True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

...51
Nilisikia sauti ya yule msichana, niligeuka nimwone,
Ajabu na kweli, alikuwa yeye amebeba ndoo ya maji kichwani!
Huyu kapitia wapi! Niliwaza, lakini pia maji kachota muda gani? Hapa simngojei,
Niliongeza kasi ya kuzichapa hatua kwa uharaka, lakini bado aliendelea kunisihi nimngojee,
Sikutaka kumwelewa,
Ebu ona hiki, nimekuletea wewe, alichimba mkwara, lakini sikutaka kumwelewa.
Nilikaza mwendo sikutaka kumsikiliza,
Sasa unaenda wapi huko? Nilistuka! Mhh! Nipo wapi hapa? Nilishangaa, nilikua nimekivuka kisima na kuendelea mbele, nilishangaa, wakati nasikia sauti yake akiniomba nimsubiri, nilikuwa nimeshakaribia nyumbani na nilianza kuuona ule mwembe wa nyumbani kwa babu, sasa imekuaje nimefika huku? Nilimkata jicho la mwana ukome yule msichana na kumwambia,
Sipendi upumbavu mnaonifanyia, mbona wasichana wadogo mnakuwa wanga tena waziwazi bila kujificha?
Nani kakuroga? Aliniuliza.
Sasa nimefikaje hapa wakati nilikuwa nakaribia nyumbani? Nilimwuliza wakati akiwa kanifikia.
Ebu geuka,
Niligeuka haraka..!
 
...51
Nilisikia sauti ya yule msichana, niligeuka nimwone,
Ajabu na kweli, alikuwa yeye amebeba ndoo ya maji kichwani!
Huyu kapitia wapi! Niliwaza, lakini pia maji kachota muda gani? Hapa simngojei,
Niliongeza kasi ya kuzichapa hatua kwa uharaka, lakini bado aliendelea kunisihi nimngojee,
Sikutaka kumwelewa,
Ebu ona hiki, nimekuletea wewe, alichimba mkwara, lakini sikutaka kumwelewa.
Nilikaza mwendo sikutaka kumsikiliza,
Sasa unaenda wapi huko? Nilistuka! Mhh! Nipo wapi hapa? Nilishangaa, nilikua nimekivuka kisima na kuendelea mbele, nilishangaa, wakati nasikia sauti yake akiniomba nimsubiri, nilikuwa nimeshakaribia nyumbani na nilianza kuuona ule mwembe wa nyumbani kwa babu, sasa imekuaje nimefika huku? Nilimkata jicho la mwana ukome yule msichana na kumwambia,
Sipendi upumbavu mnaonifanyia, mbona wasichana wadogo mnakuwa wanga tena waziwazi bila kujificha?
Nani kakuroga? Aliniuliza.
Sasa nimefikaje hapa wakati nilikuwa nakaribia nyumbani? Nilimwuliza wakati akiwa kanifikia.
Ebu geuka,
Niligeuka haraka..!
🤣🤣🤣 shusha mambo mzee. ule uzi pendwa wa usiku wa manane uamie huku.
 
...52
Niligeuka haraka, nilishangaa kuona zimebaki kama hatua 20 nifike nyumbani! Nilishusha pumzi, huyu anacheza na akili yangu, ntamkomesha, nilijisemea huku nikigeuka nimwone,
Maajabu, sikumwona! Niliangaza huku na kule lakini wapi, yunge mdogo hakuwepo, yaani huyu dogo ananichezea inamaana hajui kama babu yangu ni kiboko?
Niligeuka na kuondoka.
Naomba turudie maji, ilikuwa ni sauti yake tena.
Niligeuka na kumwona akiwa kashika njia ya kwenda kwao!
Ilibidi nicheke tu! Siyo kicheko cha furaha, bali cha masikitiko!
Nilifka pale nyumbani nikatua dumu langu na kuondoka kuelekea kiwanjani! Niliwakuta wachezaji ndo wamemaliza kugawanyika makundi mawili ili waanze kukinukisha, kulikuwa na wachezaji wengine wengi walobaki nje baada ya wale 22,
Niliwasabahi kisha nilianza kukimbia kuuzunguka uwanja! Nilizunguka mara 10, kisha nikapush ups, baadae nilifanya mazoezi ya viungo, wakati huu walikua wameshamaliza zoezi, nilijiunga pale walipokuwa wamekusanyika kwa ajili ya mawaidha,
Huyu ndie aliyechanga ile 5000!
 
