DOKEZO Treni ya SGR ya Dar - Dodoma imesimama Morogoro kwa Saa Mbili, kisha imezima tena kabla ya kufika Dodoma

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
 

Attachments

  • IMG-20250108-WA0022.jpg
    81.3 KB · Views: 3
  • IMG-20250108-WA0023.jpg
    80.8 KB · Views: 2
  • IMG-20250108-WA0021.jpg
    78.8 KB · Views: 3
Inaonekana kuna kipande njia iba tatizo.wanawafikisha abiria hadi hapo halafu wanapanda bus kufika Dodoma. Wa Dodoma wanafikishwa hio sehemu kwa bus halafu wanapanda treni kuelekea Dar.
Tusubiri taarifa ya TRC.
Mmmh kuna faida inapatikana hapo kweli??
 
Hizo ni changamoto ndogo ndogo zitaisha tu.
 
Jana pia ile iliyoondoka saa 11:15 jioni, ilisimama Kilosa kuanzia 12: 45 jioni tukaondoka saa 3:00 usiku, DSM tumeingia 5:00 usiku!

Nadhani kuna shida za kiufundi, lakini pia dhihaka za Wabongo kwa founder! Akiwemo Kaflag, JPM alitumia muda mwingi kufikiria maendeleo ya TZ halafu mna mtweza! Acheni dhihaka, la mambo yake/ miradi itakuwa na kisirani!!!
 
SASA hizo kilomota 20 si mngetembea kwa miguu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…