bwana inaonekana si wastaarabu. Kujua uwepo wako hali huna mtoto wake ni hatari kwako. Hawa ndio watamtamkia bi mkubwa na wataanzisha vurugu kwa mkewe wakijua tu sasa mko kama wanandoa. Hata bila vurugu hawa si wakuamini. Abadani, wanaume wengine hawana ujasiri wa kueleza familia zao vitu hivyo unless wako kwenye safari ya kumuacha bi mkubwa au huyo mwanaume ni kawaida yake kuonesha wanawake wote hivyo wamemzoea.

Inawezekana kweli unawapenda wote, hauko peke yako. Ndoa haiishii kwenye mapenzi. Ndoa inahusika kama familia, ukoo, biashara, uchumi, ndoto, heri na shari, furaha na karaha. Zile hisia za mahaba kuna wakati hazitumiki kabisa ila utashi na maslahi ndiyo yanazungumzika. Fikiria heri ya watoto. Fikiria urahisi na ubora wa kuhusisha ndugu zako. Kuna magonjwa unaweza ushindwe kumuuguza mpenzi wako kisa usiri. Kuna harusi za upande wa pili hutaweza kuketi na mmeo.
Kama uko tayari kupindua meza na unahisi unaweza basi olewa na huyo bwana. Kama hiyo vita huiwezi anza na anayeanza.
"Anza na anaeanza"
Point 📌
 
Duuh, huyo mume wa mtu atayagawa vipi majukumu yale kwa familia zote mbili...upo tayari kupewa zamu?

All in all, angalia wapi palipo pema kwako ila nadhani huyo kijana mwenzio ana future zaidi kuliko huyo married man, kama anakupenda kweli ndoa isingekua ya siri, angetaka akuweke hadharani bila kujali na sio sirini

Mara nyingi nabarikiwa sana na maoni yako , watu kama wewe ni adimu kipindi hiki wengi wameamua kuishi maisha ya kujilipua
 
Ila watu...
Mke wangu nampenda mno na sipo tayari kumpoteza ila nimeshaamua liwalo na liwe. Yule mdada siwezi kumuacha aliwe na wahuni wengine maana jinsi ninavyomfeel siwezi hata kuelezea. Tukiwa chumbani huwa napata raha isiyokifani hivyo nimeshaamua bora nimuoe tu kuliko kumwacha akaolewa na mwanaume mwingine nikaishi a miserable life for the rest of life. Wife will have to just understand. I love her (my wife) but I'm also deeply in love with another woman.
 
Once a in snitch, always a snitch. Akiiacha familia ili awe na familia na wewe unajihakikishia vipi kuwa hatokuacha siku moja kuwa na familia nyingine?

Halafu hiyo familia yenu wote mna akili za kufanana mkubaliane na ndoa ya aina hiyo?
 
Qmamamae, halafu kuna Mpumbafu mmoja huko anataka Kumjua Mwanamke!? Tangu linitokee tukio langu tarehe 25/07/2012, taabu niliyoipitia, uchungu nilioukwaa, kejeli nilizozipata. Hakika sitotaka wala kutamani kumjua tena. Wewe dada fanya unavyojisikia tu, kwani Mbunye si yako bana
 
Ujue tuu wanaume ni MAJOGOO
Anaweza kuwa anaishi na majike kumi, lakini likiingia jike ngeni litapigwa bao hata tano mpaka jike mgeni anajisifu

Subiri awe mwenyeji sasa
 
Qmamamae, halafu kuna Mpumbafu mmoja huko anataka Kumjua Mwanamke!? Tangu linitokee tukio langu tarehe 25/07/2012, taabu niliyoipitia, uchungu nilioukwaa, kejeli nilizozipata. Hakika sitotaka wala kutamani kumjua tena. Wewe dada fanya unavyojisikia tu, kwani Mbunye si yako bana
mkuu hi comment umeitoa kwa jazba Sana .
Pole kwa kilichokukuta huo mwaka.
 
Back
Top Bottom