Trump aanza mazungumzo ya siri na Iran

Trump aanza mazungumzo ya siri na Iran

Wamarekani gani hao wanaokereka?

Mimi najua wamarekani wanaoichukia Iran,ni wale wamarekani weusi wa Liwale na Nzega.

Hata Mimi nimeshangaa. Wala wamarekani hawajakasirika, maana walimchagua Trump sio kwamba aendeleze vita Bali amalize. Njia mojawapo ni kuongea na Iran wayamalize.
 
makobaz yamepaniki mazee dah ...hehe.. yaani yanakesha mitandaoni yakitunga habari za uongoo...eti mwamba trump aongee na lizee la ugaidi ayatola never...irani atulie asubiri dozi yake inaandaliwa freshiii

Ni kweli mkuu. Trump kaanza maongezi na Iran. Kumbuka wakati Trump alifanya maongezi na Korea Kaskazini mara mbili. Na siku Iran na USA wakiondoa uadui ndipo Dunia itakuwa salama zaidi.
 
Nadhani ni harakati za US kuumaliza mgogoro wa Middle East! Iran ni key player wa vita vya Gaza,ndiye muungaji mkono wa vikundi vya Hamas na Hezibollah.
Huenda kuna makubaliano fulani kati ya US na Iran ambayo yatafanya Iran isiendelee kuunga mkono vita vya Gaza.

Kweli kabisa. Ili middle East itulie, Iran ndio muhusika mkuu. USA na Iran wakikubaliana, Amani itarudi Middle East na Dunia itakuwa salama.
 
Amebadilika sana, nadhani alipo step down kuna jambo alijifunza na pia alipokoswa kuuawa, baada ya pale nilikuwa simuoni yule Trump ninayemfahamu... Amebadilika sana for good lakini... Nahisi atafanya makubwa...

Kweli kabisa mkuu
 
Kwa Sasa hatuhitaji vita Tena. Tunahitaji amani. Hata Mimi kwa Sasa naiona vita ya Israel na Hamas haina maana Tena. Tulete amani middle east maisha yaendelee.
Kwanini Israel walianzisha kitu ambacho kiko juu ya uwezo wao?
 
Mimi tangu mwanzo niliwaambia Tramp atoichokoza IRAN sababu zipo nyingi lkn le naweka 3 1, Tramp kakoswakoswa shaba vianzo vyake vilitwambia Iran imeusika. Tukumbuke Iran ilitangaza kumsaka Tramp. 2 uwezo wa kijesh wa Iran umefainya ISRAEL itafute njia nyengine yakukabiliana na IRAN badala ya kijesh kwamaana itaenda punguziwa vikwazo na pesa anazoidai marekani zitaachiwa dolla bilion10 ili Iran nayo ipunguza mbinyo kwa Israel watu wameshoka kulala kwenye mashimo. 3 Tramp anataka kuwa karibu na Iran kwa faida zake binafsi mfano anataka awe anaenda Saud arabia kumkamua ng,ombe wake ataendaje ikiwa Iran yupo mawindoni kumtoo rooo yake. Pia msisaau tuliwaambia mapema Tramp atamtosa Netanyahu Tramp ataki uyo Netanyahu abaki madarakani kipindi ichi yeye ndio Rais so ilikufanikisha kumtoa Netanyahu Tramp kaona kama ipo fursa kushililikiana na Iran itakuwa jambo jema kwake. Tramp anaenda kumaliza mzozo yote hu mzozo wa Israel viongozi wa Israel waliutamani lkn sasa wameona unawatokea puani kwaiyo wafadhili na waafidhina wanaosupot Israe kipesa kisiasa kiujumla wamempa jukum Tramp kumaliza vita yumkin palestine kama Taifa ikaudwa chini ya Tramp,
 
Kweli kabisa. Ili middle East itulie, Iran ndio muhusika mkuu. USA na Iran wakikubaliana, Amani itarudi Middle East na Dunia itakuwa salama.
Iran haina chaguo jingine lolote zaidi ya kujisogeza karibu na Dunia. Sera zake za kumiliki makundi ya kigaidi yanayoyasumbua mataifa jirani ya kiarabu, yameifanya Iran kutengwa na kuwa adui wa mataifa karibia yote ya kiarabu na Dunia. Maisha ya wananchi wa Iran yanazidi kuwa duni kila leo ukilinganisha na mataifa yote ya kiarabu yenye utajiri wa mafuta na hivyo kuifanya serikali ta Iran kuchukiwa na hata na wananchi wake. Mapato ya mafuta karibia yote yanaishia kwenye programu za kivita badala ya ustawi wa wananchi wake. Hali hii kwa ujumla imeichosha Iran, ndiyo sababu ya Rais mpya kutamka kuwa sera yake itakuwa ni kurudisha mahusiano na Dunia.

