True story: Nimeamua kumkataa mtoto rasmi

True story: Nimeamua kumkataa mtoto rasmi

Swala la Upimaji DNA BONGO bado upo? Kuna kipindi fulani watu walikuwa na mwamko wa kupima, mtambo ukawa unatema ukwel hadi huduma ikasitishwa,
Aidha kuna romous kwmba kuna jamaa aliokota mtu mtaan kupima mtoto wake majib yakasoma mtoto wake, kisha jamaa akaenda pima akaambiwa mtoto wake.

Swali ni je huko DNA pana majib ya real au bado hizo fix za kulinda watoto wasiachwe na baba zao zipo.


Na hapa bongo hospital zipi zennye huduma ya DNA?
[emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe unamatatizo sana,hivi uncho n'gan'gania hasa nikipi?huna chako hapo kakuona boya tu ndio maana anakupiga hela tu
 
Swala la Upimaji DNA BONGO bado upo? Kuna kipindi fulani watu walikuwa na mwamko wa kupima, mtambo ukawa unatema ukwel hadi huduma ikasitishwa,
Aidha kuna romous kwmba kuna jamaa aliokota mtu mtaan kupima mtoto wake majib yakasoma mtoto wake, kisha jamaa akaenda pima akaambiwa mtoto wake.

Swali ni je huko DNA pana majib ya real au bado hizo fix za kulinda watoto wasiachwe na baba zao zipo.


Na hapa bongo hospital zipi zennye huduma ya DNA?
Ndio maana sina imani sana na DNA

Huko ntaambiwa tu mtoto ni wangu, ni suala la kimkakati
 
Tatizo thread yako umeweka ata visivyotakiwa ishu ni kumkataa mtoto unaeleza mpaka mlivotoana bikra na first love wako mala kupata mwingine kuajiriwa duuuh nimeishia apo alipopata manzi mpya aliemalizia anipe summary basi
unampangia?? kama unaona easy andika wewd uzi wako.unafikiri kukaa kutype ninrahis wewe uje tu unnze kusoma.vip bwana
 
Tatizo thread yako umeweka ata visivyotakiwa ishu ni kumkataa mtoto unaeleza mpaka mlivotoana bikra na first love wako mala kupata mwingine kuajiriwa duuuh nimeishia apo alipopata manzi mpya aliemalizia anipe summary basi
Wakati mwingine inabidi ufanye flashback ya matukio ili kuleta maana mbele ya safari
 
unampangia?? kama unaona easy andika wewd uzi wako.unafikiri kukaa kutype ninrahis wewe uje tu unnze kusoma.vip bwana
Wanasoma kama burudani lakini nafikiri wana cha kujifunza
Wamekuwa wanalia juu ya madhila wanayotendewa na wanaume lakini wanaume tuna mengi tumeyafumbata
Inawezekana shida zao ni sababu yao
 
Ushauri wangu ni bora upime DNA ili kuondoa huo walakini wa anaweza kuwa wangu au asiwe wangu,mda wote ulopoteza na gharama zote ungeshapima DNA kitambo naona wakati mwingine unakosa maamuzi ya kiume kwa sababu ya ule walakini sasa kwa nini usifanye jambo moja kumaliza utata huo
Kama ukifata ushauri wangu
★Ukishapima DNA★
Majibu negative:sasa unaweza kukata mawasiliano rasmi na hyo maza msijuane kwa lolote
Majibu positive: Anza kuplay part yako kama unavoweza na sio kuendeshwa endeshwa,malezi ya mtoto yawe kama unavoona inafaa ikiwa mama yake anachofanya siyo sahihi

Kuhusu cheti
Haina haja ya kuendelea kutumia cheti cha ndoa ikiwa ndoa hyo haipo,chukua hatua,japo unadai limbwata limeisha lakini inaonekana bado huyo bibie kakukalia kichwani(anakudrive mno)
Mkuu kama mtoto yupo na mzazi mwenzio(hata kama kabambikwa), na unataka ukampime DNA na mwanamke hataki, nikikata mrija wa hela za matumizi ya mtoto kuna tatizo?
 
Mkuu kama mtoto yupo na mzazi mwenzio(hata kama kabambikwa), na unataka ukampime DNA na mwanamke hataki, nikikata mrija wa hela za matumizi ya mtoto kuna tatizo?
Mwanamke akikataa DNA hpo ni sawa kukata mtija unakuwa unasubiri nini tena
 
Wanazinguaa Mastory ya kikudaa tuu...Mara iendele mbelee maraa irudi nyumaa kama time travellers..!! Mtu una mkasa na ulipitia kweli unaweza kusummarize na ikawa bonge la story sio huu Utopo wa kucopy mastory huko unakuja kuleta mainshaa marefuu kama msafara wa wangoni.

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Wanazinguaa Mastory ya kikudaa tuu...Mara iendele mbelee maraa irudi nyumaa kama time travellers..!! Mtu una mkasa na ulipitia kweli unaweza kusummarize na ikawa bonge la story sio huu Utopo wa kucopy mastory huko unakuja kuleta mainshaa marefuu kama msafara wa wangoni.

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Rikiboy una nini siku hizi umekuwa mtu wa matusi na kuvimba sana brother, angalia kama kuna tatizo mahali saikolojikaly kisha relax
 
Pole mkuu
Usijaribu kupima DNA kea bongo bado sana
 
Angeendelea kunidrive nisingefikia maamuzi haya, tunza huu uzi halafu uje kuniuliza miaka ijayo kama nitajihusisha nae tena

Unasema nipime DNA, inamaana unataa nimpigie simu mwanamke yule tena? Nimeshajirudi rudi kumpigia sana yeye hanaga shida na mimi
Haiwezekani mwanamke akaushe tu kirahisi kama mtoto ni wako na wazazi hamjawahi kukorofishana na zaidi yeye ndio alikorofisha

Kama masuala ya DNA ilikuwa wakati uliopita kwa sasa haijalishi ni wangu au sio wangu sitamuanza tena, sitajishughulisha tena labda aanze kunitafuta

Nimekaa nikafikiria sana kabla ya maamuzi haya, sioni ni kipi nitakosa kama nitaachana na hili suala
Kila la kheri mkuu mwenye majukumu mapya baada ya kupunguza hilo la mtoto
 
Wanazinguaa Mastory ya kikudaa tuu...Mara iendele mbelee maraa irudi nyumaa kama time travellers..!! Mtu una mkasa na ulipitia kweli unaweza kusummarize na ikawa bonge la story sio huu Utopo wa kucopy mastory huko unakuja kuleta mainshaa marefuu kama msafara wa wangoni.

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Hahahaha pole mkuu kama hili linakukwaza sana
 
Back
Top Bottom