Trump aanza mazungumzo ya siri na Iran

Trump aanza mazungumzo ya siri na Iran

Ko hii ni vita ya kidini
Wakristo mimi sina shida nao wale wenye kufata mafunzo ya Yesu, sio ya Paulo. Yesu alifunza Mungi ni mmoja tu, nyie mkaja na nyimbo ya Paulo 1=3 hawa mimi ndio tunamatatizo nao.

We huoni humu wakristo wanao sema Mungu ni mmoja na Yesu ni Mtume hawa hawawezi kumpa support mtu anaye fanya genocide. Pia hawawezi hata siku moja kusema Israel ni taifa teule, wakati halikuwahi kuwepo taifa linaitwa Israel.

Hezbullah kamatilieni hapo hapo tutasikia Trump anamtuma Elon Musk kuja kuongea na wabunge wa Hezbullah, sababu US na Israel hawaheshimu serekali au watu, wanacho heshimu ni lugha ya silaha tu.
 
I can't urgue with people who trails and embrace idiocy. Stay in your absurdity. Get back when you are in your full sense, when you are capable of responding logically.
Huwa unakimbilia personal attack unapokosa hoja.
Nimeshakuzoea,umepewa facts na hujatukanwa ila kuitwa muongo unanuna!?

Am giving you a last advice,stop islamaphobia it really kills your way of thinking.
And if you don't have knowledge of something is better you shut the bowl rather than exposing your stupidity.
Such dunderhead,USIPENDE KUTUDANGANYA.
 
Rais mteule wa Marekani Donald Trump, ameanza mazungumzo ya siri na Iran ili kufikia makubaliano. Mazungumzo haya yalifanyika kwenye eneo lililochaguliwa na Balozi wa Iran kwenye umoja wa mataifa.

Trump aliwakilishwa na Elon Musk kwenye mazungumzo hayo na Iran iliwakilishwa na Balozi wa Iran kwenye umoja wa mataifa Bwana Saeed Iravani. Taarifa ya Iran inadai mazungumzo hayo yanaendelea vizuri na Yana matokeo chanya.

Swali la msingi ni, Iran na Trump wanataka kufikia makubaliano gani? Ngoja tusubirie mwisho wa siku tutapata majawabu.
Trump airejeshe Marekani kwenye yale ya makubaliano ya nyuklia aliyojitoa kupata makubaliano mapya na yanayoendelea huko Gaza na Lebanon sio rahisi.
 
Mengi uliyoyaandika hayana ukweli hata 1%. Uliyoyaandika kuhusiana na Trump na Netanyahu, ni uwongo mkubwa. Uliyoyaandika kuhusiana na Saudia, ni upuuzi. Hakuna kiongozi yeyote wa Marekani anayeshindwa kwenda nchi ya Mashariki ya kati. Trump hata akiamua kwenda Iran leo hii, ataenda, na Iran itamlinda kwa nguvu zote, maana kwao ni fursa muhimu.

Inaonekana wewe ni mchanga wa siasa za kimataifa. Huelewi hata ni kwa nini mataifa huwa yanaamua kuiwekea vikwazo nchi fulani. Lengo siyo hiyo nchi ibakie kwenye vikwazo milele, bali vikwazo viifanye nchi hiyo kurejea kwenye matakwa ta Dunia. Iran kwa sasa, kwa kuzingatia kauli za watawala wake, wamefikia hatua ya kusalimu amri, na kutaka vikwazo viondolewe, hivyo ipo tayari kutimiza matakwa ya Dunia ili ikubalike na Dunia.

Ikumbukwe kuwa Iran, kabla ya vikwazo ilikuwa ni nchi yenye uchumi na ukuuaji mkubwa wa maendeleo Mashariki ya kati. Leo imekuwa duni, ina uchumi mdogo kuliko mataifa kama Saudia na UAE.