...53
Alisema yule jamaa alokuwa anachangisha mchango asbuhi ambae baadae nipata kujua ndiye captain wa timu ya kijiji!
Karibu sana kijana na asante kwa moyo wa kujitolea, tunahitaji vijana kama hawa ili kuweza kutimiza malengo yetu.
Alisema mzee mmoja ambae alionekana kama kiongozi wa timu ile,
Unaitwa nani kijana wangu? Aliuliza.
Nilijitambulisha na nilipofikia.
Basi walinitambulisha kama mchezaji mpya na kunitaka kesho niwahi kufika.
Viongozi wa timu pia walijitambulisha akiwemo nahodha wa timu yule jamaa mchangisha michango ambae aliitwa juma! Tulitawanyika pale huku juma akiwa na jamaa wengine wawili wakiongozana na mimi mpaka tukafika senta ambapo kulikuwa na vijiwe kadhaa wakiuza uji, karanga na misuba (mihogo iliyokaangwa)
Juma alininulia uji na msuba, nilishangaa vijana wengi waliokuwa pale kiwanja walikuwa wanamtaka muuzaji aniongezee uji, misuba na karanga mpaka nikatosheka na kuwaomba niwahi nyumbani maana ni usiku sasa na nilikuwa bado mgeni, niliwashukuru na kuondoka nikiwa na furaha tele.
 
utoto mkuu! Na mikwara alokua ananipiga mwanzo nikataka nimwoneshe kwamba sina pupa nae, kingine nilitaka kumjua zaidi maana mtu anakwambia nitakurinda dhidi ya wachawi na hali ni msichana mdogo vile, au nikubali nilizingu kweli.
Wala hukuzingua mkuu,japo mie jana kuna demu alikuja kulala geto nikamuahidi sitamgusa..ila nkashangaa tu tunatoka jasho wote huku akikatikia mbolo sjui hata ikikuaje
 
Tuendelee
Nikiwa nimekaa pale nje naota moto, ghafla nikasikia yowe kali, watu walipiga kelee kwanguvu, yowe lilikuwa kali sana, fisiii, fisiii, dah! Bibi alitoka jikoni haraka huku ameshika kiuno,
Leo mapema tu? Mhh? Alisema bibi huku akitega sikio kusikiliza kwa makini,
Kwani vipi tena bibi? Nilimwuliza,
Kuna fisi anatusumbuaga sana, anakamata mifugo usiku watu wakiwa wamelala, ila leo naona amefata windo lake mapema tu, alijibu bibi,
Sasa bibi unaonaje nikielekea huko nikaone kinachoendelea maana si vyema kukaatu ili hali nimesikia yowe na watu baadhi wameniona, hivyo haitapendeza nikae tu, nilimtahadhalisha bibi,
Hee! Wewe kumbe umekua babu yangu, siamini kama maneno hayo unayaongea wewe, alitania bibi na kuongeza, baki hapa usiku huu uende wapi? kaa hapo ule, naona njaa inataka kukuua,
Sawa bibi, nilimjibu huku nikirudi kukaa kwenye kiti. Bibi aliingia jikoni na kuleta maji kwenye birika kubwa la shaba, glasi mbili za shaba (bilauli) na kikalai kidogo kwaajili ya kunawia mikono,
Karibu chakula mme wangu
Umenichekesha sana 'leo mapema tu mmh,
huu utani mi na Bibi ilikua daily ,
😅😅😅 na nisipomjibu atakesha ananisuta tu yaani raha sana.RIP🙏 Bibi🥲
 
Wala hukuzingua mkuu,japo mie jana kuna demu alikuja kulala geto nikamuahidi sitamgusa..ila nkashangaa tu tunatoka jasho wote huku akikatikia mbolo sjui hata ikikuaje
Hatari sana.
 
Back
Top Bottom