Trump: Achilieni mateka kabla sijaapishwa la sivyo mtabamizwa kwa kiwango hakijawahi kuonekana katika historia ya Marekani!"

Kwani Israeli anashikiliaje mateka wa Palestina? .
View attachment 3167857
Hao israel inawashika sio mateka ni wafungwa waliofanya makosa sasa october 7 hamas walivamia israel wakawashika raia wasio na hatia hovyo hovyo tena wanawake na watoto, wakabaka, wakalawiti , wakaua kikatili embu tuambie dini yako ya uislamu mtume aliwaambia mshike mateka wanawake na watoto? Na mbake na kulawiti
 
He is so bold and always speaks with great authority
Japo huwa anaogea kwa kejeli na madharau ila deep inside anaongea ukweli na hapendi kabisa kona kona,
Nawakubali sana watu wasio na kona kona
 
empty headed
 
He is so bold and always speaks with great authority
Japo huwa anaogea kwa kejeli na madharau ila deep inside anaongea ukweli na hapendi kabisa kona kona,
Hana dharau trump fatilia ongea ya mama ake mzazi
 
Kama una uchungu sana nenda kawasaidie
 
Hakuna mateka wowote waliotekwa, ni usanii mtupu wa kujaribu kuhalalisha ajenda ya Mazayuni ya kuhalalisha uporaji wa ardhi ya Wapalestina wakishirikiana na wasanii WA HAMAS.
 
wewe unajua zaidi kuliko ICC na taasisi za UN ambazo zimetoa report juu ya ukiukwaji wa sheria unaofanywa na Israel!
 
Yeye kwani Mungu? Kashundwa kuzuia kirisisasi cha shikio tu kaaanguka chali. Muislam hatishiki hivyo, wanaotishika hivyo wakiristo
Kwani Waislamu wote ninyi ni magaidi? ... au wanaoshikilia mateka ni waislamu au magaidi..lazima kuna mahali unashida mkuu
 
Mm nilidhani anasema ataenda Iran kwenye shina kuu na maswaibu anayopitia Israel marekani anamaguvu kwenda kuwapiga mikwara wachavu waliojela kuu Dunian ni kujiabisha Tramp asemezane na Iran sio Gaza USA imekuwa Butu kiasi chakutafuta mnyonge kama Gaza kwann wasiende Iran mzamini mkuu wa show. Tena IRAN ajifichi ktk alakati zake za kuwadhamin wausika kubwa zaid kaitwanga miboom Telaviv nani mwengine yupo hai Duniani aliwai itwanga Miboom Israel sasa hii isiwe Sababu ya kuona Iran inawakamoto. Adi waende Gaza Dunia kila mtemi n mtem wake. Gaza mtemo wake USA na west pamoja na Israel yenyewe.lkn awa mbwa wote awawezi ungana kwa kwa Iran.
 
Hauko sahihi. Biblia na Quran kipi kilitangulia. Wafalme , mitume na maeneo yaliyoandikwa kwenye Biblia yalikuwa hewani ? Una habari hata makanisa Saba yaliyoandikwa ufunuo 3 yako uturuki geographically? Maana yake ni kwamba aliyeporwa maeneo anciently ni Israel baada ya dispersion
 
Foolish and stupid Trump. Arrest Netanyahu first if you are a man enough. Shame on you! You will come and go like the Bushes and others who tried and failed. Middle East solution is on the table but not by the barrel of gun.
Oh, Oh Oh! Please calm down gentle man. You have almost 48 days remaining for you to fumble around with the Hostages. Thereafter; we will witness Foolish and Stupid Trump in action.
 
Dah! Lakini kuna mahali imeandikwa "Ole wenu ninyi mnaocheka sasa.... ...."
Luk.6:25-33.
Hivi hao ndo wanaosema dini ya mnyazi mungu au ???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…