Fikiria GDP ya Iran ni kama dollar billion 400 tu wakati ya Saudia ni kama dola trilioni 1.
Based on IMF's October 2023 data, these are the biggest economies in MENA according to their GDP.
  1. Türkiye. GDP: $1,150 billion. ...
  2. Saudi Arabia. GDP: $1,070 billion. ...
  3. Israel. GDP: $521.69 billion. ...
  4. United Arab Emirates. GDP: $509.18 billion. ...
  5. Egypt. GDP: $398.4 billion. ...
  6. Iran. GDP: $366.44 billion. ...
Watu wangekueshim ungejibu kwa Hoja lkn unapuyanga kama zwazwa yani TRAMP afunge Safari Iran uko Iraq kwenyewe atokanyaga adi anamaliza muda wake nchi pekee anataka kwenda ni Saudia tu uko ndio salama na bado wanataka kununua usalama kwa Iran aisee nimejibu ilo tu ila sijibu jitu zwazwa kama ww jiifunze kujibu Hoja ili mshindane kwenye Hoja wasomaji wengine wapate kuelimika,
 
Iran anayedai kuifuta Israel kwenye uso wa dunia sasa ndoto yake itatimiaje akikubali mazungumzo au hizo zilikuwa ni fix za kuwahadaa wasuni.

Iran mikwara kibau lakini hamna lolote.
 
Halijawakera wamarekani wengi, Bali limewakera democrats. Ambao wengine wameanza kukimbia nchi na kujitoa Twitter. Ushindi wa Trump umewazima kabisa.
Wameanza kukimbia wanaenda wapi au ubeligiji kama jamaa yetu Lissu
Ila mbona trump analeta mambo ya ajabu kuanza kuandama wapinzani
 
Iran haina chaguo jingine lolote zaidi ya kujisogeza karibu na Dunia. Sera zake za kumiliki makundi ya kigaidi yanayoyasumbua mataifa jirani ya kiarabu, yameifanya Iran kutengwa na kuwa adui wa mataifa karibia yote ya kiarabu na Dunia. Maisha ya wananchi wa Iran yanazidi kuwa duni kila leo ukilinganisha na mataifa yote ya kiarabu yenye utajiri wa mafuta na hivyo kuifanya serikali ta Iran kuchukiwa na hata na wananchi wake. Mapato ya mafuta karibia yote yanaishia kwenye programu za kivita badala ya ustawi wa wananchi wake. Hali hii kwa ujumla imeichosha Iran, ndiyo sababu ya Rais mpya kutamka kuwa sera yake itakuwa ni kurudisha mahusiano na Dunia.

Vikwazo dhidi ya nchi yoyote Duniani ni kuifanya nchi hiyo itepete kisha irudi kwenye mstari. Iran imekwishatepeta, na imetamka kuwa ipo tayari kuachana na programu za utengenezaji silaha za nyuklia, kama kufanya hivyo kutakuwa na maslahi kwa wananchi wa Iran.

Hii ni nafasi nzuri kwa pande zote, kwa Iran, na Dunia. Iran kwa kuwa ina hofu ya kushambuliwa, kuwepo na mkataba wa kiusalama kati ya Iran na Israel na mataifa ya kiarabu, ambapo hakuna nchi itaruhusiwa kuishambulia Iran; Iran ifute mradi wake wa nyuklia na iyafute makundi yake ya kigaidi, na isifadhili makundi yoyote ya wanaharakati yanayozipinga serikali za nchi za kiarabu.

Iran ikiondolewa vikwazo, mapato yake ya mafuta yakaenda kwenye maendeleo ya watu, muda si mrefu inaweza kufikia maendeleo ya ustawi wa watu kama ilivyo Saudia au UAE.

Baada ya hapo vikwazo na kila mbinu vitumike kuitepetesha zaidi North Korea, huko wananchi wanaishi kama wapo jehanamu kutokana na utawala dhalimu wa Kiduku.
Sawa kabisa mkuu, umetoa "Professional Assessment" ya kile kinachotokea huko mashariki ya kati tofauti na magaidi wa humu wanaoleta hoja feki za kidini wakati ni wazi kwamba Iran tayari ameshaona maandiko ubaoni na kukubali yaishe.

Kama angekuwa na nguvu kihivyo asingekubali kukaa na Marekani na badala yake angeendelea na mkakati wake feki wa kuifuta Israel kwenye uso wa dunia lakini ataitimizaje hiyo ndoto huku watu wake wakiwa taabani na ndio maana hata ile ndoto yake ya kuishambulia Israel imeyeyuka kimyakimya.

