Treni ya kwanza ya mizigo yafika Arusha baada ya miaka 30

Treni ya kwanza ya mizigo yafika Arusha baada ya miaka 30

Mkipeleka train Arusha mtashitakiwa MIGA, angalieni tusijenyolewa bila maji.
 
DC Arumeru Leo Tarehe 13/08/2020 Majira ya saa mbili kasoro asubuhi tumepokea Gari Moshi (train) ya majaribio ya kwanza ya mizigo baada ya miaka 30 ya kukosa huduma hii ya usafirishaji katika mkoa wetu wa Arusha. #ArumeruYetu

Hivi hawa waliosababisha treni hizi kutotoa huduma kwa zaidi ya miaka 30 ni nani hasa, TLP au Chadema? Wanastahili walaaniwe kabisa!
 
Kwa hiyo lengo la hiyo reli ni ili mpate kura? Hakuna mtu mwenye shida ya usafiri huko Arusha. Ukitaka kujua watu hawababaiki na hiyo treni, kaangalie waliokwenda kuilaki hiyo treni, na watakampokea Lisu kesho.
Sasa wewe utaona faida yake kweli?

Wafanyabishara wanaosafirisha mizigo yao ndio wenye shida nayo na ndio watakaona faida yake
 
Sasa wewe utaona faida yake kweli?

Wafanyabishara wanaosafirisha mizigo yao ndio wenye shida nayo na ndio watakaona faida yake

Tazama post yangu namba 22 iko wazi kabisa.
 
Kwahiyo katika wakati huu wa uchaguzi ndio mmejifanya kupeleka hiyo huduma arusha !!!

Ccm akili zao bwana !!! Hahaa daah

hATA USIPOTOA KURA YAKO KWA CCM BADO ITASHINDA WAPIGA KURA NI WENGI SANA, TRENI NI KWA AJILI YA KUJENGA UCHUMI WA NCHI, SERIKALI INATAKA WANANCHI WAFANYE BIASHARA KWA GHARAMA NDOGO ILI WAJILETEE MAENDELEO, SASA WEWE UNALETA ISSUE YA UCHAGUZI. POOR COMMENT
 
Mkuu na ww unamoyo Sana kujibizana na mtu Kama huyo,ningejaliwa moyo wako ningefurahi Sana,yy anadhani hayo Malori yanayo haribu barabara kila siku zilizotengenezwa na Kodi zetu yangekuwa ya napita kwenye Reli barabara si zinge dumu kwa muda mrefu,watu wengine wanawaza kwakutumia viungo vilivyo fichwa na Pichu
Sasa wewe utaona faida yake kweli?

Wafanyabishara wanaosafirisha mizigo yao ndio wenye shida nayo na ndio watakaona faida yake
 
Yaani mpuuzi aliyeua usafirishaji wa reli maksudi kwa sababu ya biashara ya malori sijui alikuwa anawaza nini. Kuna watu akili zao finyu, huko huko ambako malori yanatengenezwa kila siku wanaboresha miundombinu ya reli. Sie tunaharibu reli makusudi ili kuwanufaisha wenye malori. Umaskini wa mawazo ni umaskini mbovu kuliko umaskini mwingine wowote ule (Nyerere, Mei Mosi, 1995).
 
Walioua Reli wapo humu humu Mkuu,hapo juu yupo mmoja kasema haoni faida ya Reli,hii nishida ya kuwa na wapenzi wa siasa na si wanasiasa,hata Bwana Yule anaye fadhiliwa na Mabeberu juzi Kati alisema haoni faida za usafiri wa Anga wakati yy anafanya kampeni na Gari dogo Kama mark II kutoka Dar kuzunguka mikoa yote ya Tanzania bara akitumia barabara ya lami,halafu akishafika huko ana bwabwaja kuwa hakuna kilichofanywa na serikali
Yaani mpuuzi aliyeua usafirishaji wa reli maksudi kwa sababu ya biashara ya malori sijui alikuwa anawaza nini. Kuna watu akili zao finyu, huko huko ambako malori yanatengenezwa kila siku wanaboresha miundombinu ya reli. Sie tunaharibu reli makusudi ili kuwanufaisha wenye malori. Umaskini wa mawazo ni umaskini mbovu kuliko umsakini mwingine wowote ule (Nyerere, Mei Mosi, 1995).
 
