Trump alivyolea wanawe ni changamoto kubwa kwa dunia inatakiwa tuige mfano wake

Trump alivyolea wanawe ni changamoto kubwa kwa dunia inatakiwa tuige mfano wake

Je, Donald Trump ni mtu wa namna gani na familia yake ikoje..!!??

Ukiangalia jinsi Trump alivyowalea watoto wake watano kwa kweli utashangaa sana na hii ndio maana hata jumuiya ya makanisa yenye nguvu na ushawishi mkubwa nchini Marekani ya Evangelical Christian Churches of America hupenda kumpigia debe sana kila anapogombea urais ili awe rais wao.

Popote pale duniani unapotaka uongozi watu hupenda sana kujua una familia ya namna gani na umeileaje hiyo familia yako kwa sababu jamii hupenda kuona una familia ambayo itawapa familia zao changamoto ya kuiga uzuri wanayoiona kwa familia yako.

Leo hii familia nyingi sana duniani zimekosa malezi mazuri toka kwa wazazi na jamii yote kwa ujumla na ndio maana leo hii dunia imejaa maovu mengi ya kutia huzuni tofauti kabisa na ilivyokuwa zamani.

Leo hii uhalifu umekuwa ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku Ubadhirifu, Ufisadi, Utapeli, Uzinzi, Uwizi, Ujambazi, Ubakaji, Ushoga, Usagaji, Ugaidi, Umbeya, Unafiki, Udhulumati na mengine mengi ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku.

Leo hii unakuta familia nyingi za watu wenye uwezo hazina kabisa maadili na unakuta zinawaona wenzao wa familia ambazo kidogo maisha ni changamoto kama takataka tu kitu ambacho ni matokeo tu ya malezi mabaya.

Kwa kweli ukiona Trump, pamoja na utajiri mkubwa alionao, alivyowalea watoto wake kwa imani ya kidini inakushawishi kwamba na wewe kuna kitu unaweza ukaifanyia familia yako na ikawa kama urithi wa maana kabisa katika maisha yao kuliko hata urithi wa mali na kwa kweli hapa hata sisi waafrika tuna changamoto kubwa sana kwa namna leo hii tunavyoshindwa kuwalea watoto wetu kimaadili.

Well done Mr. Trump for raising your offsprings in way that is a source of admiration and envy to all men and women of goodwill and may the people of your great country and the whole world at large borrow a leaf from your endeavours. Bravo Don.


View: https://youtube.com/shorts/Wo8KtX_BOg4?si=uAx3PllHSJ8Nb0Kd

Empty void. Kwa hiyo wanaoenda kanisani kusali sanq wao na familia zao wako vizuri?
1. Nitaje?
 
Mleta huu uzi hajui chochote kuhusu maisha ya Tump, hana maadili yeyote nimpe tukio moja tu watoto wake wanajua kama baba yao ni malaya wa kutupwa.

wakili wa wa Trump, Michael Cohen, alimlipa mwanamke anayeitwa Stormy Daniels $130,000 (£106,000) ili kunyamaza asisema kama Trump anampiga miti.

Watoto wate walikuwa wanajua,😄

Ebu tueleze hayo maadili ya Trump.
 
Acha ujinga na utumwa wa kiakili Trump ana maadili gani?

Juzi hapa kalipa pesa kwa umalaya, hao watoto watano mama yao ni mmoja?

Badala ya kuiga maadili ya Babu yako huko kijijini kwenu unataka kuiga maisha ya Trump 😁

Kwa hiyo kwenu hamna cha kuiga kwenye malezi?
Mbona Muhammad una muiga ?
 
Mleta huu uzi hajui chochote kuhusu maisha ya Tump, hana maadili yeyote nimpe tukio moja tu watoto wake wanajua kama baba yao ni malaya wa kutupwa.

wakili wa wa Trump, Michael Cohen, alimlipa mwanamke anayeitwa Stormy Daniels $130,000 (£106,000) ili kunyamaza asisema kama Trump anampiga miti.

Watoto wate walikuwa wanajua,😄

Ebu tueleze hayo maadili ya Trump.
Bila shaka utakuwa ni wale wanaotokana na malezi mabovu hivyo huwezi kunielewa kwa sababu hata somo tu unashindwa kulielewa na kwa mantiki hiyo unatupa picha ya namna gani ulivyokuwa shuleni kama kweli ulisoma elimu dunia.
 
