MasterP.
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 8,063
- 6,405
Hata mie nimewaza hii kitu sana...[emoji16][emoji16]imetumia 19hrs haina tofauti na treni ya 1945 kweli awamu hii imejaa vilaza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mie nimewaza hii kitu sana...[emoji16][emoji16]imetumia 19hrs haina tofauti na treni ya 1945 kweli awamu hii imejaa vilaza
Jan 1, sorry typ errDec 1!!?
Halafu kumbukumbu zikifutika vichwani utasikia eti Kaskazini tunabaguliwa katika awamu hii.
Wameanza promo baada ya safari kuanza?Ndio wameanza promo.......Krismas utaujua uwezo wake na mwitikio wa akina bwashee tindo!
Hahahaaa.......!Mawazo mengine bana eti treni iwekewe miti ya Christmas, unadhani Wasabato na Waislam wanapionaje jambo hilo.
Stupid
Halafu hakumbuki mabehewa ya first na second sleeping hayachukui watu wengi.Sasa ulitegemea siku ya kwanza ivute mabehewa 20?
Unajua mikakati ya soko inavyofanyika bwashee?!
Treni imeshajaa abiria hadi mwezi January 2020 bwashee!Hii itatumika kwa kubeba mizigo zaidi na si abiri maana muda wa safari ni kero bora basi.
Mabehewa ya abiria na ya mizigo yapo ya kutosha!Sioni sababu ya mizigo kutumia barabara wakati reli ipo ni serikali kukarabati na kuanza kazi
Kuna mipango kabambe jikoni endelea kuchagua CCM!Kuwe na mpango wa SGR na sio hii ya zamani.
Hiyo akili yko ya kupanda toyo kwenda kijijini kwenu,ndio utumie google kujua treni ya 1945 inatumia muda gani kufika moshiInawezekana ila usije jikuta umekuwa kilaza wewe? Kwanza jiulize swali moja la msingi? Reli hiyo iliyotumika kupitisha treni hii ilijengwa mwaka gani? Hata google utapata jibu. Halafu kinachoongoza au kupanga mwendo wa treni ni reli,na si ukubwa wa injini pata hayo majibu halafu tujadili haya masaa 19.
Kwasasa linatumia masaa 12 kwa maana ya tochi nyingi lakini zamani ilikua masaa 9 uko moshi unakunywa kisusioBasi linatumia saa ngapi tulinganishe. Comfortability ikoje?
Hawa mashabiki wa lumumba wao ni kushangilia tu,juzi tumeona wasanii wameenda burigi kupiga story hata picha ya fisi hatujaona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116]
Mimi natumia akili za chini ya kitovu,wewe unatumia akili ya tundu la 0713 kwahiyo hatuwezi kua sawaSasa wewe, ulitegemea safar ya majaribio itumie masaa mangap? Akili za chini unatumia
Kichwa cha 1945 unategemea itumia masaa machache,jiwe alikaa na washauri wke wakaona watuletee treni kumbe huko kwao burigi ndio ingewafaa sana.Hata mie nimewaza hii kitu sana...
Sawa kabisa, I will.Hiyo akili yko ya kupanda toyo kwenda kijijini kwenu,ndio utumie google kujua treni ya 1945 inatumia muda gani kufika moshi
Huko ulipo vigelegele anaimbiwa macho kumchuzi peke yake kwani ukijaribu kumpinga utailamba sumu mchana kweupeee.Ukweli hata kama ni mchungu lazima usemwe ukiwa ndani ya ccm wewe kazi yako ni kupiga vigelegele tu.
Njoo huku Chadema ili uipende nchi yako