Wameishaambiwa wanakaribishwa kuwekeza vichwa na mabehewa harafu watalipia tozo za miundo mbinu
Hiyo imekaa vizuri, akina Abood mbona wanalalamika SGR imeua biashara yao ya mabasi, si waingie tu kwenye gemu sasa.
 
Wameishaambiwa wanakaribishwa kuwekeza vichwa na mabehewa harafu watalipia tozo za miundo mbinu
Hiyo imekaa vizuri, akina Abood mbona wanalalamika SGR imeua biashara yao ya mabasi, si waingie tu kwenye gemu sasa.
 
Wameishaambiwa wanakaribishwa kuwekeza vichwa na mabehewa harafu watalipia tozo za miundo mbinu
Hiyo imekaa vizuri, akina Abood mbona wanalalamika SGR imeua biashara yao ya mabasi, si waingie tu kwenye gemu sasa.
 
Si imefika kituoni kwa mwenyee muhusika imepumzika? Kwani kituo gani?
 
Bindi aligonga boda ya afisa kilimo Tanga ikawa written off
 
Si walisema SGR ni kama Ikulu umeme wake hauzimi kabisa
Hapo ndio nimechoka mnaposema na air conditioning zikafa na milango haifunguki
Karne hii hawakujua kuwa yanaweza kutokea haya na kuwe na mbadala wa kufungua manually?
Yaani na pumzi hizi siwezi kufa kijinga navunja dirisha au basi sipandi tu
 
Ukute unahangaika na Abood.Kajificha kwenye kijineno- Kasikazini hapo.Ndiyo wabunge wa CCM..eti Mwanzo mgumu, utafikiri wanafanya biashara ya nyanya, hawajui wajibu wao kwa watu wanaowaongoza.
Pesa za raia zimetumika nyingi halafu watu wanasema mwanzo mgumu ,wakati ni uzembe na hujuma tuu ndio tatizo linalo lelewa
 
Mmmh ngoja nisipande kwanza acha nipambane na usafiri mwingine.

Nimesikia A/C zilizima na milango ikawa haifunguki nilivyo muoga ngoja nisubiri kwanza.
Wewe kama mimi
Hebu imagine unaambiwa watu wamekufa kwa kukosa hewa
 
Na bado.changamoto itakuwa zaidi ya hapo hapo baadae.Unanunua mitumba ambayo imetumika Korea miaka kumi unategemea isizime?Kodi zetu zinachezewa
 
Inatia hasira sana baasi tu
 
Siamini kama ni hujuma. Uwezekano mkubwa ni uzembe na kukosa umakini. Ndivyo utendaji kazi wa serikali na taasisi zake zote, ulivyo.
Hivi Rais anashindwa kufukuza hao viongozi jamanii
 
Yaani kaka angu usemayo yawez akua saihi
Naigopa sasa hyo SGR maana miye toka imeanza ndo napanda hyoo..na nilisema Mabasi tena baba jeni byebye..hapa niko Dar nataka nirudi Dom naanza kupata hofu miye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…