TRC kuongeza treni kati ya Dar na Moro ni vizuri, hofu ni tabia ya Watanzania kutokuwa makini kazini kunakoweza kuleta treni kugongana!

TRC kuongeza treni kati ya Dar na Moro ni vizuri, hofu ni tabia ya Watanzania kutokuwa makini kazini kunakoweza kuleta treni kugongana!

Synthesizer

Platinum Member
Joined
Feb 15, 2010
Posts
12,699
Reaction score
22,598
Nimeona utendaji wa kazi na watu kutoka nchi mbalimbali, na katika uchunguzi wangu nimegundua kwamba Watanzania wengi tuna tatizo kubwa sana la tabia ya uzembe kazini, inayosababishwa na uvivu, kutojali, kutokuwa makini, au kufanya kazi ikiwa tu tunasimamiwa na bosi. Hatujui kujituma kwa hiari.

Mtanzania anaweza kupoteza muda akaacha kuangalia jambo la maana akawa anaangalia mitandao ya jamii, You tubu, anaongea na mtu kwenye simu, anatuma meseji au labda tu anapiga story na wenzake ofisini. Tabia hizi zimetupa sifa mbaya katika maeneo mengi ya kazi, kwamba Watanzania wengi ni watu ambao hatuchukulii majukumu yetu ya kazi seriously. Mara nyingi tunafanya kazi kwa mazoea, na kukitokea badiliko kidogo tu tunaharibu mambo.

Sasa katika eneo la ku-operate train za kwenda kasi za SGR, kuongeza safari hadi nane kwa siku kati ya Dar na Moro, na huenda zaidi ya nane huko mbele, hofu yangu kubwa ni uzembe ambao kuna siku tutaambiwa treni zimegongana. Kumbuka SGR yetu ni line moja na sio mbili (dual lines) ambapo kwa line moja treni zitapishana sehemu maalumu. Je, Watanzania tuna uwezo wa kuwa makini katika eneo hili jipya na kuhakikisha suala la treni za SGR kugongana halitokei, tukiwa madereva wa treni au control room ya safari za treni?

Ukiniuliza maoni yangu binafsi, nitakuambia kwa ninavyowafahamu Watanzania wenzangu, uwezekano wa kugonganisha treni za SGR upo mkubwa tu!
 
Nimeona utendaji wa kazi na watu kutoka nchi mbalimbali, na katika uchunguzi wangu nimegundua kwamba Watanzania wengi tuna tatizo kubwa sana la tabia ya uzembe kazini, inayosababishwa na uvivu, kutojali, kutokuwa makini, au kufanya kazi ikiwa tu tunasimamiwa na bosi. Hatujui kujituma kwa hiari.

Mtanzania anaweza kupoteza muda akaacha kuangalia jambo la maana akawa anaangalia mitandao ya jamii, You tubu, anaongea na mtu kwenye simu, anatuma meseji au labda tu anapiga story na wenzake ofisini. Tabia hizi zimetupa sifa mbaya katika maeneo mengi ya kazi, kwamba Watanzania wengi ni watu ambao hatuchukulii majukumu yetu ya kazi seriously. Mara nyingi tunafanya kazi kwa mazoea, na kukitokea badiliko kidogo tu tunaharibu mambo.

Sasa katika eneo la ku-operate train za kwenda kasi za SGR, kuongeza safari hadi nane kwa siku kati ya Dar na Moro, na huenda zaidi ya nane huko mbele, hofu yangu kubwa ni uzembe ambao kuna siku tutaambiwa treni zimegongana. Kumbuka SGR ni line moja na siommbili (dual lines) ambapo kwa line moja treni zitapishana sehemu maalumu. Je, Watanzania tuna uwezo wa kuwa makini katika eneo hili jipya na kuhakikisha suala la treni za SGR kugongana halitokei, tukiwa madereva wa treni au control room ya safari za treni?

Ukiniuliza maoni yangu binafsi, nitakuambia kwa ninavyowafahamu Watanzania wenzangu, uwezekano wa kugonganisha treni za SGR upo mkubwa tu!
Usipende kujidharau. Wale Air Traffic Controller pale airport sio Watanzania? Ulisikia wamegonganisha ndege? Yaani unasema kabisa uwezo wa kugonganisha treni upo mkubwa sana! Hivi kwanini mnapenda sana kuombea majanga? Yaani hapo unajiandaa likitokea uwe vindicated....I said it. Shit happen hata huko kwenye watu wanaohisi hawana uzembe au wana tech ya juu ndege hata treni zinagongana.
 
