Je, Donald Trump ni mtu wa namna gani na familia yake ikoje..!!??
Ukiangalia jinsi Trump alivyowalea watoto wake watano kwa kweli utashangaa sana na hii ndio maana hata jumuiya ya makanisa yenye nguvu na ushawishi mkubwa nchini Marekani ya Evangelical Christian Churches of America hupenda kumpigia debe sana kila anapogombea urais ili awe rais wao.
Popote pale duniani unapotaka uongozi watu hupenda sana kujua una familia ya namna gani na umeileaje hiyo familia yako kwa sababu jamii hupenda kuona una familia ambayo itawapa familia zao changamoto ya kuiga uzuri wanayoiona kwa familia yako.
Leo hii familia nyingi sana duniani zimekosa malezi mazuri toka kwa wazazi na jamii yote kwa ujumla na ndio maana leo hii dunia imejaa maovu mengi ya kutia huzuni tofauti kabisa na ilivyokuwa zamani.
Leo hii uhalifu umekuwa ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku Ubadhirifu, Ufisadi, Utapeli, Uzinzi, Uwizi, Ujambazi, Ubakaji, Ushoga, Usagaji, Ugaidi, Umbeya, Unafiki, Udhulumati na mengine mengi ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku.
Leo hii unakuta familia nyingi za watu wenye uwezo hazina kabisa maadili na unakuta zinawaona wenzao wa familia ambazo kidogo maisha ni changamoto kama takataka tu kitu ambacho ni matokeo tu ya malezi mabaya.
Kwa kweli ukiona Trump, pamoja na utajiri mkubwa alionao, alivyowalea watoto wake kwa imani ya kidini inakushawishi kwamba na wewe kuna kitu unaweza ukaifanyia familia yako na ikawa kama urithi wa maana kabisa katika maisha yao kuliko hata urithi wa mali na kwa kweli hapa hata sisi waafrika tuna changamoto kubwa sana kwa namna leo hii tunavyoshindwa kuwalea watoto wetu kimaadili.
Well done Mr. Trump for raising your offsprings in way that is a source of admiration and envy to all men and women of goodwill and may the people of your great country and the whole world at large borrow a leaf from your endeavours. Bravo Don.
View: https://youtube.com/shorts/Wo8KtX_BOg4?si=uAx3PllHSJ8Nb0Kd
Ukiangalia jinsi Trump alivyowalea watoto wake watano kwa kweli utashangaa sana na hii ndio maana hata jumuiya ya makanisa yenye nguvu na ushawishi mkubwa nchini Marekani ya Evangelical Christian Churches of America hupenda kumpigia debe sana kila anapogombea urais ili awe rais wao.
Popote pale duniani unapotaka uongozi watu hupenda sana kujua una familia ya namna gani na umeileaje hiyo familia yako kwa sababu jamii hupenda kuona una familia ambayo itawapa familia zao changamoto ya kuiga uzuri wanayoiona kwa familia yako.
Leo hii familia nyingi sana duniani zimekosa malezi mazuri toka kwa wazazi na jamii yote kwa ujumla na ndio maana leo hii dunia imejaa maovu mengi ya kutia huzuni tofauti kabisa na ilivyokuwa zamani.
Leo hii uhalifu umekuwa ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku Ubadhirifu, Ufisadi, Utapeli, Uzinzi, Uwizi, Ujambazi, Ubakaji, Ushoga, Usagaji, Ugaidi, Umbeya, Unafiki, Udhulumati na mengine mengi ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku.
Leo hii unakuta familia nyingi za watu wenye uwezo hazina kabisa maadili na unakuta zinawaona wenzao wa familia ambazo kidogo maisha ni changamoto kama takataka tu kitu ambacho ni matokeo tu ya malezi mabaya.
Kwa kweli ukiona Trump, pamoja na utajiri mkubwa alionao, alivyowalea watoto wake kwa imani ya kidini inakushawishi kwamba na wewe kuna kitu unaweza ukaifanyia familia yako na ikawa kama urithi wa maana kabisa katika maisha yao kuliko hata urithi wa mali na kwa kweli hapa hata sisi waafrika tuna changamoto kubwa sana kwa namna leo hii tunavyoshindwa kuwalea watoto wetu kimaadili.
Well done Mr. Trump for raising your offsprings in way that is a source of admiration and envy to all men and women of goodwill and may the people of your great country and the whole world at large borrow a leaf from your endeavours. Bravo Don.
View: https://youtube.com/shorts/Wo8KtX_BOg4?si=uAx3PllHSJ8Nb0Kd