Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,490
- 8,227
- Thread starter
- #101
Sasa nipumzike, muda wa kuingia kibaruani unakaribia, tukutane saa 4 asbuhi hapahapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea mkuu.....!
Niliwasha moto pale nje(shikome) kisha nikachukua kiti na kukaa karibia na moto, muda kidogo alikuja yule binti akiwa kabeba rufuria na kisu, ndani ya sufuria kulikua na yule kuku alienyonyolewa manyoya, basi binti kwa ustaarabu akaniomba nimshikie ili amkate vipande vipande yule kuku kwani anakazi nyingine ya kufanya nyumbani kwao,
Nilimshikia akaianza kazi ile mara moja.
Unaitwa nani? Aliniuliza yule binti huku anaendelea na kazi yake,
Naitwa Buhabhi jina la babu, ila nitapenda ukinita nzehe, nilijibu,
kwanini unapenda jina la nzehe (mzee) aliuliza tena,
Napenda jina hilo kwa sababu ndo jina ambalo mama hupenda kuniita kwa kuhofia kulitaja jina la baba mkwe wake (babu kizaa baba) nilimjibu.
Nikweli sio vizuri kutaja jina la mkwe, alisema yule binti na kuongeza,
Sasa mbona hujaweka kuni kubwakubwa (shitinde) kwenye moto wako? Aliuliza huku akinitazama usoni,
Mie sijui bwana, nilimjibu,
Kuni kubwa ndo uhai wa moto ule, yani bila hizo moto hautodumu, basi nilisogeza magogo mawili makubwa nikachochea
Mwambie boss wako tumekuagiza mahali agizo kutoka juuTuvumiliano ndugu zangu! Natamani nitupiepo ila bado nafasi imekua finyu
Wewe, acha kabisa.Mwambie boss wako tumekuagiza mahali agizo kutoka juu
sawa mbwa mwenzangu.endelea kushusha we mbwa. kama unavyoitwa na dada yako.
ukiiacha katikati hii stori nakuloga, siwaogopi hao wazee.sawa mbwa mwenzangu.
Tanipata wapi.ukiiacha katikati hii stori nakuloga, siwaogopi hao wazee.