Usipende kujidharau. Wale Air Traffic Controller pale airport sio Watanzania? Ulisikia wamegonganisha ndege? Yaani unasema kabisa uwezo wa kugonganisha treni upo mkubwa sana! Hivi kwanini mnapenda sana kuombea majanga? Yaani hapo unajiandaa likitokea uwe vindicated....I said it. Shit happen hata huko kwenye watu wanaohisi hawana uzembe au wana tech ya juu ndege hata treni zinagongana.
Wewe, mimi sikurupuki na thread. Na huku sio kujidharau, ndio reality. Ukificha ugonjwa mauti itakuumbua. I think through before posting. Ndege haziruki njia moja na kuhitaji kusimama kituo fulani ili zipishane. Usilinganishe air trafic control na train traffic control. Na pia kwenye ndege kuna alarms ambazo zinamuonya pilot kama yuko kwenye line ya kugongana na ndege nyingine na hivyo pilot ataweza kuwasiliana na ndege yenyewe au air trafic control kuwaambia kulikoni, na hata yeye mwenyewe kuchukua evasive action kuzuia collision.

Kwa maneno mengine, kwenye trafic control ya ndege wameshaweka system ya kuzuia ndege kugongana kama kuna uzembe wa air trafic control kutokuwa makini kazini. Sasa wewe binafsi hutajua ni mara ngapi kumekuwa na uzembe air trafic control Tanzania kwa sababu wakifanya uzembe haitangazwi. Kwenye treni wakifanya uzembe ni mzinga. Labda sasa uniambie kama kuna measures za ku-compensate kuzuia kugongana treni ikiwa watu wa control za SGR trains watafanya uzembe, wakisimulia jinsi Simba itakavyomfunga Yanga na kutoelekeza umakini kwenye kazi yao
 
Mfumo ndio unawafanya watz wawe na sifa hizo.
Mbona wakiwa ulaya hizo sifa zinatoweka kule hakuna mjomba ni performance tu.
NI jambo la kujiuliza sana. Kuna sababu kwa nini mashirika ya umma yanafeli, na yakibinafsishwa yanafanya vizuri. Kuna sababu kwa nini Samia alisema lazima tuwape DP World bandari zetu, au kwa nini hoteli za TANAPA ziliuzwa na leo hii na majengo yake yale ya hoteli za TANAPA yanawapa watu faida za billions
 
Nimeona utendaji wa kazi na watu kutoka nchi mbalimbali, na katika uchunguzi wangu nimegundua kwamba Watanzania wengi tuna tatizo kubwa sana la tabia ya uzembe kazini, inayosababishwa na uvivu, kutojali, kutokuwa makini, au kufanya kazi ikiwa tu tunasimamiwa na bosi. Hatujui kujituma kwa hiari.

Mtanzania anaweza kupoteza muda akaacha kuangalia jambo la maana akawa anaangalia mitandao ya jamii, You tubu, anaongea na mtu kwenye simu, anatuma meseji au labda tu anapiga story na wenzake ofisini. Tabia hizi zimetupa sifa mbaya katika maeneo mengi ya kazi, kwamba Watanzania wengi ni watu ambao hatuchukulii majukumu yetu ya kazi seriously. Mara nyingi tunafanya kazi kwa mazoea, na kukitokea badiliko kidogo tu tunaharibu mambo.

Sasa katika eneo la ku-operate train za kwenda kasi za SGR, kuongeza safari hadi nane kwa siku kati ya Dar na Moro, na huenda zaidi ya nane huko mbele, hofu yangu kubwa ni uzembe ambao kuna siku tutaambiwa treni zimegongana. Kumbuka SGR ni line moja na siommbili (dual lines) ambapo kwa line moja treni zitapishana sehemu maalumu. Je, Watanzania tuna uwezo wa kuwa makini katika eneo hili jipya na kuhakikisha suala la treni za SGR kugongana halitokei, tukiwa madereva wa treni au control room ya safari za treni?

Ukiniuliza maoni yangu binafsi, nitakuambia kwa ninavyowafahamu Watanzania wenzangu, uwezekano wa kugonganisha treni za SGR upo mkubwa tu!
WOSIA WA SYNTHESIZER UHESHIMIWE
 
NI jambo la kujiuliza sana. Kuna sababu kwa nini mashirika ya umma yanafeli, na yakibinafsishwa yanafanya vizuri. Kuna sababu kwa nini Samia alisema lazima tuwape DP World bandari zetu, au kwa nini hoteli za TANAPA ziliuzwa na leo hii na majengo yake yale ya hoteli za TANAPA yanawapa watu faida za billions
Sababu mswahili hawezi fanya kitu kikafanikiwa bila kusimamiwa
 
Wewe, mimi sikurupuki na thread. Na huku sio kujidharau, ndio reality. Ukificha ugonjwa mauti itakuumbua. I think through before posting. Ndege haziruki njia moja na kuhitaji kusimama kituo fulani ili zipishane. Usilinganishe air trafic control na train traffic control. Na pia kwenye ndege kuna alarms ambazo zinamuonya pilot kama yuko kwenye line ya kugongana na ndege nyingine na hivyo pilot ataweza kuwasiliana na ndege yenyewe au air trafic control kuwaambia kulikoni, na hata yeye mwenyewe kuchukua evasive action kuzuia collision.

