Atakua mpwayungu village huyo au muhuni mwenzake.Kwa waleta story humu umejitahidi sana
kuna mmoja alileta episode 1 na kupotea wadau wamemtukana na kumbembeleza lakini wapi, na yupo anacomment mada nyingine ila hadithi yake katelekeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakua mpwayungu village huyo au muhuni mwenzake.Kwa waleta story humu umejitahidi sana
kuna mmoja alileta episode 1 na kupotea wadau wamemtukana na kumbembeleza lakini wapi, na yupo anacomment mada nyingine ila hadithi yake katelekeza
Nitaweka stori hii mpaka iishe wala sihitaji kubembelezwa, sema majukumu yanabana muda ila natamani kutupia kila muda.Kwa waleta story humu umejitahidi sana
kuna mmoja alileta episode 1 na kupotea wadau wamemtukana na kumbembeleza lakini wapi, na yupo anacomment mada nyingine ila hadithi yake katelekeza
PoapoaaaaaaaaNitaweka stori hii mpaka iishe wala sihitaji kubembelezwa, sema majukumu yanabana muda ila natamani kutupia kila muda.
Twende kazi mtu wangu na mkono uende kinywani pia.Nitaweka stori hii mpaka iishe wala sihitaji kubembelezwa, sema majukumu yanabana muda ila natamani kutupia kila muda.
Aandika iishe ndo ulete mambo ya kusema sijui umebanana hatutaki kama uliona kubanana kutakuwepo kwann umeileta ungeacha siku upo free uileteNitaweka stori hii mpaka iishe wala sihitaji kubembelezwa, sema majukumu yanabana muda ila natamani kutupia kila muda.
Mpaka sasa una speed nzuri umeutendea haki uzi ulioanzisha mwenyewe kwa utashi wako,Nitaweka stori hii mpaka iishe wala sihitaji kubembelezwa, sema majukumu yanabana muda ila natamani kutupia kila muda.
Kuwa uyaone.Aandika iishe ndo ulete mambo ya kusema sijui umebanana hatutaki kama uliona kubanana kutakuwepo kwann umeileta ungeacha siku upo free uilete
mbona unatukoromea mkuu.🤣🤣Kuwa uyaone.
Sijasema utoto unakusumbua lakini.
Sio master @mpwayungu village kweli @Kapeace
Ila wewe.Chai lakini tamu
Take easy man,uko wapi hapo minkoto au bwangaIla wewe.
Kanyaga twende...57
Alichokufanyia ni kiini macho tu wala hakuna cha bundi, paka wala kupotea! Siku nyingine ikitokea hivyo we sonya msonyo mrefu na puuza ulichokiona, lakini kabla ya hayo ebu ngoja nije.
Alisema babu na kuingia ndani kisha akarejea na wembe mkuukuu na ungaunga ulokuwa umefungwa fundo kwenye kikaratasi! Alinitaka twende nyuma ya nyumba ambako alinichanja juu ya jicho na kunipaka dawa ile.
Sasa inatakiwa ungie ndani mwako ukiwa umefumba, hutaqiwi kuona mwanga wa moto, alitoa maelekezo babu.
Nilianza kutembea kuzunguka nyumba ile nikiwa napapasa, uzuri nilikuwa nyuma ya slopu nilokuwa nalala hivyo sikusumbuka kuupata mlango.
Niliengua mlango na kuingia ndani, nilifunga mlango nikapapasa kuelekea chumbani ambako kulikuwa na kitaa cha sola (solata) kilchokuwa kinawaka.
Nilikizima na kujitupa kitandani, kulikuwa na joto wala sikujifunika shuka, sikufungulia redio kwani pia ilikuwa na vitaa kidogo vya kuelekezea band kama ni fm ama mw.
Kutokana na uchovu uliotokana na kufanya mazoezi nipitiwa usingizi mapematu.
Stamiko vile.Take easy man,uko wapi hapo minkoto au bwanga