VIta ipi unayoizungumzia wewe? Hamas na Wapalestina wote wanapigania kuwa huru kwenye nchi yao iliyoporwa na wakoloni weupe.Netanyahu ni Mpoland asilia,kama walivyo maelfu wa mazionist ambao wengi ni watu wa ulaya wasio na nasaba yeyote ya mashariki ya kati.Hamas kama walivyo wapigania uhuru wote duniani wanayo haki inayotambuliwa na UN ya kufanya army resistance dhidi ya ukoloni.Nashangaa sana kuona sisi ambao tumeona athari za ukoloni na ukandamizaji kushangilia wengine wanapokandamizwa na kufanywa kama wanyama.
Mapambano ya Palestine hayana uhusiano na dini hata kidogo.Kabla ya wazayuni hawajavamia mashariki ya kati wakitokea Ulaya,dini zote ziliishi kwa amani bila shida yeyote.Mpaka hivi leo wayahudi wengi wa asili hawaungi mkono kunyanyaswa na kuondolewa kwa wapalestina.Ukiongelea Wapalestine basi ujue kuna waislamu,wakristo,wasio na dini,na wanaofuata dini zao za kijadi.Bahati mbaya wengi humu mnatazama mgogoro wa palestine kama ni mgogoro baina ya Christian and Islam.,huku mkijifariji kuwa wazayuni ni wenzenu.Tafuteni ukweli.Wazayuni hawataki hata kusikia neno christianity,yaani wanauchukia ukristo with passion.Hata kwenye hii genocide inayoendelea kuna mamia ya wakristo wameuliwa na mazayuni bila hatia.
Mimi binafsi siamini kama kuna mwafrika ataunga mkono ukoloni au unyanyasaji kufanywa kwa watu wengine.Ninachokisoma na kukiona kwa wengi ni chuki yao kubwa waliyonayo dhidi ya uislamu inayowapelekea kuamini mwarabu yeyote akidhulumiwa au kuonewa ni sawa kwa sababu ana dhambi ya kuwa mwarabu hata kama yeye sio muislamu. Hawa wazayuni hawafati tourat wala mafundisho yeyote sahihi ya dini ,bali wao wako na Lucifer(Iblis).Uharibifu wote wa kumkufuru mungu unaofanywa duniani unaasisiwa na hawa jamaa. Huu ni wakati wa kuwa makini na kuwa wadadisi wakubwa wa mambo.Watu wanaomzungumzia mpinga kristo basi waambieni wawafuatilie wazayuni na waone ni kiasi gani they hate Jesus Christ.