Waliye ua Reli wapo humu humu Mkuu,hapo juu yupo mmoja kasema haoni faida ya Reli,hii nishida ya kuwa na wapenzi wa siasa na si wanasiasa,hata Bwana Yule anaye fadhiliwa na Mabeberu juzi Kati alisema haoni faida za usafiri wa Anga wakati yy anafanya kampeni na Gari dogo Kama mark II kutoka Dar kuzunguka mikoa yote ya Tanzania bara akitumia barabara ya lami,halafu akishafika huko ana bwabwaja kuwa hakuna kilichofanywa na serikali
Hii nchi ukitaka kufanya vitu vikubwa usiwasikilize watu. Bahati mbaya vitu vikubwa havionyeshi matunda yake mara moja kwa hiyo wanasiasa wengi wanatumia huo mwanya kubeza miundombinu na kujipatia umaarufu. Mi binafsi sina inshu na upinzani maana nafahamu fika hii nchi imezoroteshwa sana na kukosa mawazo mbadala. Lakini sipendi wanasiasa wasioweza kusaidia jamii ione umuhimu wa kuwekeza katika miradi ya kimkakati, na badala yake wanaiponda.

Mwanasiasa mjanja kutoka upinzani ni yule atakayeweza kupingana na Magufuli kwa hoja bila kubeza jitihada zake. Je, wana hizo akili?
 
Waliye ua Reli wapo humu humu Mkuu,hapo juu yupo mmoja kasema haoni faida ya Reli,hii nishida ya kuwa na wapenzi wa siasa na si wanasiasa,hata Bwana Yule anaye fadhiliwa na Mabeberu juzi Kati alisema haoni faida za usafiri wa Anga wakati yy anafanya kampeni na Gari dogo Kama mark II kutoka Dar kuzunguka mikoa yote ya Tanzania bara akitumia barabara ya lami,halafu akishafika huko ana bwabwaja kuwa hakuna kilichofanywa na serikali
Hata ndege zilipoanza walibeza leo hii ndiyo wanazitumia. Siasa hawaijui ndiyo maana hawajui kuifanya wanafanya hata kwenye mambo ya msingi
 
Yap hayo ndo maendeleo kwasababu maendeleo huwa hayana chama miaka 30 Leo imerud tena hakika ni juhudi hizo
 
Najiuliza wakoloni ambao walijenga reli 1900 ikaingia Arusha kwanini tuliwatoa kama leo tunashangilia treni kuingia Arusha baada ya miaka 60 ya uhuru?

Ulitaka tusishangilie maendeleo, Hili lilikuwa jambo la kupiganiwa na Mbunge wenu, lakini yeye na Chadema hawakuliona hilo.
 
Faida yote ya reli waliipeleka Kwao pesa haikubaki nchini

Upumbavu ndio huu. Kuendelea kulaumu mkoloni miaka 60 baadae!! Uchumi wa sasa ni mkubwa kuliko kipindi cha mkoloni - walichoiba ni kidogo sana.

Na waliofanya reli isifanye kazi baada ya wakoloni kuondoka nao unawaambia nini? Unawapongeza au unawalaumu sawa na wakoloni??
 
Kuwatoa was a must,ilikuwa ni lazima tujitawale,tatizo waliingia walaji wakala mpaka wakaua kila kitu,lakini tokea amaeingia JPM kila kitu sasa kimerudi kwenye mstari,sasa hapa utachagua mwenyewe kura yako umpe nani mwezi October...
Hiyo JPM ndiyo anakula bila kujali. Zikowapi Tsh 1.5 Trilion
 
Back
Top Bottom