Kwenye masuala ya ndoa Trump anakwama; sio mfano bora sana wa kuigwa. Mke mmoja, mume mmoja hadi kifo kiwatenganishe ameshindwa kuiishi hiyo doctrine!
Tatizo liko palepale na ndio maana wanafunzi wengine wanafeli mitihani na kubaki kushangaa kwa sababu tu ya kushindwa kuelewa swali linasemaje.

You are a good example of those students.
 
Sio mitoto iliyokosa adabu kama Abuu na mamaake Samsha
 
Empty void. Kwa hiyo wanaoenda kanisani kusali sanq wao na familia zao wako vizuri?
1. Nitaje?
Watu sijui kwa nini hamuelewi, sijui kama ni parochial reasoning capacity or fanatical sentiments or the combination of both, I'm deeply perplexed.
 
Acha ujinga na utumwa wa kiakili Trump ana maadili gani?

Juzi hapa kalipa pesa kwa umalaya, hao watoto watano mama yao ni mmoja?

Badala ya kuiga maadili ya Babu yako huko kijijini kwenu unataka kuiga maisha ya Trump 😁

Kwa hiyo kwenu hamna cha kuiga kwenye malezi?
Acha wivu wa kike wewe.
 
Watu sijui kwa nini hamuelewi, sijui kama ni parochial reasoning capacity or fanatical sentiments or the combination of both, I'm deeply perplexed.
Kwa hiyo ulivyoandika hapo juu unajiona wewe ni kama shekispi au Oska Wilde wa bongo.
 
Trump hana maadili yoyote kama Elon musk tu wote n wahuni
 
Je, Donald Trump ni mtu wa namna gani na familia yake ikoje..!!??

Ukiangalia jinsi Trump alivyowalea watoto wake watano kwa kweli utashangaa sana na hii ndio maana hata jumuiya ya makanisa yenye nguvu na ushawishi mkubwa nchini Marekani ya Evangelical Christian Churches of America hupenda kumpigia debe sana kila anapogombea urais ili awe rais wao.

Popote pale duniani unapotaka uongozi watu hupenda sana kujua una familia ya namna gani na umeileaje hiyo familia yako kwa sababu jamii hupenda kuona una familia ambayo itawapa familia zao changamoto ya kuiga uzuri wanayoiona kwa familia yako.

Leo hii familia nyingi sana duniani zimekosa malezi mazuri toka kwa wazazi na jamii yote kwa ujumla na ndio maana leo hii dunia imejaa maovu mengi ya kutia huzuni tofauti kabisa na ilivyokuwa zamani.

Leo hii uhalifu umekuwa ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku Ubadhirifu, Ufisadi, Utapeli, Uzinzi, Uwizi, Ujambazi, Ubakaji, Ushoga, Usagaji, Ugaidi, Umbeya, Unafiki, Udhulumati na mengine mengi ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku.

Leo hii unakuta familia nyingi za watu wenye uwezo hazina kabisa maadili na unakuta zinawaona wenzao wa familia ambazo kidogo maisha ni changamoto kama takataka tu kitu ambacho ni matokeo tu ya malezi mabaya.

Kwa kweli ukiona Trump, pamoja na utajiri mkubwa alionao, alivyowalea watoto wake kwa imani ya kidini inakushawishi kwamba na wewe kuna kitu unaweza ukaifanyia familia yako na ikawa kama urithi wa maana kabisa katika maisha yao kuliko hata urithi wa mali na kwa kweli hapa hata sisi waafrika tuna changamoto kubwa sana kwa namna leo hii tunavyoshindwa kuwalea watoto wetu kimaadili.

Well done Mr. Trump for raising your offsprings in way that is a source of admiration and envy to all men and women of goodwill and may the people of your great country and the whole world at large borrow a leaf from your endeavours. Bravo Don.


View: https://youtube.com/shorts/Wo8KtX_BOg4?si=uAx3PllHSJ8Nb0Kd

Kwa hiyo hapa unataka kusemaje kuhusu watoto wa "mama"...... yangu mimi????
 
Je, Donald Trump ni mtu wa namna gani na familia yake ikoje..!!??

Ukiangalia jinsi Trump alivyowalea watoto wake watano kwa kweli utashangaa sana na hii ndio maana hata jumuiya ya makanisa yenye nguvu na ushawishi mkubwa nchini Marekani ya Evangelical Christian Churches of America hupenda kumpigia debe sana kila anapogombea urais ili awe rais wao.

