Treni ya kwanza ya mizigo yafika Arusha baada ya miaka 30

Treni ya kwanza ya mizigo yafika Arusha baada ya miaka 30

Najiuliza wakoloni ambao walijenga reli 1900 ikaingia Arusha kwanini tuliwatoa kama leo tunashangilia treni kuingia Arusha baada ya miaka 60 ya uhuru?
Sisi majumbani mwetu hatuishi kwa treni, tunatakiwa tuishi kwa afya njema (siku hizi watu wananunua robot ya dozi wanayoandikiwa na dakitari!), milo mitatu kwa siku, maji safi na usalama, elimu inayokidhi mahitaji ya sasa na makazi bora. Na waondoke kama alivyoondoka mwingereza.
 
Sisi majumbani mwetu hatuishi kwa treni, tunatakiwa tuishi kwa afya njema (siku hizi watu wananunua robot ya dozi wanayoandikiwa na dakitari!), milo mitatu kwa siku, maji safi na usalama, elimu inayokidhi mahitaji ya sasa na makazi bora. Na waondoke kama alivyoondoka mwingereza.
Aibu tupu
 
Toka 2007 Hadi 2020 ni miaka 30? Acha uongo
 
Mzee wa tutashitakiwa MIGA anasemaje?
Imechukua miaka 30 serikali ya ccm kupeleka treni arusha! Haya ni maajabu sana!

Ndio maana tunataka Lissu achukue nchi ili tusiendelee kungoja miaka 30 mingine!
 
Hivi miaka 30 inaanzia lini? maana mimi nilikuwa naona mizigo ikipita kwenye hiyo reli miaka ya 2000
 
Hivi hawa waliosababisha treni hizi kutotoa huduma kwa zaidi ya miaka 30 ni nani hasa, TLP au Chadema? Wanastahili walaaniwe kabisa!
Kati ya miaka hiyo 30, miaka 20 kipenzi chetu alikuwa Waziri na mitano mingine akawa Rais mpendwa mbobezi wa kutumbua, kuteua na kutengua. Muda wote wa miaka zaidi ya 100, reli (permanent way) hiyo haukuwa na tatizo lolote bali uongozi mbaya ambao bado unaendelea wa Mashirika ya umma yote. Reli hiyo kabla ya Uhuru wa Tanganyika na muda mfupi baada, ilifanya kazi nzuri sana ya kusafirisha mizigo na abiria hasa wanafunzi maana shule zilikuwa chache na umbali mkubwa. Tunahitaji Uhuru mwingine!
 
Kama imechukua miaka 30 serikali ya ccm kupeleka treni arusha je itachukua miaka mingapi serikali ya ccm kuivusha Tanzania kutoka kwenye lindi la umaskini?

Lissu ni chaguo pekee!
Mpaka sasa hivi ni miaka 30 Chadema haijaweza kujenga Ofisi ya Makao Makuu.
 
kanda ya ziwa mnapeleka SGR arusha mnaleta kajamba nani ,tutakutana kwenye KURA ni LISSU tu hakuna mwingine
 
Kwani huduma zake zilikwamishwa na CDM?

Hampati kitu mwaka huu hata mkigawa hela bure CCM hatuwapi kura
 
Waliondoka na treni na reli waliibomoa?
Nafikiri waliondoka na wataalamu wa uendeshaji na pia wakagoma kununua malighafi waliziokua wanabeba Bara kupereka Viwandani kwao ulaya.
 
Back
Top Bottom