True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

Mzee hi story yako imeniogopesha Sana want narudi home nilipitia swaswa , Kisha kuja ilazo Ninako ishi natembee mdgomdg kuelekea ilazo huku nasoma story yako ajabu nikakutana na paka mwenye mabaka meusi meusi na meupe akasimama kwa ujasiri Basi namm nikamvyonza [emoji23] Kisha nikaendekea nasafar nafika home nafuta geti nashangaa kumuona yule paka Tena akinitangulia mbele yangu kwa kuruka ukuta na Kisha kukimbilia uvunguni mwa gari iliyo paki nikitafuta fimbo nimfate huku najeuza macho HV kurud sijamuona paka
Aliko pitaa huwenda Ni yunge ananichezea


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ila wewe.
 
Atakua katokomea nzuguni 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…