kwaiyo unajikuta professor wa money heist mwenyewe ππππHiyo ni next chapter chief. Ni kipande kipya kwenye masimulizi. Ukiachana na maisha baada ya pale, pia kuna maisha kabla ya pale ambayo hayajasimuliwa.
Ni kama movie series tu, season inapoisha, watazamaji huwa na hamu sana na season ijayo, maana inakuwa imeishia patamu π π
Sijasema hivyo mkuu π π πkwaiyo unajikuta professor wa money heist mwenyewe ππππ
naomba nitagi hiyo ya leadermoe nikasome
MZee wa juu ya meza, juu ya kochi, sakafuni aahπ€£π€£Sijasema hivyo mkuu π π π
hivi kwann watu wa jf wanapenda kuitana mkuuππ au mi sikusoma terms and policy labda kuna mahali walisema tuitane ivoSijasema hivyo mkuu π π π
ππππ umesahau mzee wa mishangaziMZee wa juu ya meza, juu ya kochi, sakafuni aahπ€£π€£
π π π DahMZee wa juu ya meza, juu ya kochi, sakafuni aahπ€£π€£
Mkuu ni JF - Expert Member. Wale member, senior, senior member ili jina haliwahusu.hivi kwann watu wa jf wanapenda kuitana mkuuππ au mi sikusoma terms and policy labda kuna mahali walisema tuitane ivo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
π π π Duhππππ umesahau mzee wa mishangazi
Mkuu unanisagia kunguni π ππππ wembamba wa reli
kheee, kumbeβ¦sikuwahi kujua hivoMkuu ni JF - Expert Member. Wale member, senior, senior member ili jina haliwahusu.
Nenda kachek T &C za JF, chapter vi
Mungu akutunze na kukuweka mbali na mashangaziNimeokoka siku hizi π π π
ππππMkuu unanisagia kunguni π π
Hukusoma vigezo na masharti πkheee, kumbeβ¦sikuwahi kujua hivo
inabidi niwe nasoma aiseeHukusoma vigezo na masharti π
Mbali Kivipi mkuu? Binadam tunatakiwa kupendana πMungu akutunze na kukuweka mbali na mashangazi