Trump alivyolea wanawe ni changamoto kubwa kwa dunia inatakiwa tuige mfano wake

Empty void. Kwa hiyo wanaoenda kanisani kusali sanq wao na familia zao wako vizuri?
1. Nitaje?
 
Mleta huu uzi hajui chochote kuhusu maisha ya Tump, hana maadili yeyote nimpe tukio moja tu watoto wake wanajua kama baba yao ni malaya wa kutupwa.

wakili wa wa Trump, Michael Cohen, alimlipa mwanamke anayeitwa Stormy Daniels $130,000 (Β£106,000) ili kunyamaza asisema kama Trump anampiga miti.

Watoto wate walikuwa wanajua,πŸ˜„

Ebu tueleze hayo maadili ya Trump.
 
Mbona Muhammad una muiga ?
 
Bila shaka utakuwa ni wale wanaotokana na malezi mabovu hivyo huwezi kunielewa kwa sababu hata somo tu unashindwa kulielewa na kwa mantiki hiyo unatupa picha ya namna gani ulivyokuwa shuleni kama kweli ulisoma elimu dunia.
 
Kwenye masuala ya ndoa Trump anakwama; sio mfano bora sana wa kuigwa. Mke mmoja, mume mmoja hadi kifo kiwatenganishe ameshindwa kuiishi hiyo doctrine!
Tatizo liko palepale na ndio maana wanafunzi wengine wanafeli mitihani na kubaki kushangaa kwa sababu tu ya kushindwa kuelewa swali linasemaje.

You are a good example of those students.
 
Sio mitoto iliyokosa adabu kama Abuu na mamaake Samsha
 
Empty void. Kwa hiyo wanaoenda kanisani kusali sanq wao na familia zao wako vizuri?
1. Nitaje?
Watu sijui kwa nini hamuelewi, sijui kama ni parochial reasoning capacity or fanatical sentiments or the combination of both, I'm deeply perplexed.
 
Acha wivu wa kike wewe.
 
Watu sijui kwa nini hamuelewi, sijui kama ni parochial reasoning capacity or fanatical sentiments or the combination of both, I'm deeply perplexed.
Kwa hiyo ulivyoandika hapo juu unajiona wewe ni kama shekispi au Oska Wilde wa bongo.
 
Trump hana maadili yoyote kama Elon musk tu wote n wahuni
 
Kwa hiyo hapa unataka kusemaje kuhusu watoto wa "mama"...... yangu mimi????
 
Mbona Trump mwenyewe hana maadili: unaijua kesi ya Stormy Daniels, Marla Marple etc
 
Mbona hujaelezew Trump kaleaje watoto wake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…