Trump aanza mazungumzo ya siri na Iran

Trump aanza mazungumzo ya siri na Iran

Mazu
Rais mteule wa Marekani Donald Trump, ameanza mazungumzo ya siri na Iran ili kufikia makubaliano. Mazungumzo haya yalifanyika kwenye eneo lililochaguliwa na Balozi wa Iran kwenye umoja wa mataifa.

Trump aliwakilishwa na Elon Musk kwenye mazungumzo hayo na Iran iliwakilishwa na Balozi wa Iran kwenye umoja wa mataifa Bwana Saeed Iravani. Taarifa ya Iran inadai mazungumzo hayo yanaendelea vizuri na Yana matokeo chanya.

Swali la msingi ni, Iran na Trump wanataka kufikia makubaliano gani? Ngoja tusubirie mwisho wa siku tutapata majawabu.
Mazungumzo ya Siri lakini wewe unayajua....🤣🤣
 
Naomba nifahamishwe ni kwanini hili limewakera wamarekani wengi?
Wamarekani wa Mwendakulima na Ngwinde ndiyo wanaosononeka.
Wamarekani halisi hawahangaiki mazungumzo hayo.
 
Juhudi za rais mteule wa USA,bwana Donald trump zinapaswa kuugwa mkono na watu wenye akili timamu.
Haswaaa.
Dunia ni lazima pawe mahali salama.
Ugomvi usio na maana utaangamiza viumbe wasio na hatima kwa tamaa za binadamu.
 
Back
Top Bottom