Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hii trein ilikuwa inafika Ulaya mkuu?Nafikiri waliondoka na wataalamu wa uendeshaji na pia wakagoma kununua malighafi waliziokua wanabeba Bara kupereka Viwandani kwao ulaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii trein ilikuwa inafika Ulaya mkuu?Nafikiri waliondoka na wataalamu wa uendeshaji na pia wakagoma kununua malighafi waliziokua wanabeba Bara kupereka Viwandani kwao ulaya.
Nafikiri waliondoka na wataalamu wa uendeshaji na pia wakagoma kununua malighafi waliziokua wanabeba Bara kupereka Viwandani kwao ulaya.Waliondoka na treni na reli waliibomoa?
Duh..Treni itafikaje ulaya mkuu?!..shida yenu mliosomea nje ya nchi hamjapata bahati ya kusoma Historia ya Tanzania..nafikiri kuanzia form 2 watoto wengi wamefunzwa swala hili..au unadhani wajerumani walijenga reli ili kuwarahisishia Watanganyika Usafiri Kati ya Bara na Pwani?!Hii trein ilikuwa inafika Ulaya mkuu?
Kishindo cha awamu ya tano!Mzee wa tutashitakiwa MIGA anasemaje?
Nimesoma hapahapa ndani, sijawahi kuona nchi ya kipuuzi kama yetu watu wanashangilia local train ambayo imekuwepo zaidi ya miaka 200 iliyopita tena wakoloni waliiacha inafanya kazi vizuri leo tunashangilia ujinga, tumeua wenyewe na tunashangilia kurudisha wenyewe.Nafikiri waliondoka na wataalamu wa uendeshaji na pia wakagoma kununua malighafi waliziokua wanabeba Bara kupereka Viwandani kwao ulaya.
Duh..Treni itafikaje ulaya mkuu?!..shida yenu mliosomea nje ya nchi hamjapata bahati ya kusoma Historia ya Tanzania..nafikiri kuanzia form 2 watoto wengi wamefunzwa swala hili..au unadhani wajerumani walijenga reli ili kuwarahisishia Watanganyika Usafiri Kati ya Bara na Pwani?!
Ndo mana nasema CCM ni vilaza Sana. Karen hii yaDC Arumeru Leo Tarehe 13/08/2020 Majira ya saa mbili kasoro asubuhi tumepokea Gari Moshi (train) ya majaribio ya kwanza ya mizigo baada ya miaka 30 ya kukosa huduma hii ya usafirishaji katika mkoa wetu wa Arusha. #ArumeruYetu
CCM wapuuzi sana ndugu!! Ushamba wao na ujinga wao wanataka kutufanya wote wajinga na washamba.Nimesoma hapahapa ndani, sijawahi kuona nchi ya kipuuzi kama yetu watu wanashangilia local train ambayo imekuwepo zaidi ya miaka 200 iliyopita tena wakoloni waliiacha inafanya kazi vizuri leo tunashangilia ujinga, tumeua wenyewe na tunashangilia kurudisha wenyewe.
Mambo ya kijinga kabisa mkuuCCM wapuuzi sana ndugu!! Ushamba wao na ujinga wao wanataka kutufanya wote wajinga na washamba.
Unajua maana ya wakoloni ?Najiuliza wakoloni ambao walijenga reli 1900 ikaingia Arusha kwanini tuliwatoa kama leo tunashangilia treni kuingia Arusha baada ya miaka 60 ya uhuru?
Jibu swali nilokuuliza,hayo ambayo unasema tumeambiwa sana na wajinga sasa na wewe usije kuwa mmoja wao.Unajua nini na wewe simu yenyewe ya shemeji yako
Nifundishe mimi kwanini usimfundishe dingi yako?Jibu swali nilokuuliza,hayo ambayo unasema tumeambiwa sana na wajinga sasa na wewe usije kuwa mmoja wao.
Kwani Lissu na Membe ndio watakujaza hela mkuu?.Piga kazi wewe acha lawama ,wenzako tunakomaa na life linasonga tuu mbona.Kama Lisu na Membe hatagombea hata kwenda kupinga kura sitahangaika, siwezi kwenda kuchagua maisha magumu hiyo laana siitaki kabisa
Huwezi kunipangiaKwani Lissu na Membe ndio watakujaza hela mkuu?.Piga kazi wewe acha lawama ,wenzako tunakomaa na life linasonga tuu mbona.
Inashangaza sana kwa jinsi serikali za ccm zilivyoua treni bila sababu yoyote, yaani treni ilikufa tu kwanini, hakuna mwenye sababu, ccm mwisho October.Najiuliza wakoloni ambao walijenga reli 1900 ikaingia Arusha kwanini tuliwatoa kama leo tunashangilia treni kuingia Arusha baada ya miaka 60 ya uhuru?
Kusafirisha mazao kutoka Mikoa inayopita wanakolima kuyaleta sokoni Dar es salaam kwa Bei nafuu kuliko maloriMleta post
Hiyo trein imewanufaishaje wazazi wako?
Anazunguka nchi nzima kwenye Lami ya Magufuli kutafuta wadhamini halafu anasema serikali haijafanya lolote!!!Waliye ua Reli wapo humu humu Mkuu,hapo juu yupo mmoja kasema haoni faida ya Reli,hii nishida ya kuwa na wapenzi wa siasa na si wanasiasa,hata Bwana Yule anaye fadhiliwa na Mabeberu juzi Kati alisema haoni faida za usafiri wa Anga wakati yy anafanya kampeni na Gari dogo Kama mark II kutoka Dar kuzunguka mikoa yote ya Tanzania bara akitumia barabara ya lami,halafu akishafika huko ana bwabwaja kuwa hakuna kilichofanywa na serikali
Imepita miaka 30 mpo mdarakani leo ndio mmejua lori zinaharibu barabara?Mkuu na ww unamoyo Sana kujibizana na mtu Kama huyo,ningejaliwa moyo wako ningefurahi Sana,yy anadhani hayo Malori yanayo haribu barabara kila siku zilizotengenezwa na Kodi zetu yangekuwa ya napita kwenye Reli barabara si zinge dumu kwa muda mrefu,watu wengine wanawaza kwakutumia viungo vilivyo fichwa na Pichu