Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Baby mambo❣️Nukta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baby mambo❣️Nukta
Baby mambo[emoji3589]
hivi hawa wajuaji siuwe unawablock tuKama hujaelewa uliza ueleweshwe, kwani top 20 ilikuwa inaanza muda gani na sports roundup ilikuwa muda gani? Na wapi nimesema siku hiyo niligonga dem?
Vichwa vingine bwana mafi kbs.
I miss you sweet heart💞Baby Poa
I miss you sweet heart[emoji179]
Tena ndo imefika penyewe sasa, uchawi wa hatari sana pale kijijini, nakama ningesema niandike kila tukio nisingeweza maliza hii stor.
🥰🥰🥰[emoji180]
Pimbi kama pimbi,yaan ukiwa unakula chakula cha kuletewa huwez jua kama hakunaga siku za kupumzikaAandika iishe ndo ulete mambo ya kusema sijui umebanana hatutaki kama uliona kubanana kutakuwepo kwann umeileta ungeacha siku upo free uilete
Wachawi hawataki mambo yao yawekwe wazi,bila shaka huyu Chizi ni dada ake Yunge mdogoUANDISHI WAKO WA KITOTO UNAWEKA MANENO MENGI YA UONGO AMBAYO KWA WATU WA KIJIJINI HAWAWEZI YATAMKA. UNATAKA KUONESHA UMECHANGAMKA SANA MPAKA UNAHARIBU. BADO JIFUNZE KUSIMULIA IONEKANE KAMA YA UKWELI. WEWE UNASIMULIA INAONEKANA NI UONGO KABISA.
Hyo story sehemu nying sana na ung'eng'e ulikuwa unatembea na nilkuwa napenda sana,huku kisukuma ndo kinatembeaWe yule aliyeandika HOW I MATE MY WIFE unamfananisha na huyu anayetoa hadithi za muu ndo huu? Mzee ,JBourne59 ni bingwa ndugu tafuta story zake utampigia salute!
Kamwambie bi b i yako sasaUongo yaani hata maji anakuchotea kwa uchawi na wengine wapo? Na yeye ulimkuta kwenye foleni? Wy hakujichotea?
Mkuu tubariki na vipande vinne halafu tusubiri usiku😜😜Dah! Umenikomeshea hiyo kenge mkuu.
Mkuu tubariki na vipande vinne halafu tusubiri usiku
Mimba changa inakusumbua.Una uandishi mbovu kinoma yaaani hadi kero