IFRS
JF-Expert Member
- Dec 19, 2014
- 2,915
- 5,233
Righting skills ndio nini? Yaani maneno ma4 ya Kiingereza makosa tayari, ukiandika story sio ndio balaa....Sura moja paragraphs tatu, huu ni uvivu wa hali ya juu, very low righting skills
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Righting skills ndio nini? Yaani maneno ma4 ya Kiingereza makosa tayari, ukiandika story sio ndio balaa....Sura moja paragraphs tatu, huu ni uvivu wa hali ya juu, very low righting skills
Jemima Mrembo tukutane inbox.Sura moja paragraphs tatu, huu ni uvivu wa hali ya juu, very low righting skills
Nyie watu msipende kulalama, kuandika ni kazi ngumu, isitoshe mda mwingine naandika ilihali nafanya kazi, kwahio uzingativu kwenye kazi unakua chini!Sura moja paragraphs tatu, huu ni uvivu wa hali ya juu, very low righting skills
Antonnia Tayukwa njooni...13
Basi tuliingia ndani ya slopu ile, nikaingia chumbani huku babu akiningoja pale sebleni, nilichukua elfu 60 ndani ya begi na kurudi nayo sebleni ambapo nilimkuta babu amengoja kwa hamu, nilimkabidhi akafurahi sana,
Kubyala kwa wiza (kuzaa kuzuri sana) alisema babu huku azificha fedha zili ndani ya puzo (bukta kubwa) alokuwa amevaa kwa ndani,
Usimwambie bibi yako kama umenipa mzigo, sawa mzee mwenzangu?
Alitahadhalisha babu, nikamwambia wala asijali, kwani bibi yeye nmempa masukari na maunga ya ngano kutoka kwa mama mkwe wake (mama yangu) hivyo simwambii chochote bibi,
Sawa pumzika kijana wangu, kesho ntakusimulia ntakayoyasikia huko kwenye tukio, alisema babu, kisha akaondoka,
Nilitoka nje kumuaga bibi kwamba nataka nipumzike, kwani nilitaka pia kuhakikisha kama babu ameondoka ili bibi naye nimpe mzgo wake,
Kweli babu alikua ameelekea senta kwenye tukio la fisi kuiba mtoto mapema tu,
Nilirudi ndani ya slop na kuchukua 50 elfu nikamkabidhi bibi na kumwambia, 30 imetoka kwa baba na 20 kwa mama.
Hii ni chai,saa moja jioni kuku hajarufi bandani,saa moja jioni anaenda mashineni kusaga,mwezi december saa moja ni giza sana hukoTuendelee
Saa 11 nafika kijijini pale tunaona watu wamejazana uwanjani, nikajua pale kuna boli linatembea, nikawaza, hapa ndo penyewe sasa, basi tukiwa pale senta, (tupaite isonda sio jina rasmi) tukamwona binti kabeba ndoo ya maji, tulimsalimia kisha tukamwuliza kwa mzee bhuhabi ni wapi? Yule binti akastuka, akanitazama kisha akauliza ahabhalogi gete? (kwa wale wachawi?) sikujibu, tukatazamana na wale wakimbiza daladala, walikuwa wawili, mmoja alibeba mizigo, mwingine alinibeba mimi! Basi yule binti alituelekeza kisha tukashika njia kuelekea kwa babu, tulifika pale ikiwa saa 12 kasoro dkika 6. Tulipokelewa na bibi ambae alionekana kuchangamka sana, huku nikiwa na aibu na hofu iliyotokana na kuambiwa ninapokwenda ni wachawi wa kupindukia, nilitamani wale daladala waondoke mapema ili kukwepa aibu ile, kwani kila tukikutanisha macho tu, nilihisi wananiogopa hata mimi, duh! Nakweli licha ya bibi kuwasihi wale waendesha daladala wasubiri apike haraka msosi waligoma na kuaga wakaondoka....!
Mmeanza wagagaikoko!Hii ni chai,saa moja jioni kuku hajarufi bandani,saa moja jioni anaenda mashineni kusaga,mwezi december saa moja ni giza sana huko
Tuna Mzee usijibu mtu Kama mtu uongo apite kuchotoUkiona stori ya uwongo unakula kona, sawa?
Lakini apunguze chai kidogoEndelea mkuu hvyo hvyo napenda story za ULONZI
Tupia mkuu tupo pamoja
Kumbuka kiitikio cha HADITHILakini apunguze chai kidogo
Sasa nikipunguza chai unataka unywe pekeyako?Lakini apunguze chai kidogo
Shukrani sana kipenzi nimekuja!!
Mwaga mambo mkuu,buseresere,katoro,kona ya mugusu,nyarugusu,nyankumbu umenikumbusha homeSasa nikipunguza chai unataka unywe pekeyako?
Ahabhalogi gete[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huko kuna machawi mno,nililala usiku nikashtu nimepigwa kichwani box la simu yangu wakati lilikua kwenye begi langu.