Trump aanza mazungumzo ya siri na Iran

Trump aanza mazungumzo ya siri na Iran

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Rais mteule wa Marekani Donald Trump, ameanza mazungumzo ya siri na Iran ili kufikia makubaliano. Mazungumzo haya yalifanyika kwenye eneo lililochaguliwa na Balozi wa Iran kwenye umoja wa mataifa.

Trump aliwakilishwa na Elon Musk kwenye mazungumzo hayo na Iran iliwakilishwa na Balozi wa Iran kwenye umoja wa mataifa Bwana Saeed Iravani. Taarifa ya Iran inadai mazungumzo hayo yanaendelea vizuri na Yana matokeo chanya.

Swali la msingi ni, Iran na Trump wanataka kufikia makubaliano gani? Ngoja tusubirie mwisho wa siku tutapata majawabu.
 
makobaz yamepaniki mazee dah ...hehe.. yaani yanakesha mitandaoni yakitunga habari za uongoo...eti mwamba trump aongee na lizee la ugaidi ayatola never...irani atulie asubiri dozi yake inaandaliwa freshiii
 
Nadhani ni harakati za US kuumaliza mgogoro wa Middle East! Iran ni key player wa vita vya Gaza,ndiye muungaji mkono wa vikundi vya Hamas na Hezibollah.
Huenda kuna makubaliano fulani kati ya US na Iran ambayo yatafanya Iran isiendelee kuunga mkono vita vya Gaza.
 
makobaz yamepaniki mazee dah ...hehe.. yaani yanakesha mitandaoni yakitunga habari za uongoo...eti mwamba trump aongee na lizee la ugaidi ayatola never...irani atulie asubiri dozi yake inaandaliwa freshiii
 

Attachments

  • Screenshot_20241003_123204_WhatsAppBusiness.jpg
    Screenshot_20241003_123204_WhatsAppBusiness.jpg
    321.2 KB · Views: 4
Rais mteule wa Marekani Donald Trump, ameanza mazungumzo ya siri na Iran ili kufikia makubaliano. Mazungumzo haya yalifanyika kwenye eneo lililochaguliwa na Balozi wa Iran kwenye umoja wa mataifa.

Trump aliwakilishwa na Elon Musk kwenye mazungumzo hayo na Iran iliwakilishwa na Balozi wa Iran kwenye umoja wa mataifa Bwana Saeed Iravani. Taarifa ya Iran inadai mazungumzo hayo yanaendelea vizuri na Yana matokeo chanya.

Swali la msingi ni, Iran na Trump wanataka kufikia makubaliano gani? Ngoja tusubirie mwisho wa siku tutapata majawabu.
Pumbavu Wa pray for Israel mko wapi?
Wanaaibika kwa kuwa Hawana akili,
 
Rais mteule wa Marekani Donald Trump, ameanza mazungumzo ya siri na Iran ili kufikia makubaliano. Mazungumzo haya yalifanyika kwenye eneo lililochaguliwa na Balozi wa Iran kwenye umoja wa mataifa.

Trump aliwakilishwa na Elon Musk kwenye mazungumzo hayo na Iran iliwakilishwa na Balozi wa Iran kwenye umoja wa mataifa Bwana Saeed Iravani. Taarifa ya Iran inadai mazungumzo hayo yanaendelea vizuri na Yana matokeo chanya.

Swali la msingi ni, Iran na Trump wanataka kufikia makubaliano gani? Ngoja tusubirie mwisho wa siku tutapata majawabu.
Niliwambia wakristo humu Trump.lazima atabadilika Iran ni moto wa kuotea mbali.
 
Back
Top Bottom