Vikwazo dhidi ya nchi yoyote Duniani ni kuifanya nchi hiyo itepete kisha irudi kwenye mstari. Iran imekwishatepeta, na imetamka kuwa ipo tayari kuachana na programu za utengenezaji silaha za nyuklia, kama kufanya hivyo kutakuwa na maslahi kwa wananchi wa Iran.

Hii ni nafasi nzuri kwa pande zote, kwa Iran, na Dunia. Iran kwa kuwa ina hofu ya kushambuliwa, kuwepo na mkataba wa kiusalama kati ya Iran na Israel na mataifa ya kiarabu, ambapo hakuna nchi itaruhusiwa kuishambulia Iran; Iran ifute mradi wake wa nyuklia na iyafute makundi yake ya kigaidi, na isifadhili makundi yoyote ya wanaharakati yanayozipinga serikali za nchi za kiarabu.

Iran ikiondolewa vikwazo, mapato yake ya mafuta yakaenda kwenye maendeleo ya watu, muda si mrefu inaweza kufikia maendeleo ya ustawi wa watu kama ilivyo Saudia au UAE.

Baada ya hapo vikwazo na kila mbinu vitumike kuitepetesha zaidi North Korea, huko wananchi wanaishi kama wapo jehanamu kutokana na utawala dhalimu wa Kiduku.
 
Iran haina chaguo jingine lolote zaidi ya kujisogeza karibu na Dunia. Sera zake za kumiliki makundi ya kigaidi yanayoyasumbua mataifa jirani ya kiarabu, yameifanya Iran kutengwa na kuwa adui wa mataifa karibia yote ya kiarabu na Dunia. Maisha ya wananchi wa Iran yanazidi kuwa duni kila leo ukilinganisha na mataifa yote ya kiarabu yenye utajiri wa mafuta na hivyo kuifanya serikali ta Iran kuchukiwa na hata na wananchi wake. Mapato ya mafuta karibia yote yanaishia kwenye programu za kivita badala ya ustawi wa wananchi wake. Hali hii kwa ujumla imeichosha Iran, ndiyo sababu ya Rais mpya kutamka kuwa sera yake itakuwa ni kurudisha mahusiano na Dunia.

Vikwazo dhidi ya nchi yoyote Duniani ni kuifanya nchi hiyo itepete kisha irudi kwenye mstari. Iran imekwishatepeta, na imetamka kuwa ipo tayari kuachana na programu za utengenezaji silaha za nyuklia, kama kufanya hivyo kutakuwa na maslahi kwa wananchi wa Iran.

Hii ni nafasi nzuri kwa pande zote, kwa Iran, na Dunia. Iran kwa kuwa ina hofu ya kushambuliwa, kuwepo na mkataba wa kiusalama kati ya Iran na Israel na mataifa ya kiarabu, ambapo hakuna nchi itaruhusiwa kuishambulia Iran; Iran ifute mradi wake wa nyuklia na iyafute makundi yake ya kigaidi, na isifadhili makundi yoyote ya wanaharakati yanayozipinga serikali za nchi za kiarabu.

Iran ikiondolewa vikwazo, mapato yake ya mafuta yakaenda kwenye maendeleo ya watu, muda si mrefu inaweza kufikia maendeleo ya ustawi wa watu kama ilivyo Saudia au UAE.

Baada ya hapo vikwazo na kila mbinu vitumike kuitepetesha zaidi North Korea, huko wananchi wanaishi kama wapo jehanamu kutokana na utawala dhalimu wa Kiduku.
Hivi wewe jamaa huwa huchoki KUONGEA UONGO!??
Iran imeanza kusakamwa na kutengwa tangu 1979.
Je unataka kunambia kipindi hiko Hamas na Hizbollah vilikuwepo!?
Unajaza maneno meeengiiiii halafu uongo mtupu.
Kama ulikua hujui waarabu walishaanza kurudisha uhusiano Kwa Iran tangu 2021.
Alianza Saudi Arabia,akaja Oman,akaja Qatar na wanakuja wengine.
Waarabu wenye akili timamu wanaelewa kuwa ndugu mbaya sio rafiki mwema.
Ndio maana waliona Iran kama mtetezi wao wa mwisho litakapotokea jambo lolote.
Hao Hizbollah na Hamas wanapokea pesa kutoka Qatar pia usione hivyo.
Isipokua anayeonekana kuwa kinara ni Iran,ila waarabu wengi tu wanalea hayo MAKUNDI.
Unadhani waarabu hawajui kilichotokea 1958 USA na Israel walipoiharibu Syria!?
Unadhani waarabu hawajui kilichotokea 1970s Israel ilipoiharibu Lebanon!?
Kwa akili zako USA na Israel walivyovamia nchi za waarabu wawe wanampenda USA na Israel kuliko Iran ambaye anawatetea!??

Maelezo marefu halafu yote nonsensical.
 
Back
Top Bottom