Kwa maneno mengine, kwenye trafic control ya ndege wameshaweka system ya kuzuia ndege kugongana kama kuna uzembe wa air trafic control kutokuwa makini kazini. Sasa wewe binafsi hutajua ni mara ngapi kumekuwa na uzembe air trafic control Tanzania kwa sababu wakifanya uzembe haitangazwi. Kwenye treni wakifanya uzembe ni mzinga. Labda sasa uniambie kama kuna measures za ku-compensate kuzuia kugongana treni ikiwa watu wa control za SGR trains watafanya uzembe, wakisimulia jinsi Simba itakavyomfunga Yanga na kutoelekeza umakini kwenye kazi yao
Mambo sio rahisi hivyo kama kukosoa. Kwahio unafikiri hizo treni zinaenda tu kama bodaboda?
 
S
Nimeona utendaji wa kazi na watu kutoka nchi mbalimbali, na katika uchunguzi wangu nimegundua kwamba Watanzania wengi tuna tatizo kubwa sana la tabia ya uzembe kazini, inayosababishwa na uvivu, kutojali, kutokuwa makini, au kufanya kazi ikiwa tu tunasimamiwa na bosi. Hatujui kujituma kwa hiari.

Mtanzania anaweza kupoteza muda akaacha kuangalia jambo la maana akawa anaangalia mitandao ya jamii, You tubu, anaongea na mtu kwenye simu, anatuma meseji au labda tu anapiga story na wenzake ofisini. Tabia hizi zimetupa sifa mbaya katika maeneo mengi ya kazi, kwamba Watanzania wengi ni watu ambao hatuchukulii majukumu yetu ya kazi seriously. Mara nyingi tunafanya kazi kwa mazoea, na kukitokea badiliko kidogo tu tunaharibu mambo.

Sasa katika eneo la ku-operate train za kwenda kasi za SGR, kuongeza safari hadi nane kwa siku kati ya Dar na Moro, na huenda zaidi ya nane huko mbele, hofu yangu kubwa ni uzembe ambao kuna siku tutaambiwa treni zimegongana. Kumbuka SGR yetu ni line moja na sio mbili (dual lines) ambapo kwa line moja treni zitapishana sehemu maalumu. Je, Watanzania tuna uwezo wa kuwa makini katika eneo hili jipya na kuhakikisha suala la treni za SGR kugongana halitokei, tukiwa madereva wa treni au control room ya safari za treni?

Ukiniuliza maoni yangu binafsi, nitakuambia kwa ninavyowafahamu Watanzania wenzangu, uwezekano wa kugonganisha treni za SGR upo mkubwa tu!
Long term solution ni Double line, auto operation bila hivyo mtakuta mkaa unabebwa kutoka mkta kwenda posta
 
Nimeona utendaji wa kazi na watu kutoka nchi mbalimbali, na katika uchunguzi wangu nimegundua kwamba Watanzania wengi tuna tatizo kubwa sana la tabia ya uzembe kazini, inayosababishwa na uvivu, kutojali, kutokuwa makini, au kufanya kazi ikiwa tu tunasimamiwa na bosi. Hatujui kujituma kwa hiari.

Mtanzania anaweza kupoteza muda akaacha kuangalia jambo la maana akawa anaangalia mitandao ya jamii, You tubu, anaongea na mtu kwenye simu, anatuma meseji au labda tu anapiga story na wenzake ofisini. Tabia hizi zimetupa sifa mbaya katika maeneo mengi ya kazi, kwamba Watanzania wengi ni watu ambao hatuchukulii majukumu yetu ya kazi seriously. Mara nyingi tunafanya kazi kwa mazoea, na kukitokea badiliko kidogo tu tunaharibu mambo.

Sasa katika eneo la ku-operate train za kwenda kasi za SGR, kuongeza safari hadi nane kwa siku kati ya Dar na Moro, na huenda zaidi ya nane huko mbele, hofu yangu kubwa ni uzembe ambao kuna siku tutaambiwa treni zimegongana. Kumbuka SGR yetu ni line moja na sio mbili (dual lines) ambapo kwa line moja treni zitapishana sehemu maalumu. Je, Watanzania tuna uwezo wa kuwa makini katika eneo hili jipya na kuhakikisha suala la treni za SGR kugongana halitokei, tukiwa madereva wa treni au control room ya safari za treni?

Ukiniuliza maoni yangu binafsi, nitakuambia kwa ninavyowafahamu Watanzania wenzangu, uwezekano wa kugonganisha treni za SGR upo mkubwa tu!

Nyumbu wa chadema nao watapanda? Walipinga sana ujenzi wa SGR
 
Back
Top Bottom