feisal firdaus
JF-Expert Member
- Apr 6, 2022
- 424
- 675
Haya endelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du haya ngoja tuiweka nuktaNtaendelea saa 1 jioni
Jaribu kuweka ndefu basNtaendelea saa 1 jioni
PoaJaribu kuweka ndefu bas
Ila nyie.Alafu we mbwa usijikite kusimulia X humu utakula ban ya maisha jikite kwenye mafunzo na hzo stori za Giza pia na location na connection yake utoe.
Nadhan umenielewa mbwa wewe
Wanawake hamna dogo.Alafu we mbwa usijikite kusimulia X humu utakula ban ya maisha jikite kwenye mafunzo na hzo stori za Giza pia na location na connection yake utoe.
Nadhan umenielewa mbwa wewe
kumbe nawewe ni mdada?Oya we mbwa bado dakika 10 saa 1 ifike uko wapi mda huu? Tunataka muendelezo wa hii story
Aliuliza hilo swali huku amekaza sura mithiri ya nyoka koboko alieona panya mwenye mimba huku akiwa amekaa senta kusubiri mejibu ya msimuliaji yatakuaje, laahaula...
Hii simulizi yako, ndio simulizi iliyoandikwa kivivu zaidi hapa JF. Yani episode inakua na mistari kumi, alafu tunasubiri episode nyingine....46
Nyie chezeni washabiki tupo tutashangilia, ila sioni kama utapata nafasi ya kucheza maana huyu alietoka hapa ndo mchezaji mdogo kuliko wote, na anaujua kuucheza mpaka wakampa cheo cha kuwa kiongozi wao (captain) sasa wewe kwa umri wako huo utakua mshangiliaji kama sisi tu,
Alinichimba mikwara yunge mdogo.
Sio mbaya kama nitakua shabiki pia, kwani lengo langu mimi ni kufanya mazoezi, lakini pia ikitokea hao wakubwa mmoja wao kapata tatizo naweza nikaziba pengo lake, nilimjibu huku nikiwaza kumshangaza siku ya mechi kwa mautundu ntayoyafanya uwanjani,
Yunge: mie naenda sasa
Mimi: tupige stori basi, unajua nakuwa mpweke kukaa pekeyangu hapa na kulivyozungukwa mahindi naogopa sana.
Yunge: twende tukakae kwetu sasa.
Mimi: hapana, nimeachiwa kulinda hapa.
Yunge: kwahio kwetu umeona kuna mlinzi? Imebaki zamu yako kuja kunitembelea, nahilo ni deni.
Aliongea huku akiondoka pale nilipokua nmekaa.
Kwa mara nyingine nikapata nafasi ya kulisha jicho, alitokomea. nikatupa macho kwenye ile njia ya kwenda kisimani!
Mh!
Kuandika sio mchezo atakuwa yulo busy ila anajitahidi sana. Ila sio kila mtu ana writing skills oikubwa ashushe story za kutoshaSura moja paragraphs tatu, huu ni uvivu wa hali ya juu, very low righting skills
Story za kanda ya ziwa,wanamaanisha pale eneo lililochangamka kama kwenye mjumuiko wa mahitaji mengi kama maduka,soko,gulio n.kNeno senta naliona sana kwa story za kanda ya kaskazini zinazoandikwa huku