Popote pale duniani unapotaka uongozi watu hupenda sana kujua una familia ya namna gani na umeileaje hiyo familia yako kwa sababu jamii hupenda kuona una familia ambayo itawapa familia zao changamoto ya kuiga uzuri wanayoiona kwa familia yako.

Leo hii familia nyingi sana duniani zimekosa malezi mazuri toka kwa wazazi na jamii yote kwa ujumla na ndio maana leo hii dunia imejaa maovu mengi ya kutia huzuni tofauti kabisa na ilivyokuwa zamani.

Leo hii uhalifu umekuwa ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku Ubadhirifu, Ufisadi, Utapeli, Uzinzi, Uwizi, Ujambazi, Ubakaji, Ushoga, Usagaji, Ugaidi, Umbeya, Unafiki, Udhulumati na mengine mengi ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku.

Leo hii unakuta familia nyingi za watu wenye uwezo hazina kabisa maadili na unakuta zinawaona wenzao wa familia ambazo kidogo maisha ni changamoto kama takataka tu kitu ambacho ni matokeo tu ya malezi mabaya.

Kwa kweli ukiona Trump, pamoja na utajiri mkubwa alionao, alivyowalea watoto wake kwa imani ya kidini inakushawishi kwamba na wewe kuna kitu unaweza ukaifanyia familia yako na ikawa kama urithi wa maana kabisa katika maisha yao kuliko hata urithi wa mali na kwa kweli hapa hata sisi waafrika tuna changamoto kubwa sana kwa namna leo hii tunavyoshindwa kuwalea watoto wetu kimaadili.

Well done Mr. Trump for raising your offsprings in way that is a source of admiration and envy to all men and women of goodwill and may the people of your great country and the whole world at large borrow a leaf from your endeavours. Bravo Don.


View: https://youtube.com/shorts/Wo8KtX_BOg4?si=uAx3PllHSJ8Nb0Kd

Mbona Trump mwenyewe hana maadili: unaijua kesi ya Stormy Daniels, Marla Marple etc
 
Je, Donald Trump ni mtu wa namna gani na familia yake ikoje..!!??

Ukiangalia jinsi Trump alivyowalea watoto wake watano kwa kweli utashangaa sana na hii ndio maana hata jumuiya ya makanisa yenye nguvu na ushawishi mkubwa nchini Marekani ya Evangelical Christian Churches of America hupenda kumpigia debe sana kila anapogombea urais ili awe rais wao.

Popote pale duniani unapotaka uongozi watu hupenda sana kujua una familia ya namna gani na umeileaje hiyo familia yako kwa sababu jamii hupenda kuona una familia ambayo itawapa familia zao changamoto ya kuiga uzuri wanayoiona kwa familia yako.

Leo hii familia nyingi sana duniani zimekosa malezi mazuri toka kwa wazazi na jamii yote kwa ujumla na ndio maana leo hii dunia imejaa maovu mengi ya kutia huzuni tofauti kabisa na ilivyokuwa zamani.

Leo hii uhalifu umekuwa ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku Ubadhirifu, Ufisadi, Utapeli, Uzinzi, Uwizi, Ujambazi, Ubakaji, Ushoga, Usagaji, Ugaidi, Umbeya, Unafiki, Udhulumati na mengine mengi ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku.

Leo hii unakuta familia nyingi za watu wenye uwezo hazina kabisa maadili na unakuta zinawaona wenzao wa familia ambazo kidogo maisha ni changamoto kama takataka tu kitu ambacho ni matokeo tu ya malezi mabaya.

Kwa kweli ukiona Trump, pamoja na utajiri mkubwa alionao, alivyowalea watoto wake kwa imani ya kidini inakushawishi kwamba na wewe kuna kitu unaweza ukaifanyia familia yako na ikawa kama urithi wa maana kabisa katika maisha yao kuliko hata urithi wa mali na kwa kweli hapa hata sisi waafrika tuna changamoto kubwa sana kwa namna leo hii tunavyoshindwa kuwalea watoto wetu kimaadili.

Well done Mr. Trump for raising your offsprings in way that is a source of admiration and envy to all men and women of goodwill and may the people of your great country and the whole world at large borrow a leaf from your endeavours. Bravo Don.


View: https://youtube.com/shorts/Wo8KtX_BOg4?si=uAx3PllHSJ8Nb0Kd

Mbona hujaelezew Trump kaleaje watoto wake?
 
Back
Top Bottom