Iran wapende wasipende lazima wabadilike na kurejea tena kundini kama wanataka watoke kwenye mkwamo huu unaowakabili na waachane na sera yao ya kufadhili magenge ya kigaidi ya kiislam.
 
I can't urgue with people who trails and embrace idiocy. Stay in your absurdity. Get back when you are in your full sense, when you are capable of responding logically.
Wewe ni mjinga sana na una mahaba yako ya kiimani na kiitikadi za kisiasa kiasi kwamba lolote asemalo wa upande unao uhusudu unalibeba juujuuu bila kutumia kichwa chako kufikiri.

Umejaa ujinga vingereza vingi ujinga mtupu
 
Rais mteule wa Marekani Donald Trump, ameanza mazungumzo ya siri na Iran ili kufikia makubaliano. Mazungumzo haya yalifanyika kwenye eneo lililochaguliwa na Balozi wa Iran kwenye umoja wa mataifa.

Trump aliwakilishwa na Elon Musk kwenye mazungumzo hayo na Iran iliwakilishwa na Balozi wa Iran kwenye umoja wa mataifa Bwana Saeed Iravani. Taarifa ya Iran inadai mazungumzo hayo yanaendelea vizuri na Yana matokeo chanya.

Swali la msingi ni, Iran na Trump wanataka kufikia makubaliano gani? Ngoja tusubirie mwisho wa siku tutapata majawabu.
Iran, ataambiwa, si unataka vikwazo, visitishwe, fukuza Hamas, na Hezbollah, usiwape msaada,Israel, atachukua baadhi ya maeneo ya Lebanon, sylia.
Hata German imeanza maxungumzo na Russia!
Hapa Zelensky, kichwa lazima kiume
 
Wewe ni mjinga sana na una mahaba yako ya kiimani na kiitikadi za kisiasa kiasi kwamba lolote asemalo wa upande unao uhusudu unalibeba juujuuu bila kutumia kichwa chako kufikiri.

Umejaa ujinga vingereza vingi ujinga mtupu
Umeshindwa kujibu hoja akaona utukane tu wakati na wewe unafanya hivyo kwa misingi ya ileile ya kidini sasa unafanya nini basi..!!
 
Umeshindwa kujibu hoja akaona utukane tu wakati na wewe unafanya hivyo kwa misingi ya ileile ya kidini sasa unafanya nini basi..!!
Hii Id yako nyingine huna akili dogo punguza mahaba na chuki za kiimani za kiitikadi za kisiasa okoa kichwa chako kisiwe mzigo mzito kwa shingo.
 
Nadhani ni harakati za US kuumaliza mgogoro wa Middle East! Iran ni key player wa vita vya Gaza,ndiye muungaji mkono wa vikundi vya Hamas na Hezibollah.
Huenda kuna makubaliano fulani kati ya US na Iran ambayo yatafanya Iran isiendelee kuunga mkono vita vya Gaza.
That's real
 
Hii Id yako nyingine huna akili dogo punguza mahaba na chuki za kiimani za kiitikadi za kisiasa okoa kichwa chako kisiwe mzigo mzito kwa shingo.
Uyo ndio zake kubadili I D lkn kumjua kazi ndogo hoja zake za Dini yeye atabadili ID lkn namna anavyoandika ndio utamjua uyu nani awezi kujificha , ila sasa anapunguza fujo zake.
 
Hii Id yako nyingine huna akili dogo punguza mahaba na chuki za kiimani za kiitikadi za kisiasa okoa kichwa chako kisiwe mzigo mzito kwa shingo.
Form4 na lasaba baada ya kumaliza mitihani mmejazana humu na akili zenu visoda
 
Wewe ni mjinga sana na una mahaba yako ya kiimani na kiitikadi za kisiasa kiasi kwamba lolote asemalo wa upande unao uhusudu unalibeba juujuuu bila kutumia kichwa chako kufikiri.

Umejaa ujinga vingereza vingi ujinga mtupu
Nilidhani nimemuona peke yangu kumbe hata wewe mkuu!?
Akikosa hoja sasa anaanza personal attacks.
 
Back
Top Bottom