Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata picha inaonesha hapo aseee bonge la nyomi, namuona mkurugenzi bibi wewe ukiwa unatoa mawaidha ya namna ya kupanda, aaaaf hyo picha ya juu imependeza sana aseeeWanasema acha kupiga mayowe acha watu wayaone wenyewe.
Leo hii wakazi wa Arusha na viunga vyake walijitokeza kwa maelfu kushuhidia treni ya kwanza ya majaribio kuingia ndani ya jiji la Arusha ikiwa ni miaka zaidi ya 30 baada ya Shirika la reli kuwa hoi.
HONGERA JPM...TUMEKUELEWA SANA....
picha zimeshasambaa ni wewe tu kuzitazama"kumshukuru mwamasiasa kukuletea maendeleo ni sawa na kuishukuru ATM kukupa kukupa ela unazo zimiliki mwenyewe"
Tuwekee kapicha bas
😈Tunashukuru serikali ya Magufuli kwa kutuletea tetemeko
Nani sasa mana miaka 30 iliyopita tulikua tuna chama kimoja technically kila mtz alikua Ccm nani sasa alaumiwe ?Wasijisifu kama wamefanya kitu kipya bali wajite kwa kutuletea hasara na umasikini.
Hukuwahi kusikia misemo ya "Zidumu fikra za Mwenyekiti" au "CCM ina wenyewe". Kwa misemo hiyo tu wengine wote walikuwa takataka. Kwa vijana walijiunga na CCM ili wapate nafasi za kusoma vyuo vikuu na kupata ajira serikalini na mashirika ya umma, lakini siyo kwamba walikuwa wanakubaliana na sera zilizokuwepo.Nani sasa mana miaka 30 iliyopita tulikua tuna chama kimoja technically kila mtz alikua Ccm nani sasa alaumiwe ?
Huu uzi utaukuta jukwaa la mapishi kama utashindwa kuleta pichaWanasema acha kupiga mayowe acha watu wayaone wenyewe.
Leo hii wakazi wa Arusha na viunga vyake walijitokeza kwa maelfu kushuhidia treni ya kwanza ya majaribio kuingia ndani ya jiji la Arusha ikiwa ni miaka zaidi ya 30 baada ya Shirika la reli kuwa hoi.
HONGERA JPM...TUMEKUELEWA SANA....
huo ndio ukweliBila Mafuguli haya yasingewezekana
Wacha figisu mkazi wa kikatitiWee jamaa ni kichwa panzi kabisa! Wale wale watu wachache namna ile ndio unasema maelfu? Nilikuwa pale kwenye mti wa zambarau
Kumbe hukufika Krokoni? Halafu wakazi wa Katiti mjiahadhari sana na treniWacha figisu mkazi wa kikatiti
Kuajiri hawa wahitimu wa vyuo mmeajiri wangapi?Kazi zipi hizo?
Kama ni Hosoitali tumejenga
Kama ni shule zimejengwa na kukarabatiwa
Kama ni masoko tumejenga
....The list is on Amigo
Wanadandia treni kwa mbeleUnaijua Arusha vizuri? Kuna viwanda hapo station? Unaweza ukanitajia ni viwanda gani kwa uchache?