True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

...58
Ikiwa usingizi umenikorea, nilisikia dirisha linagogwa, alikuwa yunge mkubwa,
Nilimfungulia mlango nikiwa nmefumba macho akaingia, kisha nikafunga mlango,
Mbona hujawasha taa?
Akauliza yunge.
Taa amechuka babu anakazi nayo, Nlimwambia.
Nilipapasa ilipokuwa taa na kuiweka uvunguni.
Kwahiyo uliyoweka uvunguni sio taa? Aliuliza,
Nilikaa kimya maana niliona naingiliwa mambo yangu.
Hilo nadhani aliligundua kwamba sijapenda maswali yake hivyo akabadili mada.
Kiukweli nimeshindwa kulala pekeyangu jamani, yaani najigeuza tu bila usingizi, mwisho nikawaza kwanini kujitesa ingali dawa ipo?
Ukweli nimekuzoea ghafla mno, nimeshindwa kujizuia kwakweli, ila nashangaa mwenzangu nakuta unakoroma kabisa mhh!
Aliongea mfululizo na kutupa lawama.
Nimechoka mno mchumba wangu, nilienda kiwanjani kufanya mazoezi kiukweli nnausingizi wa hatari, nilibu.
Redio ipo wapi? Nataka uniwekee redio maria nisikilize kwaya, aliomba yunge.
Imeisha betri, nilidanganya.
Hahaaa!
Najua A to Z, sema babu angeacha tukutese kidogo alisema.
 
...59
Kwahio unafurahia ujinga mnaonifanyia?
Niliuliza,
Hapana, alikanusha yunge na kuongeza, umeshaharibu kila kitu tayari na dawa uliyochanjwa haitofanya kazi.
Umejuaje kama nimechanjwa dawa na kwanini isifanye kazi? Niliuliza kwa shauku.
Kiukweli bado hujakomaa, huwezi kutunza siri, hukutakiwa kukubali kiurahisi hivyo kwamba umechanjwa dawa, umeshaharibu, mtego kidogo tu umeuvaa mzimamzima, washa tu taa na ungoje vioja vya yunge mdogo kesho,
Alimaliza yunge.
Sasa wapi nimekubali kwamba nimechanjwa? Nilimtupia swali.
Nilipokwambia kwamba najua kila kitu ungekataa katakata, sasa unaniuliza nimejuaje, tatizo sio mimi kujua, bali ni wewe kunipa ushindi kwamba nimepatia, alieleza binti huyu na kuongeza, sasa washa tu taa hakuna unachojizuia.
Niache bwana, nyie kama mmeamua kunifanyia mauchawi poa tu, yaani hadi wewe mchumba wangu wa pekee unanichawia? Poa bwana, nililalama.
Mimi nikufanyie uchawi wewe? Kwanza huo sio uchawi ni kiini macho tu,
Kumbuka nishakuambia hakuna mtu atakugusa nikiwa hai, alitamba yunge!
 
...60
Asante mama, najivunia kuwa na mchumba kama wewe, nilimpa sifa.
Wala usijali baba, wewe ndo furaha yangu, ila nakuomba usinifanyie mambo ya ajabu, aliomba yunge wa watu.
Hakuna wa kukuingilia miliki yako mama, hapa ni kwaajili yako pekeyako, nilimwambia yunge wangu ambae alikaa kimya kidogo na kusema, kesho naondoka nakwenda kijiji jirani, nimeagizwa mbegu kwa mjomba hivyo nitang'oa kwa siku mbili, basi nakuomba baba tukifanyishe mazoezi kile kidonda ili kipone haraka, alisema yunge akimaanisha tukutanishe vikojoleo vyetu.
Nipo tayari mama, tena nilimiss kwelikweli hii kitu, nikasema na kumvagaa.
Ningependa uwashe taa baba kwani nataka uone chakula chako, hii ni mali yako na ruhusa kujilamba vidole, alichombeza yunge wangu,
Hapana, leo tutafanya gizani mama, maana nikiona huruma itanivaa, nilitania.
Heee!! Kumbe leo vita, huruma hakuna? Aliongeza utani.
Tulifanya yetu japo wakati mwingine alistuka huemda ni kutokana na maumivu ya sex asubuhi.
Nyieuu! Nyieeu!
Khiii! Khiii! Sauti ya mapaka na mabundi, mh?
 
...60
Asante mama, najivunia kuwa na mchumba kama wewe, nilimpa sifa.
Wala usijali baba, wewe ndo furaha yangu, ila nakuomba usinifanyie mambo ya ajabu, aliomba yunge wa watu.
Hakuna wa kukuingilia miliki yako mama, hapa ni kwaajili yako pekeyako, nilimwambia yunge wangu ambae alikaa kimya kidogo na kusema, kesho naondoka nakwenda kijiji jirani, nimeagizwa mbegu kwa mjomba hivyo nitang'oa kwa siku mbili, basi nakuomba baba tukifanyishe mazoezi kile kidonda ili kipone haraka, alisema yunge akimaanisha tukutanishe vikojoleo vyetu.
Nipo tayari mama, tena nilimiss kwelikweli hii kitu, nikasema na kumvagaa.
Ningependa uwashe taa baba kwani nataka uone chakula chako, hii ni mali yako na ruhusa kujilamba vidole, alichombeza yunge wangu,
Hapana, leo tutafanya gizani mama, maana nikiona huruma itanivaa, nilitania.
Heee!! Kumbe leo vita, huruma hakuna? Aliongeza utani.
Tulifanya yetu japo wakati mwingine alistuka huemda ni kutokana na maumivu ya sex asubuhi.
Nyieuu! Nyieeu!
Khiii! Khiii! Sauti ya mapaka na mabundi, mh?
Vp sijaona sehemu ambapo umesema mna ng'ombe hayo maziwa mlikua mnanunua?
 
