Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Kwann isiishe mkuu?Haiwezi kuisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann isiishe mkuu?Haiwezi kuisha
Akiutaja nitag 😂Hapa tutawajua wenye matatizo ya nguvu za kiume [emoji23][emoji23]
Mnasmema Pettymagambo kumbe mmepungukiwa nguvu za kiume mnataka busta😂😂😂Story itakua ya kipuuzi bila kuweka picha ya tukio lolote.. Mfano unaweza taja mti na ukaupiga picha
Kwani kupungukiwa nguvu za kiume kuna ubaya gani..??Mnasmema Pettymagambo kumbe mmepungukiwa nguvu za kiume mnataka busta😂😂😂
Jobless mna shida sanaKukuwasha ukinipa hiyo mbususu
Huyo wegero kwetu sio tu ni jobless Ila pia ni lile zao linalopandwa kwenye majaruba.Jobless mna shida sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kila siku wahusika wanaongezeka, ila babu yako mikwala mingi kumbe hana lolote
Msimulizi ni mjingaKwann isiishe mkuu?
Endelea kuwaza hivo hivoJobless mna shida sana
Laiti ungenijuaHuyo wegero kwetu sio tu ni jobless Ila pia ni lile zao linalopandwa kwenye majaruba.
Unazingua, punguza ukali kwenye kauli zakoLaiti ungenijua
Mpotezeeni tu hadi aendelee au amalize 😅😅Msimulizi ni mjinga
Kwel aseeSijui ni mimi tu au vipi, ila naona kama hii story imepoteza mvuto. Sijasema kwa ubaya pliz msinipopoe.
NB; Ile story ya aposto imeisha lakini kila mtu alitaka iendelee.
Hiyo ni next chapter chief. Ni kipande kipya kwenye masimulizi. Ukiachana na maisha baada ya pale, pia kuna maisha kabla ya pale ambayo hayajasimuliwa.Ile imeishia njiani hajatwambioa maisha baada ya mausia
Wewe ni kitoweo Cha masela tu. Neno wegero kwetu maana yake ni mpunga usio na thamani.Msimulizi ni mjinga
Mkuu nitag hiyo story ,mihame hukuSijui ni mimi tu au vipi, ila naona kama hii story imepoteza mvuto. Sijasema kwa ubaya pliz msinipopoe.
NB; Ile story ya aposto imeisha lakini kila mtu alitaka iendelee.
Jamaa mida mibaya hii, game inaanza punde, humwangalii madrid leo?