True story: Nimeamua kumkataa mtoto rasmi

Hivi wanawake wa Jamiiforums mliobahatika kujiunga humu jf,kutokana na hizi mada mbalimbali zinazoletwa na wanaume kuhusu ushetani wenu,hivi bado mpo mnaofanya ujinga huu?
kwa sababu nyinyi ni malaika eti 😏😏
Hapa huwa tunasikia story za upande mmoja na bila ya kuwa na uhakika Kama ni true story ama laa.
 
Nasubiri
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mtoto sio wako .. mind your own business my nigga .. Huyo mwanamke amekuchoresha Sana .amekuvunjia heshima yako pakubwa Sana haupaswi kumpa nafasi hata yakuipata salamu yako ..mfungie vioo mazima jifinze kulinda brand name yako mkuu ' kina watu wengine au vitu vingine haupaswi kabisa kuvikaribisha maishani kwako
 
Naunga mkono hoja, mara nyingi sisi wanaume huwa tunakosa maamuzi halafu tunasingizia limbwata. Mtoa mada tangu aliposhtukia kuhusu mimba ya kwanza ilipotolewa angechukua hatua ngumu haya yote yasingetokea
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hata nikikuta msg ya mapenzi nalia Mimi badala yake' ...Daahh dunia hii !!!!
Mpaka sasa sielewi nilikua katika hali gani, wadau watakuwa sahihi kama wataniita majina yoyote tu

Maana yale sio mapenzi ni kitu kingine tu
 
Nakubali
 
Naunga mkono hoja, mara nyingi sisi wanaume huwa tunakosa maamuzi halafu tunasingizia limbwata. Mtoa mada tangu aliposhtukia kuhusu mimba ya kwanza ilipotolewa angechukua hatua ngumu haya yote yasingetokea
Hili la limbwata sikutaka kulizungumzia tangu mwanzo kwa kuhofia kuambiwa kama ulivyosema ndio maana hata nilipojaribu kulielezea nimetaka wafuatiliaji wasilitilie maanani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…