Treni ya kutoka Kigoma yapata ajali mitaa ya Kibirizi

Treni ya kutoka Kigoma yapata ajali mitaa ya Kibirizi

View attachment 2786721Treni iliyokuwa ikitokea Kigoma kuelekea jijini Dar es Salaam imepata ajali mita chache kutokea stesheni ya mkoa wa Kigoma ambapo mabehewa matatu kati ya 14 yaliyokuwa yamebeba abiria yameacha njia katika eneo Kibirizi Manispaa ya Kigoma Ujiji mkoani Kigoma.
View attachment 2786720
Ilikuwa ni majira ya saa tatu asubuhi treni ya abiria iliondoka katika stesheni ya Kigoma Mjini, eneo la Kibirizi mabehewa matatu ya nyuma yaliacha njia na kuelekea eneo la Ardhi.
View attachment 2786722
Kuna madhara gani yaliyo tokana na ajali hiyo mkuu
 
Watanzania hatuwezi kufanya chochote bila kusimamiwa na watu wa nje.

Utumwa upo ndani ya damu ya Watanzania.
Usijumuishe wote; Private sector wanaweza kujisimamia nakupata faida kubwa tu. Inatia hasira nikikumbuka hayo madege mapya yanavyo suasua bila kazi......wape private sector uone kazi kama hutatoka Dar to Mwanza kwa 150,000 (flat rate) na faida ipatikane mara tatu ya sasa au Pengine Dar to Znz kwa SHS 50,000 (Kila lisaa) bado hujasema Jbag, Dubai, india, China nk
 
Haya Makitu ni mabovu hayana huduma nzuri,yashachoka ila wanajaza watu humo ndani kama magunia ya Viazi,na hii ni kutokana na Ugumu wa Maisha unaosababishwa na CCm ikiongozwa na Huyu mama.
 
Ana faida gani huyo director?
I mean ni kama rais anamaanisha director akiua shirika serikali inaachana nalo! That is very serious maana mtu atalifisadi shirika life na hakuna hatua serikali inasusa kuendeleza shirika.

Pia lazima tutofautishe mashirika ya huduma na ya biashara. Mfano shirika la reli au tanesco kibongo bongo huwezi tegemea faida
 
Yaani hadi swala la kiufundi la kujaza kokoto kwenye njia ya treni linawashinda kutekeleza, hasara ya kuharibika mabehewa na kama watu wangejeruhiwa au kupoteza maisha wahusika wangeendelea tu kula kiyoyozi ofisini, nchi ngumu hii.​
Hizo ofisi za stesheni za reli huwa zina viyoyozi kweli? Majengo tangu enzi za mkoloni, mengine hayajakarabatiwa mpaka leo yapo vile vile, nani anajali!
 
Ilitakiwa ilindwe sehemu zote mbili na kokoto na pembeni kuwa na miti ya kutosha kuzuia mmonyoko wa udongo kama hivi.

Chini ya Chama Cha Mazombie hatuko serious kwenye lolote. Mazombie yanaamini mwenge wa uhuru unaweza kuleta amani. Je kwanini huo mwenge haupelekwi sehemu zenye machafuko na vita?

Mwaka 1978 kwenye vita ya Uganda, mbona hawaukupeleka?

Mwenge ni mungu wa kuwapumbaza Watanzania. Mijitu kama Lucas mwashambwa na ChawaWaMama kwao ni fahari kuuvua utu wao na kuuvaa umdudu.

Watu wa aina hii wanamkosoa Mungu muumba na kumlaumu kwanini aliwaumba kuwa binadamu na hawakuumbwa kuwa chawa ili wakae kwenye nywele na mazingira machafu.

Shame on you idiots.
Mtoto wa kigogo gani ni chawa? Mmekuwa masikini hadi wa fikra, mawazo na akili. Nyie ni laana kubwa kwa vizazi vyenu vijavyo.

Kwa wakati wenu someni ISAYA 50:11 jinsi Mungu atakavyowalaza kwa huzuni kwa kujihusisha na mwenge. Hamtafanikiwa ng'o kila mtakachopata hakitadumu.

Afya zenu zitaliwa na parade na tunutu, na madumadu. Uchumi wenu halikadhalika. Hata mahusiano yenu hayatakuwa yenye kudumu kamwe. Yakizidi sana ni miaka mitatu, mwaka wa nne mwisho wa habari yenu. Jichunguzeni.
 
Back
Top Bottom