...61
Zilikuwa ni sauti za paka na bundi juu ya paa la slopu ile, ilikuwa fupi sana nyumba ile hivyo kupelekea sauti zile mbaya zisikike kwa ukaribu kama zimo ndani kabisa.
Ng'eeeh, ng'aaaa!
Yalizidi kulia mapaka yale kwa sauti ya kuchukiziza mno, mabundi nayo humohumo ni misauti yao kama mangoma.
Mshiuuuuuu! Nilisonya kwa urefu, lahaulaa! Nikama nilimwaga petro kwenye moto,
Kelele ziliongezeka juu ya bati nakupelekea nitake kumwita babu kwani yunge alikuwa kimya tu kama hayupo.
Mshiuuuu! Alisonya yunge na mara moja vikasikika vishindo vya mapaka yakitua chini kwa nguvu kii, kii, kii na mbawa za mabundi yakipaa kisha kukawa kimya.
Kuna mtu anamtaka ubaya babu, wanamchokoza wenyewe kisha akijibu mapigo inakuwa huyu mzee mchawi, alisema yunge kwa hasira.
Sikuweza kujibu kwani bado mapigo ya moyo yalinienda mbio kwa hofu, hatimae nikasema, kama usingekuwepo sijui ingekuwaje leo.
Nimekwambia dawa umeharibu kwakuonesha kukubali kuwa umechanjwa, hivyo kama nisingekua ule msnyo wako ungewakimbiza.
Sasa umeamini?
 
...61
Zilikuwa ni sauti za paka na bundi juu ya paa la slopu ile, ilikuwa fupi sana nyumba ile hivyo kupelekea sauti zile mbaya zisikike kwa ukaribu kama zimo ndani kabisa.
Ng'eeeh, ng'aaaa!
Yalizidi kulia mapaka yale kwa sauti ya kuchukiziza mno, mabundi nayo humohumo ni misauti yao kama mangoma.
Mshiuuuuuu! Nilisonya kwa urefu, lahaulaa! Nikama nilimwaga petro kwenye moto,
Kelele ziliongezeka juu ya bati nakupelekea nitake kumwita babu kwani yunge alikuwa kimya tu kama hayupo.
Mshiuuuu! Alisonya yunge na mara moja vikasikika vishindo vya mapaka yakitua chini kwa nguvu kii, kii, kii na mbawa za mabundi yakipaa kisha kukawa kimya.
Kuna mtu anamtaka ubaya babu, wanamchokoza wenyewe kisha akijibu mapigo inakuwa huyu mzee mchawi, alisema yunge kwa hasira.
Sikuweza kujibu kwani bado mapigo ya moyo yalinienda mbio kwa hofu, hatimae nikasema, kama usingekuwepo sijui ingekuwaje leo.
Nimekwambia dawa umeharibu kwakuonesha kukubali kuwa umechanjwa, hivyo kama nisingekua ule msnyo wako ungewakimbiza.
Sasa umeamini?
Kituooo
 
Vp sijaona sehemu ambapo umesema mna ng'ombe hayo maziwa mlikua mnanunua?
Nikweli hakukuwa na ng'ombe pale kwa babu, ila kama umesoma toka mwanzo wa stori kunasehemu nilisema familia ya kina yunge na ile ya babu zilikuwa marafiki na kupelekea ng'ombe watatu wa babu kuwekeshwa kwao na yunge, mmoja wa maziwa na ndama wake na mwingine mkubwa wakufatwa na yule ndama.
 
...62
Sasa unahisi nani anaefanya mambo haya na kwafaida gani? Nilimwuliza yunge,
Mh! Watu wakijiji hiki wakiamua kukuchezea hawana cha sababu wala nini, alijibu.
Sasa inakuwaje wanakuja kufanya michezo yao hapa wakati inasemekana babu ni kiboko yawote na anaogopeka kwa ulozi?
Kwanza nikwambie tu, babu yako sio mchawi kama wanavyovumisha watu, kinachotokea ni kwamba, yeye babu katika kilimo chake anawekaga zindiko ambalo hakuna kati ya wanakijiji wote anaeweza kulitegua ili aweke chuma ulete, badala yake ukimwekea chuma ulete utakua unamwongezea mazao yako shambani mwake bila wewe kujua,
Hivyo kitendo hiki hupelekea babu yako kuvuna mazao ya uhakika kila mwaka na kupelekea chuki kwa wananzengo dhidi yako nahapo huanza kuvumisha ni mchawi! Alieleza yunge na kuendelea,
Kuhusu hii michezo ya mapaka na mabundi ni mtu wa karibu na familia hii ambae na ukitaka nitakuonesha ila uwe na kifua usije ukayamwaga kwenye kuku wengi, alifafanua kwa kirefu na kunitazama kungoja ruhusa yangu ili kama nnakifua anioneshe...!
 
Back
Top Bottom