Treni ya Umeme yatumia dakika 114 Dar hadi Morogoro, Wananchi 600 wasafiri

Mradi ni mzuri ila wananchi tumepigwa. Huo ni mwendo wa kinyonga, kwani zile treni za China hawazioni? Dude linaenda kilomita 301 kwa saa.
 
Weka na gharama za manunuzi mpaka ilipofikia kuanza safari.

Haupigi hesabu ya mradi kwa gharama za kuuendesha safari moja tu.

Weka na hesabu ya Watanzania wajinga walichoharibu na kuvunja katika hiyo safari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…