Treni ya kwanza ya mizigo yafika Arusha baada ya miaka 30

Treni ya kwanza ya mizigo yafika Arusha baada ya miaka 30

Hukuwahi kusikia misemo ya "Zidumu fikra za Mwenyekiti" au "CCM ina wenyewe". Kwa misemo hiyo tu wengine wote walikuwa takataka. Kwa vijana walijiunga na CCM ili wapate nafasi za kusoma vyuo vikuu na kupata ajira serikalini na mashirika ya umma, lakini siyo kwamba walikuwa wanakubaliana na sera zilizokuwepo.
Fikira za mwenyekiti na hao CCM ndio zimefanya hii nchi i-survive tangu uhuru bila vita vya wenyewe kwa wenyewe, kama unafatilia story za vijiweni utajua kwamba nchi karibia zote baada ya uhuru ziliangukia kwenye ukabila, vita vya wenyewe kwa wenyewe au mapinduzi ya kijeshi
 
Nafikiri hiyo miaka 30 nyuma waliokuwa wanaongoza hii nchi ni CNDD- FDD. Yaani muue reli halafu muitengeneze kwa kodi zetu, Kisha mseme tuwapongeze kwa kufufua reli mliyoua nyie wenyewe. Period!!!!
Ni CCM ila sio CCM ya awamu hiii
 
Back
Top Bottom