atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Hujui kitu ww,tumeingia kwenye mfumo wa vyama vyingi nya siasa mwaka 1992Nani sasa mana miaka 30 iliyopita tulikua tuna chama kimoja technically kila mtz alikua Ccm nani sasa alaumiwe ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui kitu ww,tumeingia kwenye mfumo wa vyama vyingi nya siasa mwaka 1992Nani sasa mana miaka 30 iliyopita tulikua tuna chama kimoja technically kila mtz alikua Ccm nani sasa alaumiwe ?
Pia tunaomba serikali ya magufuli iwape nafasi watu wengine watuletee maendeleoYap...Tetemeko bila madhara...tetemeko la maendeleo
We endelea kutafuta baya kwenye kila jema, wanaarusha wameeleewa na kwao cha muhimu ni kurejea kwa huduma ambayo itakuwa ukombozi na Mapinduzi makubwa katika sekta ya usafiri na usafirishaji kwenye Kanda ya kaskazini.Kwa nini ulikatishwa na je ulikatishwa wakati wa utawala wa Chama gani. Na umerejezwa tena wakati wa Chama gani
Ilililetwa na ccm ikakatishwa na ccm na ikarudishwa tena na ccm,Kwa nini ulikatishwa na je ulikatishwa wakati wa utawala wa Chama gani. Na umerejezwa tena wakati wa Chama gani
Kama haujui kitu sema tu sijui,tukufundishe,kwani ukisema sijui unapungukiwa na nini ?Nifundishe mimi kwanini usimfundishe dingi yako?
Umejuaje mkuu? Kabisa, hi ndio kazi njema kuelezea mazuri yaliyofanyika na serikali kwa wananchi wake.Si ndio kazi mliyotumwa kufanya ama?
Fanya kazi bwana!
Peleka huko upuuziKama haujui kitu sema tu sijui,tukufundishe,kwani ukisema sijui unapungukiwa na nini ?
Mimi binafsi na wananchi wa Arusha hatuhitaji kujua Hilo, tunashukuru kwa usafiri kurejea na mrejeshaji ni MagufuliKujamba mwenyewe na kuwasha feni, siyo? Chama/serikali gani unafikiri kiliondoa safari za treni?
Mimi binafsi na wananchi wa Arusha hatuhitaji kujua Hilo, tunashukuru kwa usafiri kurejea na mrejeshaji ni Magufuli
Kila mtu atatoa hwsabu zake mwenyewe. Hatuwezi kumhukimu mtu kwa dhambi iliyofanywa na mzazi wake
Kuwa mtulivu, haiwezekani kufikia nchi nzima kwa kipindi kifupi. Serikali imekarabati meli na imenunua meli mpya kwenye maeneo hayo. SGR I njiani kuelekea huko. Magufuli hana alichoacha.Hivi treni ya kupita reli ya kati ilifika mwanza Mara ya mwisho lini? Vipi sasa tuipende kaskazini kwa gharama ya maeneo mengine?
basil vyema kufanya vyote vitatu kuliko kuamua moja tuu, kupinga mwanzo mwisho. Pia tambua mtu anaeyejielewa halalamiki, toa ushauri.Raia tuna haki ya kupinga, kupongeza na kulaumu na sababu ipo kwa nini ilikuwa na imekuwa hivi?
Dah ndio nimejua leo kuwa Magufuli alikuwa mwanatanu toka kuzaliwa. SawaKwa taarifa yako, Magufuli alikuwa serikalini tangu 1995. Alikuwa mwanachama wa TANU tangu anazaliwa, 1959. CCM tu mnajitekenya wenyewe na kucheka!
Kwa hiyo wanatuchezea maigizo ya bongo moviesIlililetwa na ccm ikakatishwa na ccm na ikarudishwa tena na ccm,
Ndio sijui kitu .... treni ilisimama kwa miaka 34Hujui kitu ww,tumeingia kwenye mfumo wa vyama vyingi nya siasa mwaka 1992